Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,489
- 6,883
Kuwapa rushwa tunataka wenyewe...
Hakikisha gari lako halina kasoro yeyote...
Na ukiendesha fuata sheria za barabarani, hakuna trafic atakayekugusa...
Even a machine is not perfect 💯
Kuwapa rushwa tunataka wenyewe...
Hakikisha gari lako halina kasoro yeyote...
Na ukiendesha fuata sheria za barabarani, hakuna trafic atakayekugusa...
kwa sasa traffic police wamegeuka traSi arusha tu hao ni janga la taifa kwa sssa
Trafiki wanakula sana pesa ze2. Ata kama gari lina kila ki2. Hii serikali ya kidhulma.
kwa sasa traffic police wamegeuka tra
Mara nyingi anakua amesimama mitaa gani mkuu?Sasa hivi ndio wamekuwa balaa,Kuna Mdada mrefu mweupe mtu mzima,akikusimamisha bila Msimbaz hakuachii,makosa analazimishia.(Hizo hela wanazotafuta wanyonge unasikusanya,unapelekea mikosi familia yako we fala wa kirangi)
Leo alikuwa oysterbay,Kero kubwa sana kwa maderevaMara nyingi anakua amesimama mitaa gani mkuu?
Siku hizi washkaji wengi pale Chuga wakipigwa mkono hawasimami hata kwa dawa,wao ni nduki tu.