Wewe jifunze kuheshimu mitazamo tofauti na uliyolishwa Ubongo wako. Nikae kimya unanilipia bundle!?
Pathetic swine!
Wewe jifunze kuheshimu mitazamo tofauti na uliyolishwa Ubongo wako. Nikae kimya unanilipia bundle!?
Naona umehitimisha kwa Lugha ya mabeberu!Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Hoja baba, hoja! Naona umeruka kwa maumivu.Wewe jifunze kuheshimu mitazamo tofauti na uliyolishwa Ubongo wako. Nikae kimya unanilipia bundle!?
Pathetic swine!
Watetezi wa CCM wamekariri ubeberu na ushoga kwa Akili zao ndogo wanadhani hicho ni kisingizio tosha, wamesahau kuwa watanzania wameamka wanazijua Sinema zao zote.Naona umehitimisha kwa Lugha ya mabeberu!
Kiazi katika ubora wako
Pia njama za kumuua napo wapo vizuri zaidiCcm haina mtu wa kujenga hoja sasa hivi wote kazi yao ni kupiga vijembe kama alivyo mkuu wao
Hapo ndipo Uwezo wako ulipoishia. Unastahili pongeziUna hoja gani?
Pathetic swine!
Kujibu hoja za TL. Hivi hata wale wa kununua hawana msaada? Basi gawaneni majukumu.Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.
Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bungeni la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.
Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.
Dawa ya hoja ni hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mbumbumbu hujielewi ni watanzania wa wapi wamemchoka ? watanzania wa hapo gheto kwenu?acha ushamba wako toka kolomije na chato, nani kachanganyikiwa? Mmechanganyikiwa nyinyi mnaohaha kutaka kumuua kwa mara pili, wewe mwenyewe haupo sawa utaweza kuona Tundu Lisu hayupo sawa? Lisu hakupoteza umaarufu kwenye makinikia kwani tokea mwaka 1998 alikuwa akipinga mikataba mibovu na magufuli alikuwepo mbona hakuwahi kumsaidia kupinga? Kwa taarifa yako wewe kilaza biashara ya makinikia ipo kama kawaida wanapeleka ulaya Canada na sehemu zingine Duniani kimya kimya na wazungu wamelipa pesa nyingi imepigwa kimya kimya na Mtukufu malaika toka chato na Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite, wajanja wachache wanapiga pesa kuanzia ununuzi wa ndege ujenzi wa chato Airport na miladi yote mikubwa, wewe ndiyo umerukwa na Akili kwani badala ya kuijongeza umekariri vyote uliyolishwa na cyprian Musiba, hakuna mwananchi kamshitukia kuwa ni kibaraka bali wananchi wanalia na CCM kumpiga Risasi kwani kama sio CCM kumshambulia leo hii asingekuwa huko Ulaya, wa kubeba lawama zote ni CCM kwanza.Hahaha umjibu hoja gani Lissuu..hivi unamuona ana hoja yule..si ni kama amechanganyikiwa, we unqvyomuona yuko sawa..? Ni kama amerukwa na akili fulani hivi..hayuko sawa..you can tell even by looking..!!
Sasa nikwambie ukitukanana na chizi na wewe utaonekana chizi..dawa ya chizi ninkumwacha apayuke akichoka analala..kwanza wananchi wameshamchoka..tanzanians are fed up..imagine kama yule mzungu aliyemhoji tu alimchoka kwa kutokuwa na point za kujieleza, hivi unategemea nini kwa wananchi wanaomsikiliza mara kwa mara..wameshamshtukia mwanaharakati na kibaraka wa wazungu..! Wacha aendelee kuwalambalamba..
Lissuuu alipoteza umaarufu pale alipotaka kuingiza chaka wananchi eti tulifanya makosa kuwakamata jamaa wa makinikia..khaaa...upumbaf mtupu..yani mtu umemstukia anakwibia, sasa kumkamata liwe kosa..?? Ujinga wawapi ule..kumbe jamaa kule pembeni alikuwa anapenya kwenda maofisi yao kimyakimya sijui kufanya nini
Hilo jimbo kabla ya Lissu kuwa mbunge likikuwa chini ya mbunge yupi toka chama kipi??Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
MbonaHao uliowataja wako kwa mabeberu wanahubiri na kuunga mkono Ushoga!?
