Au tuwakolimbe kuwapunguza mzuka wa rushwa hawa watu?!! Mungu apishe mbali;
Ndugu yanhgu Jembe Afrika una hoja kubwa sana hapa na ya maana sana lakini; hawa ni ndugu zetu tu; shida ni mfumo wenyewe!! kama trafiki anapewa lengo (target figure) akusanye pesa kiasi fulani apeleke ama ofisini au kwa mkubwa fulani kwa sababu zake; trafik atafanyaje jamani?! hata wao ni binadamu; kazi ndizo zinatuweka mijini; wana familia kama sisi na malengo ya maisha mengine kama sisi?! kama huko juu wanakula rushwa kama panya!!; wao wafanyeje jamani au kanuni ya uadilifu inawahusu wao tu "foot soldiers on the beat"?!
Ushauri wa bure;
Option I:: Kuna dhana hii: if you can not fight them; better join them or else you will be the looser!; shauri yako Jembe Afrika; jiunge na mfumo; befriend or be polite to them utaiona Arusha kama free way za California au Autobhan za Ujerumani na kwingineko in the first world ambako mifumo na taasisi ziko so transparent kiasi kwamba kero kama hizi za hovyo hovyo huwezi kuziona huko Ughaibuni.
Option II: Jiunge na VuguVugu la mabadiliko; tuliondoshe hili Zimwi linaitwa CCM; Ukoo wa panya; lililovurugavuruga mifumo ya uwajibikaji likatufikisha hapa tulipo; Vilio kulia na kushoto, vilio juu na chini; Vilio katikati, magharibi, kusini mashariki na kaskazini; kila mahali ni UUUUUUUUUUUwiiiiiiiiiiiiiii!!
Jembe Afrika join the movement for reforms and reconstruction of mother Tanzania; that is UKAWA 2015