Kinondoni ni moja ya wilaya tatu zilizopo katika jiji la Dar es Salaam, nyingine ni Temeke na Ilala.
Kinondoni ndio wilaya pekee isiyokuwa na timu ligi kuu hasa baada ya timu ya Villa Squad kujitutumua lakini mwishowe chama cha soka cha wilaya kikashindwa kuisaidia na hatimaye timu ikashuka daraja.
Kinondoni bado ni wilaya inayoongoza kwa kuwa na baa nyingi, kuna madai kwamba kuna baadhi ya maeneo ya Kinondoni kila baada ya nyumba mbili unakuta baa moja!
Ukiachana na hayo bado Kindondoni ipo juu kwenye suala la migogoro ya ardhi, kiwanja kimoja kugawiwa/kuuziwa watu zaidi ya watatu ni jambo la kawaida kabisa Kinondoni
Endeleza
Kinondoni ndio wilaya pekee isiyokuwa na timu ligi kuu hasa baada ya timu ya Villa Squad kujitutumua lakini mwishowe chama cha soka cha wilaya kikashindwa kuisaidia na hatimaye timu ikashuka daraja.
Kinondoni bado ni wilaya inayoongoza kwa kuwa na baa nyingi, kuna madai kwamba kuna baadhi ya maeneo ya Kinondoni kila baada ya nyumba mbili unakuta baa moja!
Ukiachana na hayo bado Kindondoni ipo juu kwenye suala la migogoro ya ardhi, kiwanja kimoja kugawiwa/kuuziwa watu zaidi ya watatu ni jambo la kawaida kabisa Kinondoni
Endeleza