Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,078
- 10,426
Khaa!! Acheni ujinga bana, Labda ama mnataka wenyewe. Mbona mie nawaona poa tu. Tena hata bunduki hawana!! :yawn:ni kweli, wanalazimisha rushwa..........
Khaa!! Acheni ujinga bana, Labda ama mnataka wenyewe. Mbona mie nawaona poa tu. Tena hata bunduki hawana!! :yawn:ni kweli, wanalazimisha rushwa..........
Khaa!! Kama katika jiji la Arusha kila watu 3 wawili ni wahalifu. Katika kila magari 10 saba ni ya wizi, Unategemea nini?? Toka lini Arusha wakavipenda vyombo vya ulinzi na usalama bana?? Tusiharibiane saumu bana :yawn:Kuna hawa wanaokaa maeneo ya Triple A kuanzia asubuhi hadi jioni kunasiku nimewasikia wakiadidhiana eti mmoja anamwambia mwenzake usipojenga na kununua gari Arusha nenda katambikie!
Khaa!! Kama katika jiji la Arusha kila watu 3 wawili ni wahalifu. Katika kila magari 10 saba ni ya wizi, Unategemea nini?? Toka lini Arusha wakavipenda vyombo vya ulinzi na usalama bana?? Tusiharibiane saumu bana :yawn:
Khaa!! Wewe ndiyo hujaelelewa. Hakuna sehemu ilipotajwa faini. Na mtakamuliwa sana hadi mrudi kwenye mstari. Soma upya ueleweKwahiyo hao traffic police wanatafutaga wahalifu na magari ya wizi kila siku then wakishapata wahalifu na hayo magari wanatozwa rushwa na faini ya kuanzia 30, 000Tshs na kuendelea?
Usivamie soma vizuri uelewe kinachoongelewa hapa.
Khaa!! Kama katika jiji la Arusha kila watu 3 wawili ni wahalifu. Katika kila magari 10 saba ni ya wizi, Unategemea nini?? Toka lini Arusha wakavipenda vyombo vya ulinzi na usalama bana?? Tusiharibiane saumu bana :yawn:
Khaa!! Wewe ndiyo hujaelelewa. Hakuna sehemu ilipotajwa faini. Na mtakamuliwa sana hadi mrudi kwenye mstari. Soma upya uelewe
Tuko kwenye kero za polisi wa usalama barabarani ktk mkoa wa Arusha.
Wakuu naandika hii maada nikiwa na hasira isiyozuilika.
Hata kama Ni usalama wa barabarani sasa huu ni upumbavu.Rushwa imekuwa logo yao ya kazi hata kama unakila kitu kwenye gari.Imefikia hatua kama huna hela Arusha kamwe hutaendesha gari hata kama gari lingekuwa jipya hutothubutu.Mbaya zaidi kama unatokea kisongo unaenda Kia imekula kwako kila mita 600wapo.
Anzia uwanjani Kisongo wapo,TANAPA,kona Mbauda,mataa ya Esso,kona ya TCA,Mianzini,Sanawari,kwa Mrefu,Daraja la Nduruma,,shamba la mbegu,Kilala,Makumira university,Usa River ,Maji ya Chai,Kikatiti,Funga kazi Ni King'ori kuna kadada kana miguu kama vibua kapenda rushwa mbaya na kengine kana matege kapo Arusha mjini hako ndo kiboko,nafikiri Arusha inaongoza Kwa kuwa na matrafiki wengi kuliko maaskari wa kawaida.
Kilichobaki ni kuwalipua kwenye vyombo vya habari au kuchukuwa hatua mkononi tu,tumechoka.Siku hizi mimi huwa sisimami kabisa.Haya matrafiki yana njaa kama dumuzi.
Sasa wanajamvi tuwachukulie hatua gani zingine za ziada kukomesha upuuzi huu maana mimi naweza kuja vunja mtu miguu.
Nina hasira sana.
Khaa!! Kwa hiyo hizo ndiyo kero??
Wanaokereka wamechangia na wengine wamepita kimya kimya!! Kama kwako si kero Kwa wengine ni kero
Khaa!! Kama katika jiji la Arusha kila watu 3 wawili ni wahalifu. Katika kila magari 10 saba ni ya wizi, Unategemea nini?? Toka lini Arusha wakavipenda vyombo vya ulinzi na usalama bana?? Tusiharibiane saumu bana :yawn:
Wanaokereka wamechangia na wengine wamepita kimya kimya!! Kama kwako si kero Kwa wengine ni kero
Na huyu malisa nae huyu hovyo kabisa,yuko hapa town walimvunja miguu pale clocktower hajakoma
Na mwenzake yule wanamwita Borntown
Na mwenzake yule wanamwita Borntown
Sio borntown Ni freetown mkuu
Wakuu naandika hii maada nikiwa na hasira isiyozuilika.
Kilichobaki ni kuwalipua kwenye vyombo vya habari au kuchukuwa hatua mkononi tu,tumechoka.Siku hizi mimi huwa sisimami kabisa.Haya matrafiki yana njaa kama dumuzi.
Sasa wanajamvi tuwachukulie hatua gani zingine za ziada kukomesha upuuzi huu maana mimi naweza kuja vunja mtu miguu.
Nina hasira sana.
Tusiwahukumu kwa kujaa barabarani, mto NDURUMA na kwa mrefu kiutawala ni maeneo tofauti, kwa refi huwa wanakaa upande wa kushoto ukitokea Moshi ili kuhakikisha usalama kwa magari yanayoingia kadhalika kwa maretu, ukiona wamezagaa kuna jambo wanalolifuatilia na huo ukaguzi ni zuga tu, tusiwazuie kufanyakazi. Rushwa ni utashi binafsi na hao Takukuru wamechoka kwa kukosa meno, kesi ya nyani umpatie tumbili haiwezekani, tumechoka ila tusiwagonge
Anakwambia mbona gari chafu hujui hili ni jiji la Arusha, hilo ni kosa muandikie huyu
Siamini kama gari iliyotoka show room ina kosa...
Kuna ambao wameshanisimamisha na wakakosa kosa...
Mkuu una gari kwanza? Gari ikitoka show room tambua haina sticker ya insuarance, haina mtungi wa fire extinguisher, haina triangles pia wewe unayeiendesha unaweza kuwa huna leseni.
Kwa hiyo sio kweli kwamba gari ikitoka show room inakua haina makosa.