Alexido jz instagram
JF-Expert Member
- May 5, 2026
- 3,009
- 7,018
Hapana umeelewa vizuri mke alikua ana lalamika mumewe kuchelewa kurudi home kumbe alikua na maana njema tu"ninauwakika wewe ndoumeleta huu ugonjwa nyumbani"
Inaonyesha ata mama chanja anacheza mechi za ugenini
Kuna mabinti wanateseka mkuu acha tu, una Kuta Binti katulia ila mwanaume sasaHatari sana
Hii meseji imeni mkumbusha nikiwa geita Kuna sehemu palikua panaitwa lunguya bar, sasa nilikua napita zangu barabarani mara akaja dada Mmoja kabeba mtoto mgongoni, mara akaanza kulia asee Ali Lia huku anamfokea jamaa hivi kakalia kwenye kiti, yule dada alikua ana lalamika tabia ya mumewe kukaa na wanawake wanakunywa pombe usiku ilihali ni mume wa mtu na anachelewa kurudi home na akirudi kalewa asee inaumiza ACHA TU yule dada najua alienda beba kilicho chake akasepa, sasa huyo sio Kuna kabinti kembamba kazuri kalienda pale karibu na usbon geita kufumania mumewe, kaka Anza kulia sasa Kuna malaya wawili walikua pale na huyo kijana yani mume wa huyo dada, si wakaanza mzingua huyo Binti Mzee Binti akataka kujipima ubavu huku analia na hao malaya we ALIPIGIWA Hadi kuvuliwa nguo yani gauni linapandishwa alafu chupi inashushwa Kwa kweli huyo Binti alidharrishwa alafu ilikua mchana, sizani kama hio ndoa bado ipoDuh,
Inasikitisha sana..
Pombe + mizagamuo haiachagi mtu salama
Katika gali hiyo na bado wana maintain emoji, basi bado
Mume mpuuzi sana, anaruhusu vipi mke kupigwa na malaya mbele yake.Hii meseji imeni mkumbusha nikiwa geita Kuna sehemu palikua panaitwa lunguya bar, sasa nilikua napita zangu barabarani mara akaja dada Mmoja kabeba mtoto mgongoni, mara akaanza kulia asee Ali Lia huku anamfokea jamaa hivi kakalia kwenye kiti, yule dada alikua ana lalamika tabia ya mumewe kukaa na wanawake wanakunywa pombe usiku ilihali ni mume wa mtu na anachelewa kurudi home na akirudi kalewa asee inaumiza ACHA TU yule dada najua alienda beba kilicho chake akasepa, sasa huyo sio Kuna kabinti kembamba kazuri kalienda pale karibu na usbon geita kufumania mumewe, kaka Anza kulia sasa Kuna malaya wawili walikua pale na huyo kijana yani mume wa huyo dada, si wakaanza mzingua huyo Binti Mzee Binti akataka kujipima ubavu huku analia na hao malaya we ALIPIGIWA Hadi kuvuliwa nguo yani gauni linapandishwa alafu chupi inashushwa Kwa kweli huyo Binti alidharrishwa alafu ilikua mchana, sizani kama hio ndoa bado ipo
Upo sahihi kabisa nimeelewa lakini usiishie hapo tu, kwanini lije swala la ninauhakika wewe ndiyo umeuleta nyumbani? Kwanini isiwe direct tu wewe ndo umeleta ugonjwa nyumbani.Hapana umeelewa vizuri mke alikua ana lalamika mumewe kuchelewa kurudi home kumbe alikua na maana njema tu
Naam, bila shakaNa 'mama' kairemba kaandika 'mamah'
Hiyo convo imepikwa
Nimefurahi kukuona mpendwa wanguNa 'mama' kairemba kaandika 'mamah'
Hiyo convo imepikwa
Dah Jana tu nilikua insta Kuna jamaa kapostiwa anahitaji msaada ukimwi umempiga acheni tu mazeer MUNGU atusimamie inshaallahAfu unamsikia mtu mmoja anajiona kakamilika, anasema ukimwi ni km malaria!