Idara zetu zipo makini kweli ?
nani katoa kibali kuruhusu website hii inayozagaa kwenye magroup kupewa ruhusa ya kuwekwa kwenye serva ?
Pia kuna sehemu ya kurekodi majina, tuna uhakika gani hayo majina ni ya kweli na si ya kutunga ?
Hii sio sawa
Haitakiwi kuwepo ifungwe haraka sana, imeegemea upande moja bila ushahidi wa uhakika.
itengenezwe website inaonyesha uharibifu wa mali za umma, mabasi, vituo vya mafuta, n.k. ni vitu ambavyo vimeshatolewa takwimu na kufanyiwa uchunguzi.
nani katoa kibali kuruhusu website hii inayozagaa kwenye magroup kupewa ruhusa ya kuwekwa kwenye serva ?
Pia kuna sehemu ya kurekodi majina, tuna uhakika gani hayo majina ni ya kweli na si ya kutunga ?
Hii sio sawa
Haitakiwi kuwepo ifungwe haraka sana, imeegemea upande moja bila ushahidi wa uhakika.
itengenezwe website inaonyesha uharibifu wa mali za umma, mabasi, vituo vya mafuta, n.k. ni vitu ambavyo vimeshatolewa takwimu na kufanyiwa uchunguzi.