Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

Baadhi ya hoja alizojenga zingezingatiwa hizi kelele za mikataba mibovu zingeepukika sahivi. Tusiwe watanzania tunaofikirishwa na Chama badala ya akili zetu tulizonazo. Swala la majimbo kua kwenye hali mbaya sio hilo la Lisu tu, Tanzania nzima ipo kwenye umasikini mkubwa sana, usidanganywe na miji michache ambayo inaonekana kua na afadhali, tembea nje ya miji kidogo na ujifikirishe. Usisubiri watu wafikiri kwa niaba yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa na akili timamu unatakiwa kusoma na kuelewa hoja husika ili uwe na uwezo wa kuitolea majibu sahihi au kujadili kwa weledi.
Tundu Lissu yeye ni Kinara wa kupingana na serikali ilihali wapiga Kura wake wanata tabu sana kupita maelezo.
Mimi nimemzungumia Lissu kwa sababu yeye ndiye Mbunge pekee wa JMT anayefanya shughuli za UHAINI kwa sasa dhidi ya Tanzania.
Ulafi wa madaraka ni kitu kibaya sana. Hautamuacha salama. Muda utaongea.
 
Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.

Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bunge la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.

Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.

Dawa ya hoja ni hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
You can say it again, hoja zijibiwe kwa hoja sio kunyamazisha watu wasitoe hoja au kuwatisha. Lissu is a brain am sure wanatakiwa brains of its kind kumjibu sio kina kibajaji au msukuma.
 
Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.

Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bunge la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.

Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.

Dawa ya hoja ni hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi yule ajuza Polepole, Bashite (Mzee wa hips) na Msukuma si wameshajibu hoja za Lissu kiufasaa kabisa. Ngoja tumsubiri Kibajaji kama naye atakua na nyongeza!
 
Ukiwa na akili timamu unatakiwa kusoma na kuelewa hoja husika ili uwe na uwezo wa kuitolea majibu sahihi au kujadili kwa weledi.
Tundu Lissu yeye ni Kinara wa kupingana na serikali ilihali wapiga Kura wake wanata tabu sana kupita maelezo.
Mimi nimemzungumia Lissu kwa sababu yeye ndiye Mbunge pekee wa JMT anayefanya shughuli za UHAINI kwa sasa dhidi ya Tanzania.
Ulafi wa madaraka ni kitu kibaya sana. Hautamuacha salama. Muda utaongea.
Mmmmmh
 
Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Akili ya sisimizi inapowekwa kwenye bichwa la binadamu inakuwa kama tone la chozi kwenye bahari...stop defaming yourself

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Shoga katika ubora wako Love69 ni sign ya ushoga
 
Hahahahaha. Makamanda laana ya Ushoga inawatafuna. Mama yako hajambo lakini? Mpe salamu zangu.
Love69 ni position ya kugegedana lambalambana. Mnalambana. Mara nyingi hii position69 hutumiwa na mashoga
 
Kama ilivyo Kandahari mnavyopenyezewa mihadarati kwenye Inye. Duh!
Love69 tafsiri nyingine ni kubanduana. Sijui ni Nani anakubandua wewe. Sio kwamba nakuonea, Google hiyo position nlokuambia ndio utajua tumekustukia wewe ni shoga au msagajhi!
 
Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.

Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bunge la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.

Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.

Dawa ya hoja ni hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja kama una facts ni bure! Uongouongo hautafaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Maendeleo yeye ndio anakusanya kodi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Love69 tafsiri nyingine ni kubanduana. Sijui ni Nani anakubandua wewe. Sio kwamba nakuonea, Google hiyo position nlokuambia ndio utajua tumekustukia wewe ni shoga au msagajhi!
Maliza kumuandalia chai mumeo ndio uingie kudanga JF.
 
Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Juzi nilikuwa Kongwa, jimbo la supika, wananchi wako hoi bin taabani... Leo niko Likawage, Lindi umasikini nilioukuta huku utazani uhuru tumepata mwaka jana. So hiyo dhana yako ni potofu sana.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom