Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

Lisu hana hoja ni mpiga makelele tu kwa chadema mjenga hoja kwenye mahojiano ni mmoja tu mbunge David Silinde mbunge wa chadema Momba the rest ni crap including Tundu Lisu.Tundu Lisu ana makelele mengi yasiyo Na hoja ndani
Ok let's assume uko right, ni crap, ni mpiga makelele.... Kwa sasa akamiminiwa risasi 38 kama mnauwa kundi la tembo? Why waste all the bullets?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi nilikuwa Kongwa, jimbo la supika, wananchi wako hoi bin taabani... Leo niko Likawage, Lindi umasikini nilioukuta huku utazani uhuru tumepata mwaka jana. So hiyo dhana yako ni potofu sana.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni maoni yako na huo ni mtazamo wako binafsi. Inawezekana Kongwa wako hoi lakini hakuna Njaa wala shida ya maji. Wako hoi kwa kiwango gani na kulinganisha na nani!? Hii ndio ilitakiwa iwe hoja ya msingi hapa.
 
Kazi ya pesa iliyoko kwenye mfuko wa maendeleo jimboni ni nini kamanda!?
Mkiitwa malofa na mapimbi, Kwa ufinyu wenu wa mawazo mnatoa mipovu.. Hebu nikuulize fedha ya jimbo ni sh ngapi kwa mwaka? Je bajeti ya wilaya ni sh ngapi? Kwa akili yako finyu fedha za jimbo zinaweza kuendesha wilaya kwa mwaka mzima?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkiitwa malofa na mapimbi, Kwa ufinyu wenu wa mawazo mnatoa mipovu.. Hebu nikuulize fedha ya jimbo ni sh ngapi kwa mwaka? Je bajeti ya wilaya ni sh ngapi? Kwa akili yako finyu fedha za jimbo zinaweza kuendesha wilaya kwa mwaka mzima?

Sent using Jamii Forums mobile app
Malizana kumtayarishia chai mumeo kwanza ndio uje kudanga JF. Naona umeamka nazo basi unaweweseka kama umepatwa na degedege + tumbo kuhara.
 
Hahaha umjibu hoja gani Lissuu..hivi unamuona ana hoja yule..si ni kama amechanganyikiwa, we unqvyomuona yuko sawa..? Ni kama amerukwa na akili fulani hivi..hayuko sawa..you can tell even by looking..!!
Sasa nikwambie ukitukanana na chizi na wewe utaonekana chizi..dawa ya chizi ninkumwacha apayuke akichoka analala..kwanza wananchi wameshamchoka..tanzanians are fed up..imagine kama yule mzungu aliyemhoji tu alimchoka kwa kutokuwa na point za kujieleza, hivi unategemea nini kwa wananchi wanaomsikiliza mara kwa mara..wameshamshtukia mwanaharakati na kibaraka wa wazungu..! Wacha aendelee kuwalambalamba..
Lissuuu alipoteza umaarufu pale alipotaka kuingiza chaka wananchi eti tulifanya makosa kuwakamata jamaa wa makinikia..khaaa...upumbaf mtupu..yani mtu umemstukia anakwibia, sasa kumkamata liwe kosa..?? Ujinga wawapi ule..kumbe jamaa kule pembeni alikuwa anapenya kwenda maofisi yao kimyakimya sijui kufanya nini
Hiki ndicho pekee mnachokiweza full stop, lakini kujibu kwa hoja, hata muitane wooote hakuna anayemuweza. Mahakamani pia mlichemsha kwa jinsi alivyokuwa anawaburuza. Mkaona dawa ni pyu pyu.... But mkasahau kwamba Mungu Muumba ana mipango yake bado na mja wake. So endeleeni na hicho mnachokiweza Kumwita mwehu, kichaa, apelekwe milembe etc etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huwezi kubishana na kichaa na wewe utakuwa kichaa.....hatuko hapa kumuangalia mtu mmoja akiwadanganya watanzania akiwa ndani na nje ya nchi hatuwezi kuhangaika na mtu anayewajenga watanzania kuwa wasaliti wa nchi yao....hilo halitawezekana kamwe ndani ya Tanzania mpaka mwisho wa dunia....msaliti yoyote atashughulikiwa kama ambavyo msaliti anatakiwa kushughulikiwa na hiyo ndiyo dawa ya msaliti
Usisahau pia na wewe kuna siku utashughulikiwa tuu kama wengine...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshafika katika majimbo ya hao uliowataja hivi karibuni? Mimi nimefika Jimboni kwa bwana Lissu, nilikuwa huko mwezi wa kumi na mbili mwaka jana (2018) HALI INATISHA SANA.
Ni jimbo gani ambalo hali haitishi? Hiyo wilaya DC na ded Wanafanya kazi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Kwan mkuu ww maisha mazuri uliyonayo ni kwa ajili ya mbunge wako? Siamin katika hili unalosema kwan mafanikio ya mtu ni jitihada binafsi bhna, acha upotoshaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie badala ya kufufua uchumi mlioutia kidole mko busy na Lissu. Mlituahidi uchumi wa kati na kutujengea viwanda kama Canada mko busy na Lissu siku zinakwenda Lissu sio Rais ni mbunge na mwanasheria. Mkumbushe mkuu wa nchi ahadi alizotoa wakati wa kampeni mda umeyoyoma zimebaki daki 80 mpira uishe Mko busy na Lissu mkubushe Elfu 50 kila kikiji kaahidi mwenyewe kwa mdomo wake Mko bussy na Lissu, Mkuu aliahidi kuondoa kodi za kero kuanzia bandarini mpaka mtaani badala yake zimeongezeka maladufu mko busy na Lissu Elimu bure bilabila Mko bussy na Lissu kwanini msijadili ahadi hewa lukuki alizo tuahidi ambazo hata kwa mazingaombwe azitekelezeki mko bussy na Lissu endelea kua bussy na Lissu mnanikera sana . Kumtibu hamtaki mnaweweseka 2020 anakuja kuwafundisha siasa za kidigital jiandae
 
