Hii kero ya matrafiki Arusha imezidi

Hii kero ya matrafiki Arusha imezidi

Msome vizuri mleta mada! Amesema hata kama gari lako liko vizuri jamaa hawaelewi!

Wakikusimamisha usisimame mkuu...
Hawawezi kukukimbiza kwasababu utakuwa umeharibu mingo zao...
 
Yani hata gari imetoka show room leo lazima watatafuta tu kosa

Siamini kama gari iliyotoka show room ina kosa...
Kuna ambao wameshanisimamisha na wakakosa kosa...
 
Huwajui vizuri Trafiki wa Arusha wewe eeh?,watakugusa tu,labda uwe na mkonge tu ndo hutasumbuliwa,otherwise,watakushambulia wote na wanataka pesa yako kwa ulazima,hata kama ni kubambikiziwa kakitu.

Wakikusimamisha achana nao...
 
weka picha mkuu naona takukuru wapo likizo .takukuru wangeshirkiana na raia wenye upendo na maadili ya nchi yao wananajamii wapewe vitendea kazi zikiwemo zile pesa za kazi ,nadhani kwa muda mfupi nidhamu ingerudi ,
 
Yaani unachosema ni kweli,siku moja kuna mdada kanisimamisha kacheck kila kitu ninacho,akaona huyu ngoja nimtafutie kosa eti washa maji ya wiper,kitu kiko full,mimi huyooo,jana mmoja akanisimamishaeti hii gari yako mara ya mwisho kula hela yake ni siku nyingi,sasa check unipe,kha kirahisi tu,nikamwambia ndio naenda benki,mimi huyoo.
 
Wakuu naandika hii maada nikiwa na hasira isiyozuilika.

Hata kama Ni usalama wa barabarani sasa huu ni upumbavu.Rushwa imekuwa logo yao ya kazi hata kama unakila kitu kwenye gari.Imefikia hatua kama huna hela Arusha kamwe hutaendesha gari hata kama gari lingekuwa jipya hutothubutu.Mbaya zaidi kama unatokea kisongo unaenda Kia imekula kwako kila mita 600wapo.

Anzia uwanjani Kisongo wapo,TANAPA,kona Mbauda,mataa ya Esso,kona ya TCA,Mianzini,Sanawari,kwa Mrefu,Daraja la Nduruma,,shamba la mbegu,Kilala,Makumira university,Usa River ,Maji ya Chai,Kikatiti,Funga kazi Ni King'ori kuna kadada kana miguu kama vibua kapenda rushwa mbaya na kengine kana matege kapo Arusha mjini hako ndo kiboko,nafikiri Arusha inaongoza Kwa kuwa na matrafiki wengi kuliko maaskari wa kawaida.

Kilichobaki ni kuwalipua kwenye vyombo vya habari au kuchukuwa hatua mkononi tu,tumechoka.Siku hizi mimi huwa sisimami kabisa.Haya matrafiki yana njaa kama dumuzi.

Sasa wanajamvi tuwachukulie hatua gani zingine za ziada kukomesha upuuzi huu maana mimi naweza kuja vunja mtu miguu.

Nina hasira sana.

Moshono wapo; Masai Camp wapo; Kijenge Tanki la Maji karibu na Impala wapo; East African Hotel wapo; Uhuru Road karibu na Friends Corner wapo; Fire wapo: Kama unatoka Moshono na Unaenda Kilombero, Nakumati (umbali wa kilomita 10), unasimamishwa mara sita kukiwa na wastani wa kila kilomita 2.5. Na kote unaposimamishwa ni lazima wakutoe upepo. Ukweli wanakera sana. Ni nani atatuokoa na kero hii?
 
Moshono wapo; Masai Camp wapo; Kijenge Tanki la Maji karibu na Impala wapo; East African Hotel wapo; Uhuru Road karibu na Friends Corner wapo; Fire wapo: Kama unatoka Moshono na Unaenda Kilombero, Nakumati (umbali wa kilomita 10), unasimamishwa mara sita kukiwa na wastani wa kila kilomita 2.5. Na kote unaposimamishwa ni lazima wakutoe upepo. Ukweli wanakera sana. Ni nani atatuokoa na kero hii?

