StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 6,709
- 8,021
Ndio maana huwa nasema Mke/Mume wa kujitafutia mwenyewe ni tofauti na Mke/Mume wa kupewa na Mungu.Kuna mabinti wanateseka mkuu acha tu, una Kuta Binti katulia ila mwanaume sasa
Ukijitafutia mwenyewe jiandae kwa lolote wakati wowote!