Hii kero ya matrafiki Arusha imezidi

Hii kero ya matrafiki Arusha imezidi

Unaweza usitoe hata kumi, shida unasimishwa hata mara tano hiyo ni asubuhi unaenda kazini, hebu fikiria kupoteza a minmum of 10min ukiwa unaenda kazini. Siku inaharibika yote.

Kuwapa rushwa tunataka wenyewe...
Hakikisha gari lako halina kasoro yeyote...
Na ukiendesha fuata sheria za barabarani, hakuna trafic atakayekugusa...
 
Hicho kitrafiki chenye matege juzi kati nusuru nikizibuwe maeneo ya osterbay,kina mdomo mchafu sana
 
Aisee hapo King'ori huyo dada ni balaa nishasimamishwa mara mbili hapo. huna kosa anakwambia unaniachaje?
Hajakwambia "shemeji unaniachaje" kama walimu walivyo mwambia JK? Wanakera sana ndio maana jamaa mmoja huko Arusha kaamua kuwapelekea gari zima zima na kuwaonesha cha mtema kuni.
 
Si ndo maana jamaa jana kaamua kuwapanda!! mweeee
 
Aisee hapo King'ori huyo dada ni balaa nishasimamishwa mara mbili hapo. huna kosa anakwambia unaniachaje?

wapuuzi sana, mmoja pale kia alipokuta sina kosa akaniomba maji ya kunywa, nikamjibu kwa kifupi tu sina akasema safari njema
 
Na mtapigwa sana mpaka muelewe.

Mnatoa hela za nini sasa kama hamna kosa,kama mleta mada alivosema wanakutafutia kosa,that means lipo wakitafuta wanalipata,si ndio!!!!!

Wabongo bwana,mbona mie huwa sikamatwi!!!hata wakiuliza cheti cha ndoa nnacho,mazafantazzz.
 
matatizo ya kuendesha IST,Noah,Passo,Raum,Spacio,Carina TI,Nissan March ndio hayo,Vumilieni tuu jombaaaa!!
 
Arusha imekuwa kero mno kila barabara hawa manesi wamejaa...Ukitoka Philips wapo, ukishuka pale round about ya kijenge wapo shuka kama moshono,Masai camp pale wapo, Kama kila kona hawa jamaa wapo inamaana wameajiriwa wengi mno ama wameamishwa kutoka mikoa mingine kuletwa Arusha.
 
Dah mbona mie naendesha Noah kila siku na sijakamatwa. Hebu acheni dharau bana eti Passo, Noah, Vitsz IST
 
Nadhani katika Africa police wa Tanzania ndio wanaongoza kwa, ujinga, upuuzi, rushwa na Ushetani
 
Aisee nilijua Dar tu kumbe mpaka A-TOWN. Siku moja nilikuwa kwenye hotel moja mitaa ya mbagala napata breakfast nikawasikia wanasema wameambiwa wapeleke faini makosa saba kila siku yaani sio chini ya 210,000/=Tsh kwa siku. Kwa usumbufu walio nao hawa jamaa ni lazima utembee na fedha mfukoni unapoendesha gari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom