mweatu
Member
- Jul 13, 2015
- 16
- 47
Pale ambapo upo mkoani na unapambana kupata ajira, halafu unapata interviews za Dar mara kadhaa, na unafikia kwa washikaji zako huko Dar ambao kiasi fulani maisha wameyaweza.
Ni wa umri wako, wengine hata classmates. Unakuta wana mijengo saafi, usafiri, unakaa pale comfortably unakula, unakunywa unapewa na pocket money kabisa.
Then kila ukienda interview, hamna kitu. Sometimes hata oral interview hufiki. Unakuja umeinama, kichwa chini, na unarudi zako mkoani.
Halafu unapewa na nauli, then unaagizwa ukawatafutie ekari za ardhi za kutosha huko kijijini ili wawekeze huko pia eg ekari 100, 150, duh!.
Duh! Ngoja tuendelee kuwapigia makofi wenzetu, ipo siku itakuwa zamu yetu pia kupigiwa makofi.
Tuendelee kupambana
Ni wa umri wako, wengine hata classmates. Unakuta wana mijengo saafi, usafiri, unakaa pale comfortably unakula, unakunywa unapewa na pocket money kabisa.
Then kila ukienda interview, hamna kitu. Sometimes hata oral interview hufiki. Unakuja umeinama, kichwa chini, na unarudi zako mkoani.
Halafu unapewa na nauli, then unaagizwa ukawatafutie ekari za ardhi za kutosha huko kijijini ili wawekeze huko pia eg ekari 100, 150, duh!.
Duh! Ngoja tuendelee kuwapigia makofi wenzetu, ipo siku itakuwa zamu yetu pia kupigiwa makofi.
Tuendelee kupambana