The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,381
- 2,553
- Thread starter
- #341
Hii nayo ni hoja?Dawa yake ni kumtundulisu tu kwenye kinyeo chake.
Nyie jamaa ndo mmefika hapa kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nayo ni hoja?Dawa yake ni kumtundulisu tu kwenye kinyeo chake.
Mwenyewe anapenda kutundulisiwa, kama na wewe pia hupendi gonga like twende zetu.
Umeng'ang'ania ushoga au wewe bwabwa ,mchicha mwiba,punga ..Mh Mahige alipinga harakati za Bashite kukamata mashoga nae aliunga mkono.??.propaganda za kitoto mnatia aibuHao uliowataja wako kwa mabeberu wanahubiri na kuunga mkono Ushoga!?
Mara nyingi mtu anayedai fulani mchawi, ndiye mchawi haswaa! Huna marinda kama alivyo mwenxzako Bashite!Kwa hiyo Mh. Mahiga alikuokoa, la sivyo kampeni ya kuwasaka na wenzako isingewaacha salama.
Bwabwa hilo lisikuchoshe! Kutwa nzima limeng'ang'ana na ushoga linataka lijadili tu biashara yake...jinga kabisa hilo jamaa!Umeng'ang'ania ushoga au wewe bwabwa ,mchicha mwiba,punga ..Mh Mahige alipinga harakati za Bashite kukamata mashoga nae aliunga mkono.??.propaganda za kitoto mnatia aibu
sasa kama unajua shida yako iko wapiUsisahau pia na wewe kuna siku utashughulikiwa tuu kama wengine...
Sent using Jamii Forums mobile app
tusiombeane mabaya tutakiane heri jamani.sasa kama unajua shida yako iko wapi
Ifike pahala watu tufikiri kwa kutumia akili sio viungo vingine..... Kazi za mbunge katika katiba ni hizi tatu:Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
fact.Ifike pahala watu tufikiri kwa kutumia akili sio viungo vingine..... Kazi za mbunge katika katiba ni hizi tatu:
1. Kuwawakilisha wananchi kwa kusemea mambo yao
2. Kutunga sheria kupitia bunge
3. Kuisimamia serikali.
Wananchi wa Ikungi wanasemewa siku zote tena hata wa majimbo mengine ukiwemo wewe, Kwenye Kutunga sheria nadhani unajua mwenyewe hadi Chenge anamuunga mkono, kwenye kuisimamia serikali ametimiza wajibu wake zaidi ya ulivyowahi kudhani..... Usibebe chuki hadi ukapofuka kwa sababu za kishabiki unapoteza ubora wa akili aliyokupatia Mungu.... Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni..... Jimbo LA Kongwa limeendelezwa na mbunge wake au exposure yako inaishia sebuleni kwenu tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lisu hana hoja ni mpiga makelele tu kwa chadema mjenga hoja kwenye mahojiano ni mmoja tu mbunge David Silinde mbunge wa chadema Momba the rest ni crap including Tundu Lisu.Tundu Lisu ana makelele mengi yasiyo Na hoja ndani
Hapo sijui unamsema nani?Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.
Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bunge la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.
Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.
Dawa ya hoja ni hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Write your reply...
Tundu Lisu hakuna anachokitaka zaidi n madaraka na ndio maana amekuwa akimchafua raisi ......sasa njia anayoitumia sio sahihi huo uraisi anaoutaka hatoupata ......na anachokifanya wengi tunamuona mjinga coz anaiabisha nchi na raisi wake ......kwenye za kikoloni ....na pia angekua kwenye nchi km china,uSA,japan,nk sijui angefanywa nn huwez ongelea nchi yako kwa mabaya sasa yeye hawe raisi atamuongoza nan kwa staili ilee .....
Chichiemu kuna takataka aiseeNawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.
Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bunge la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.
Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.
Dawa ya hoja ni hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app