Wasifu wake:
1.Mipaka yake
Inaanzia daraja la selander unafuata mto msimbazi hadi daraja la jangwani,halafu morogoro road kulia yote mpaka mizani kiluvya halafu kulia mpaka daraja la miji na kufuata mto mpiji hadi baharini halafu unarudi kwa kufuata fukwe za bahari kuanzia bunju,mbweni,ununio,kunduchi,mbezi beach,kawe,mikocheni,masaki,oyesterbay hadi selander bridge tena .
2.Ina wabunge watatu (keenja,r.mlaki and idi azan)
3.Ina vyuo vikuu vitatu
4.Ndio inaongoza mauzo ya bia per square metre
5.Ajabu haina gereza hata moja!
6.Ina makaazi rasmi ya marais watatu wa nchi hii
7.In kiwanja kinathamani ya dola $2m
8.Kodi za nyumba ziko mpaka $15,000 kwa mwezi
9.Haina machinga hata mmoja anaeishi wote wanakuja na kuondoka
10.In ATMs nyingi kuliko wilaya zote
Nimeipenda sana hii!!!!!!!!!!!!!Wasifu wake:
1.Mipaka yake
Inaanzia daraja la selander unafuata mto msimbazi hadi daraja la jangwani,halafu morogoro road kulia yote mpaka mizani kiluvya halafu kulia mpaka daraja la miji na kufuata mto mpiji hadi baharini halafu unarudi kwa kufuata fukwe za bahari kuanzia bunju,mbweni,ununio,kunduchi,mbezi beach,kawe,mikocheni,masaki,oyesterbay hadi selander bridge tena .
2.Ina wabunge watatu (keenja,r.mlaki and idi azan)
3.Ina vyuo vikuu vitatu
4.Ndio inaongoza mauzo ya bia per square metre
5.Ajabu haina gereza hata moja!
6.Ina makaazi rasmi ya marais watatu wa nchi hii
7.In kiwanja kinathamani ya dola $2m
8.Kodi za nyumba ziko mpaka $15,000 kwa mwezi
9.Haina machinga hata mmoja anaeishi wote wanakuja na kuondoka
10.In ATMs nyingi kuliko wilaya zote
Na na mbumbu wa kutupwa, kuchaguliwa, wanakula nao 75% ya sisemi si ndo hao hao kina meya wetu!Kinondoni ndio wilaya yenye Meya fisadi wa viwanja na ushahidi ukatolewa bungeni lakini hata hivyo CCM ikamkumbatia na kumchagua kuwa mjumbe wa NEC Taifa!!!
na wewe una nafasi ya kuwa fisadi vile vile! sasa nani wa kulaumiwa ? fisadi au anayekumbatia fisadi ?Kinondoni ndio wilaya yenye Meya fisadi wa viwanja na ushahidi ukatolewa bungeni lakini hata hivyo CCM ikamkumbatia na kumchagua kuwa mjumbe wa NEC Taifa!!!
hands down you win mzazi!Wasifu wake:
1.Mipaka yake
Inaanzia daraja la selander unafuata mto msimbazi hadi daraja la jangwani,halafu morogoro road kulia yote mpaka mizani kiluvya halafu kulia mpaka daraja la miji na kufuata mto mpiji hadi baharini halafu unarudi kwa kufuata fukwe za bahari kuanzia bunju,mbweni,ununio,kunduchi,mbezi beach,kawe,mikocheni,masaki,oyesterbay hadi selander bridge tena .
2.Ina wabunge watatu (keenja,r.mlaki and idi azan)
3.Ina vyuo vikuu vitatu
4.Ndio inaongoza mauzo ya bia per square metre
5.Ajabu haina gereza hata moja!
6.Ina makaazi rasmi ya marais watatu wa nchi hii
7.In kiwanja kinathamani ya dola $2m
8.Kodi za nyumba ziko mpaka $15,000 kwa mwezi
9.Haina machinga hata mmoja anaeishi wote wanakuja na kuondoka
10.In ATMs nyingi kuliko wilaya zote
Na ndio wilaya iliyo na makaka poa wengi...........
Na daladala za Kinondoni hakuna maDCM. Kinondoni hawapandi maDCM.