Kilichobaki Ni kuwatoa uharo tu
 
Kuna hawa wanaokaa maeneo ya Triple A kuanzia asubuhi hadi jioni kunasiku nimewasikia wakiadidhiana eti mmoja anamwambia mwenzake usipojenga na kununua gari Arusha nenda katambikie!

Hicho ndiyo kitu kinachowafanya waone rushwa ni halali yao.
Hiki kitengo cha trafiki ni cha kufutwa kabisa Arusha. Huu uzi napropose uwe live stream ya trafiki wa Arusha.
Wanasumbua haswa yaani ni kero, kuna siku walinisimamisha Cedha hapohapo wakalazimisha kuniandikia notification kosa ni matumizi mabaya ya taa za barabarani wakati nimepita greenlight zikiwa zimeruhusu.
Ni tatizo kwa kweli hawa viumbe kwa hapa Chuga
 
Hicho kitrafiki chenye matege juzi kati nusuru nikizibuwe maeneo ya osterbay,kina mdomo mchafu sana

An.na matege, kha kha kha. Kipumbavu sana kile kimwanamke.
Ni kuwapelekea gari mazima vunjavunja wote
 
matatizo ya kuendesha IST,Noah,Passo,Raum,Spacio,Carina TI,Nissan March ndio hayo,Vumilieni tuu jombaaaa!!

Ni kweli coz ktk gari hizo sijawahi kuona yenye no. STK, STJ, STL, PT, SM.

Pole dereva wa RC
 
Wakuu naandika hii maada nikiwa na hasira isiyozuilika.

Hata kama Ni usalama wa barabarani sasa huu ni upumbavu.Rushwa imekuwa logo yao ya kazi hata kama unakila kitu kwenye gari.Imefikia hatua kama huna hela Arusha kamwe hutaendesha gari hata kama gari lingekuwa jipya hutothubutu.Mbaya zaidi kama unatokea kisongo unaenda Kia imekula kwako kila mita 600wapo.

Anzia uwanjani Kisongo wapo,TANAPA,kona Mbauda,mataa ya Esso,kona ya TCA,Mianzini,Sanawari,kwa Mrefu,Daraja la Nduruma,,shamba la mbegu,Kilala,Makumira university,Usa River ,Maji ya Chai,Kikatiti,Funga kazi Ni King'ori kuna kadada kana miguu kama vibua kapenda rushwa mbaya na kengine kana matege kapo Arusha mjini hako ndo kiboko,nafikiri Arusha inaongoza Kwa kuwa na matrafiki wengi kuliko maaskari wa kawaida.

Kilichobaki ni kuwalipua kwenye vyombo vya habari au kuchukuwa hatua mkononi tu,tumechoka.Siku hizi mimi huwa sisimami kabisa.Haya matrafiki yana njaa kama dumuzi.

Sasa wanajamvi tuwachukulie hatua gani zingine za ziada kukomesha upuuzi huu maana mimi naweza kuja vunja mtu miguu.

Nina hasira sana.

Ukiwa na hasira au ukiwa na furaha sana usiongee au kuandika kitu. Kaa kimya otherwise kuna siku utamtamkia mkeo jambo ukiwa na hasira ukakosa mke bado unampenda.
Pili, kama huna leseni halali halafu unaendesha chombo kibovu unategemea wazee wa favour wakupongeze ???
Tatu. Jifunze sheria za barabarani ukisha bobea hakuna trafik atakaekubabaisha, mtakua mnakwenda kifungu kwa kifungu.
Mwisho , usiendeshe ukiwa umelewa au una hasira. These simple rules will save your money as well as your life
 
Ukiwa na hasira au ukiwa na furaha sana usiongee au kuandika kitu. Kaa kimya otherwise kuna siku utamtamkia mkeo jambo ukiwa na hasira ukakosa mke bado unampenda.
Pili, kama huna leseni halali halafu unaendesha chombo kibovu unategemea wazee wa favour wakupongeze ???
Tatu. Jifunze sheria za barabarani ukisha bobea hakuna trafik atakaekubabaisha, mtakua mnakwenda kifungu kwa kifungu.
Mwisho , usiendeshe ukiwa umelewa au una hasira. These simple rules will save your money as well as your life

Hivi traffic anakusimamisha kwa mbwembwe zote anakukagua kila kitu uko poa then baadae anakuuliza unaenda wapi? Wewe utamjibuje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom