Hii ndio Kinondoni bwana!!

Hii ndio Kinondoni bwana!!

heheheh!kweli kinindoni imesheheni.mpiganaji ndio kilaji chake kile

Mpiganaji anatisha. Mwambie asikinywee Temeke hicho kitu. Kule vibaka ndio nyumbani kwao. Hahahaha!
 
Kwa uchafu nadhani inaongoza,nenda Tandale kwa mtogole utakoma mwenyewe.
Na bila kusahau kelele za ngoma na taarabu yani taabu tupu.
 
Yaani Kinondoni jirani yako kama sio shoga ni Changu au Kibaka....endelea!!
 
Wakikusikia Tandika na Buguruni shauri yako.
halafu huko tandika siku hizi WACHINA na WAHINDI kibao.kuna wachina wamechukua geto hapa manzese pia,hehehehehe kinondoni bana!
 
Bila kuhasau nyumba za kulala wageni maarufu kama GESTI HAUSI ziko kila kona. ninapoishi mimi nyuma ya nyumba, kwenye ukuta ambao ni fensi tunapakana na gesti basi tabu tupu ndugu zangu..........madirisha ya baadhi ya vyumba yameelekea kwetu lol!!
 
.. Ni taarifa uliyofanyia utafiti au unataka kufurahisha baraza mkuu??? Tupe data basi ya hizo baa nyingi unazodai ziko kinondoni na unalinganisha na wilaya gani nyingine na kwa idadi ipi?...Timu kufanikiwa ni kucheza soka si suala la kusaidiwa na chama cha soka ili ifanikiwe...Villa squad hawakuwa na uwezo wa kushiriki ligi ya vodacom timu za level yake ni zile akina Abajalo!!!!

A representative sample (Sinza, anzia Moroko, Manyanya, ingia mnyamala) baa kwa kwenda mbele.

Kuhusu Villa Squad, ni jukumu la FA kuendeleza soka katika eneo husika, kuna suala la kuendeleza walimu, kuandaa michezo ya kujima nguvu etc. Ukiona vyaelea ujue vimeundwa!
 
Acha uongo,DCM zipo za kumwaga,au unaongea bila kujua,angalia mwenge-mbagala alafu unipe jibu!!!
 
Hii ndio wilaya inayoact kama UNHCR,a lot of Wanyasa na wa Congo!!!
 
ndiyo wilaya ninayoipenda kwa moyo wangu woteeee
 
You are more likely kuporwa simu yako au kupigwa roba ukiwa Kinondoni kuliko sehemu yoyote ile Bongo. I dont feel safe at all nikiwa nakatiza streets za K'ndoni.
 
Kinondoni ndio wilaya ambayo watu wenye uwezo wao wamenunua viwanja vya kuzikiwa.
 
You are more likely kuporwa simu yako au kupigwa roba ukiwa Kinondoni kuliko sehemu yoyote ile Bongo. I dont feel safe at all nikiwa nakatiza streets za K'ndoni.

You are wrong mkuu, its more likely to be robbed in Tandika, Mbagala etc than in Kinondoni. Issue ni labda Kinondoni simu zinazoibwa ni za ukweli sio kama za Tandika, Temeke au Mbagala!
 
Yaani Kinondoni jirani yako kama sio shoga ni Changu au Kibaka....endelea!!

Bebeku bebekuuuu,chonde maneno hayo hayaaaa utaanza kututafuta hapa ukapumzike zkija weekedn dar..wanakusikia wenyewe hayaaa
 
Back
Top Bottom