Ushoga kamuulize mahiga.Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Kwani kabla Tundu Lisu hajawa mbunge hao wana Singida walikua na maisha mazuri?Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Huwa nakuwa huko mara kwa mara kikazi. Na huwa nakuwa maeneo ya Ihanja, Iseke, Issuna, Ligwa, Sipuka, Unyahati, Mtunduru, Mungaa, Mwaru, Ighombwe n.k. Kwa ujumla nimezunguka sana maeneo hayo.
Gumanga, Ibaga, Iguguno, Mpambala, Mwangeza, Nduguti kote huko nimetifua. Kwa hiyo huwezi niambia kitu.
Hata mimi nakuunga mkono mkuu maana ukitembelea kwenye majimbo yanayoongozwa na wabunge wa ccm nchi hii yana maendeleo kama ulaya, Lissu ni mtu hatari sana amezuia maendeleo jimboni kwake pamoja na uwepo wa baraza la madiwani, Mkurugenzi, mwenyekiti wa halmashauri na mkuu wa Wilaya, wananchi jimboni kwa Lissu wanatuonea wivu sana wananchi tunaoongozwa na wabunge wa ccm maana tunaishi kama tuko UlayaHizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Kwahiyo mliona hoja zake ngumu kujibika hapo Lumumba wala hakuna mwenye uthubutu wa kuzijibu hoja zile mkaamua kutumia bunduki za kivita kuzima sauti yake,...hakika damu ya Lissu itawaandama hadi vizazi vyenu wajinga ninyiLisu hana hoja ni mpiga makelele tu kwa chadema mjenga hoja kwenye mahojiano ni mmoja tu mbunge David Silinde mbunge wa chadema Momba the rest ni crap including Tundu Lisu.Tundu Lisu ana makelele mengi yasiyo Na hoja ndani
Nimekufuata na huku Ankal kukuomba uache uongo.Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Kwa sasa hakuna wa kumzidi hoja mhe lissu sababu walioko ccm wapo kimaslai zaidi yaan hawaipendi ccm ila kwasababu ya tumbo wapoNawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.
Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bungeni la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.
Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.
Dawa ya hoja ni hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifunze kuzitawala hisia zako kamanda...hilo neno "huniambii kitu" nimelitumia kama kachumbari kuongeza ladha ya muhigo wa kukaanga. Sikuwa na nia ya kukubeza.Sijakwambi kuwa sikuambii kitu. Binafsi ni mwenyeji wa huko.. ww ws kuja ndio huwez kuniambia kitu.
Anyway mabishano si njia yangu.. ila kusema kuwa wanasingida mashariki wana tab sana.. utakuwa unaegemea upande mmoja..
Nimezunguka hii nchi sana. Kuna majimbo ya wabunge wa ccm hali ni mbaya kuliko hata ya nyumban.
Mfano mzuri ni kwa jiran. Hapo dodoma, wilaya ya kongwa mazingira ni mabaya kuliko hata singida..
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mfuko una bei gani? Milioni mia moja tu kama sikosei. Hebu zigawanye kwa kata zote, shule zote, vijiji vyote na hata zahanati zote na madaraja au barabara kama hawajaambulia laki moja! Sidhani kama unafanya kautafiti kabla ya kukurupuka humu! Maendeleo ya mahali hupelekwa na serikali kwani ndio wakusanya kodi na wapokea mapendejezo na maombi ya miradi kutoka kwa wabunge! Mbunge kazi yake ni kuhamasisha na kuibua miradi akishirikiana na wapigakura wake! Chunguza majimbo yanayoongozwa na ccm yana maendeleo ya kiwango gani kama siyo hakuna kabisa! Anza kuwakandia wabunge wa ccm kwanza.Kazi ya pesa iliyoko kwenye mfuko wa maendeleo jimboni ni nini kamanda!?