Hii meseji hii, inasikitisha sana

Hii meseji hii, inasikitisha sana

Mume mpuuzi sana, anaruhusu vipi mke kupigwa na malaya mbele yake.
Huyo mume alikua nao hao malaya, alafu kalewa sio kupigwa tu mke alivuliwa nguo yani gauni ilipandishwa kipindi anamkabili malaya Mmoja huyu alie Baki akapandisha gauni ya huyo mke alafu akaishusha chupi, acha mkuu niliumia sana hakuna alie ingilia wote tulibaki kutazama
 
Upo sahihi kabisa nimeelewa lakini usiishie hapo tu, kwanini lije swala la ninauhakika wewe ndiyo umeuleta nyumbani? Kwanini isiwe direct tu wewe ndo umeleta ugonjwa nyumbani.
Hapo sijui mkuu, ila Kwa sisi mapopo tumeona mengi sana wake wengi wamewaka Kwa tabia za wame zao mana tuliKua tunawaona live, unasema tu hapa mkewe analo
 
Mbona we joanah ulileta Uzi wako humu, hali uliyo kua nayo na unavo jibu nani ange amini kama una umwa ?

Kwa hiyo unadhani niliweka uzi ili muamini? Ile ni taarifa mzee, muamini ama msiamini i don't give a phuck
Ndio maana sijapoteza muda kujielezea kwa wangese wengine walioanzisha uzi kuhusu hilo jambo

Jifunze kukubaliana na maoni ya kila mtu
 
Back
Top Bottom