Fedor von Bock
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,321
- 2,157
Hahaaaaaa🙂🙂
profeserio rabishhhhiiiiiiiii
Hahaaaaaa🙂🙂
Heshima kwa Dada.Nyie badala ya kutafuta dawa ya kufufua uchumi unaotumbukia busy na Lissu. Lissu sio Rais ni mbunge na mwanasheria. Tumsaidie mkuu wa nchi kwa vitu vya maana na sio Lissu Lissu kila siku mnanikera. Kumtibu hamtaki mnaweweseka nini
Kabla hajawaambia "ningewapoteza wote" waliimba wote kwa pamoja akiwapo Majaliwa 'tuna imani na Lowassa' mbele ya JK. Nani haogopi kupotezwa na gangstar? Ni wachache tuu walio jitoa maisha yao kwa ajili ya taifa.Wana CCM wa kweli?? Sikujua hili mkuu! Kumbe wapo? Ndio waliomtosa Lowasa? Zipi sifa zao hao CCM wa kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni nani wa kupinga uahili wa Lissu??Lisu hana hoja ni mpiga makelele tu kwa chadema mjenga hoja kwenye mahojiano ni mmoja tu mbunge David Silinde mbunge wa chadema Momba the rest ni crap including Tundu Lisu.Tundu Lisu ana makelele mengi yasiyo Na hoja ndani
Mbona mbunge wetu sisi hajawai kusafiri kokote yupo bize tu na vikao vya Chama lakini hali ni ngumu uku.. Acha kulia kulia fanya kazi ujenge nchi yako sio vijembe kwa lissuHizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Kila kitu Lissu,kila saa Lissukila kona Lissu.Kama ataendelea kujadiliwa hivi kuna kazi 2020!
Hana hoja zozote huyo lissu na hakuna haja ya kumjibu. Mwache apoteze muda tu hiko kwa bwana zake. Hatutishwi sisi.Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.
Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bunge la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.
Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.
Dawa ya hoja ni hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Ccm haina mtu wa kujenga hoja sasa hivi wote kazi yao ni kupiga vijembe kama alivyo mkuu wao
Baadhi ya hoja alizojenga zingezingatiwa hizi kelele za mikataba mibovu zingeepukika sahivi. Tusiwe watanzania tunaofikirishwa na Chama badala ya akili zetu tulizonazo. Swala la majimbo kua kwenye hali mbaya sio hilo la Lisu tu, Tanzania nzima ipo kwenye umasikini mkubwa sana, usidanganywe na miji michache ambayo inaonekana kua na afadhali, tembea nje ya miji kidogo na ujifikirishe. Usisubiri watu wafikiri kwa niaba yako.Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Sio kweliLisu hana hoja ni mpiga makelele tu kwa chadema mjenga hoja kwenye mahojiano ni mmoja tu mbunge David Silinde mbunge wa chadema Momba the rest ni crap including Tundu Lisu.Tundu Lisu ana makelele mengi yasiyo Na hoja ndani
Mahakama ndio inajua HiloSuala la kina Babu Seya ulishawahi kupata wasaa wa kupitia mafaili ya kesi nzima!? Maana mnatokwa mapovu kama nyie ndio mlikuwa wapelelezi na watoa Hukumu wa kesi husika.
Unajua Mazingira ya kesi ya kina Babu Seya na watoto wake!?
Mashoga mko busy sana kumtetea Lissu tokea alipounga mkono harakati zenu.Mbona mbunge wetu sisi hajawai kusafiri kokote yupo bize tu na vikao vya Chama lakini hali ni ngumu uku.. Acha kulia kulia fanya kazi ujenge nchi yako sio vijembe kwa lissu
Sent using Jamii Forums mobile app
Zuzu ni hilo danga lako linalokutatua. Nenda Chato kajionee yanayojiri.Jimbo la lisu utalinganisha la Magufuli kalikalia miaka 20 na sasa ni raisi bado watu wanakunya maporini na mitoni wanakunywa maji pamoja na ng'ombe nyamaza wewe acha uzuzu
Hahahahah......Na kweli.Mnampigiaje Kura Mgombea anaitwa JITU!? Majina huumba....kawa Jitu kweli kweli.
Hahahahah......Na kweli.Mnampigiaje Kura Mgombea anaitwa JITU!? Majina huumba....kawa Jitu kweli kweli.