Kwan mkuu ww maisha mazuri uliyonayo ni kwa ajili ya mbunge wako? Siamin katika hili unalosema kwan mafanikio ya mtu ni jitihada binafsi bhna, acha upotoshaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mafanikio ya mtu ni jitihada binafsi kwa nini kutwa mnailaumu Serikali na kumtukana Mh. Rais juu ya maendeleo ya Tanzania!?
 
Jifunze kuzitawala hisia zako kamanda...hilo neno "huniambii kitu" nimelitumia kama kachumbari kuongeza ladha ya muhigo wa kukaanga. Sikuwa na nia ya kukubeza.

Ni wapi niliposema/kuandika wana Tabu sana!? Nilichoandika ni kwamba HALI NI MBAYA SANA. Ukimnukuu mtu epuka kumlisha maneno.
Mimi nimezungumzia huko kwa sababu nakufahamu vilivyo kuliko hata kwetu kwenye chimbuko la mababu. Na nimekutajia sehemu chache tu za huko nilizopita na kufanya shughuli zangu.
Sikatai ya kwamba Kongwa kuna hali isiyoridhisha, lakini sio kwa kiwango cha hizo sehemu nilizokutajia. Kwa ufupi Singida mashariki hali ni mbaya sana na wanahitaji Mbunge ambaye atawasemea na kuwapigania shida zao.
Tundu Lissu alifaa kuwa Mbunge wa Kawe, Temeke, Kinondoni au Ubungo ili aendeleze libeneke vizuri.
Hawatendei Haki wana Singida mashariki na hili litakuwa dhahiri kwenye uchaguzi wa 2020.
Hapana kaka. Mm ni mwenyeji na sio kwamba natetea ila hali halisi naiyona.
Kuna wilaya za kondoa na kongwa.. hii wilaya zinapigwa gape japo kidogo na singida mashariki. Nakwambia hivyo sababu nimekaa wilaya hiz nazifaham .. hata kabla jpm kuingia mdadarakani. Hali zao ni tete sana.. miaka nenda miaka rudi japo bunge liko dodoma lakin haijasaidia lolote.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!

Yaani umeakisi uzi wa mleta uzi. Mmeambiwa mjibu hoja zake kwa hoja. Jimbo la Lissu halina tofauti na jimbo lolote lingine la maeneo ya vijijini. Sio jukumu la mbunge kuleta maendeleo jimboni - shule, mahospitali, barabara ni vitu na majukumu ya serikali. Period!! Unawaita mabeberu watu unaowakimbilia kila siku wakupe misaada ya maendeleo na kukukopesha?? Unaowaita waje kuwekeza? Unaowauzia mazao ya kilimo? Unawazungumzia kama ni watu wabaya lakini unawategemea kimaisha.

Jikite kwenye hoja. Sio kwenye maneno taka!
 
Hapana kaka. Mm ni mwenyeji na sio kwamba natetea ila hali halisi naiyona.
Kuna wilaya za kondoa na kongwa.. hii wilaya zinapigwa gape japo kidogo na singida mashariki. Nakwambia hivyo sababu nimekaa wilaya hiz nazifaham .. hata kabla jpm kuingia mdadarakani. Hali zao ni tete sana.. miaka nenda miaka rudi japo bunge liko dodoma lakin haijasaidia lolote.



Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani Kama uko sahihi katika uhalisia juu ya hilo la Kongwa na Kondoa kupigwa Gap na Singida mashariki kaka. Hayo maeneo yote nimepita kwa shughuli za kikazi. Kwa hiyo naelewa mazingira na hali halisi ya huko.
Tatizo kubwa linalowakabili Wanasiasa wa pande zote ni VIPAUMBELE.

Nimeongelea Singida Mashariki kwa mfano halisi kwa sababu ya Tundu Lissu kuwa wa "Kimataifa" kwa sasa na ana hits milioni 82 mitandaoni. Kwa watu makini haswa hao mabeberu huwa wanapenda kufanya Tafiti kwanza kabla ya kutoa maamuzi katika jambo lolote. Leo hii mabeberu wakiamua kutembelea Jimbo ambalo anaongoza bwana Lissu ili waweze kujiridhisha na Utendaji wake kabla ya kumuunga mkono kuing'oa serikali ya CCM madarakani itakuwaje!?
Maana mabeberu huwa wanakupima mtu kutokana na Utendaji na Weledi wako sio ujuaji mwingi na kupayuka katika mitandao ya kijamii.
 
Back
Top Bottom