Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,056
- 10,341
Khaa!! Hapa nimejifunza kitu. Hata sehemu ikiwa safi sana basi ni kero kubwa kwa inzi :shock:Wanaokereka wamechangia na wengine wamepita kimya kimya!! Kama kwako si kero Kwa wengine ni kero
Khaa!! Hapa nimejifunza kitu. Hata sehemu ikiwa safi sana basi ni kero kubwa kwa inzi :shock:Wanaokereka wamechangia na wengine wamepita kimya kimya!! Kama kwako si kero Kwa wengine ni kero
Gari chafu linahusika vipi na usalama wa barabarani?
Anaitwa Anna aligongwa na hiace za Morombooo ni juzi juzi kapona
Hahaaa nlikuta hiyo ajali kametupwa mtaroni nusura roho itoke hpo soko la kilombero.....halafu mwenzake aliumia sana mana alitoka na kioo cha mbele
Ndiyo usumbufu tunaokwambia kwamba hawa jamaa ni shiderrrr.
Jana kuna jamaa kapigwa mkono sanawari Cedha traffic anamuuliza kwanini umebeba mayai kwenye siti ya gari jamaa akamwambia ulitaka nibebe wapi?
Mayai yenyewe tray3.
Baadae anamuuliza unapeleka wapi
Huwajui hawa wajinga atakuambia "arafu we reo hujapiga mswaki" huku ana zunguka gari wakati hua ameshika leseni yako na kadi ya gari lazima ushuke umpelekee chochote ndio akuteme.Kuwapa rushwa tunataka wenyewe...
Hakikisha gari lako halina kasoro yeyote...
Na ukiendesha fuata sheria za barabarani, hakuna trafic atakayekugusa...
Huwajui hawa wajinga atakuambia "arafu we reo hujapiga mswaki" huku ana zunguka gari wakati hua ameshika leseni yako na kadi ya gari lazima ushuke umpelekee chochote ndio akuteme.
Hakuna haja ya kumjibu, unakanyaga mafuta tu...
Mimi nimeamua kufanya hivyo.........coz hata nizikiri uchi.........nothing will change..........nchi ishakuwa ya kipuuzi hii........
sitaki presha zisizo za lazima..........
Huwajui hawa wajinga atakuambia "arafu we reo hujapiga mswaki" huku ana zunguka gari wakati hua ameshika leseni yako na kadi ya gari lazima ushuke umpelekee chochote ndio akuteme.
Last week waligongwa wa5 kwa mpigo Ngaramtoni! Hako kenye matege hata mimi nakafahamu, nasikia kanakaribia kustaafu lakini kanavyopenda kusimama barabarani kanataka kuongeza mkataba!
Kuna jamaa mmoja kiboko kweli. Walimsimamisha Sanawari kwenye mataa akiwa anaelekea moshi. Jamaa akakata kona kuelekea barabara ya sanawari ajuu alikuwa akiindesha carter
Baada ya kutokutii amri ya Trafiki Matrafiki walimkimbiza mmoja wao akadandia nyuma ya carter , gari inakimbizwa kwenye rafu road yule trafiki aliteswa sana huku dereva hajui kama nyuma amedandia Trafiki.
ni kweli, wanalazimisha rushwa..........
Kwanini umpe leseni original? mpe copy