Hii inapendeza sana kwa wapenzi

Hii inapendeza sana kwa wapenzi

Inapendeza sana,ila the type of woman Michelle alivyo ni yule anayeogopwa sana na wanaume wa kibongo
Michelle by the time anaolewa alikua kasoma Princeton na Harvard, Lawyer by profession
Wanaume wa kibongo ana masters anamtaka form 4 leaver...how can u be Obama when u don't wanna marry Michelle?
Punguzeni woga baadhi ya wanaume, mwanaume kujiamini
Ujue kunashida kubwa. Wanaume wanapenda sehumu tulivu. Sehemu ambayo akirudi nyumbani anasikilizwa. Madada zetu pengine wana aply principles za kwenye vitabu kwenye familia. Wengi hawapendi kuwa natural. Wengi wamekuwa after cash. Now days no woman will go for Brooke man
 
Kila watu huwa wana pitia misuko suko, hapo hapo ikulu, Obama na Michelle wamewahi kaa siku 4 bila kuongea, miaka ya 2000 wakat Obama siasa zime mzidia ndoa yao ilikuwa ina chungulia talaka.

The difference ni kuwa wenzetu walifanikiwa ku hold on hata kile kipindi ambacho relationship ipo very low, wao hawakuachana.

Difference yao na watu wengi ni kuwa wao hawakuachana kipindi hawaelewani ila walitafuta namna ya kusahihisha mahusiano yao.
Wengi huwa tunashindwa hapo tu.
Ikitokea Tanzania hii kesho itasikia MWANAUME GANI WEWE SURUALI TU mh!
 
Naamini barack obama anasema hivyo kwa kuwa michelle alimpenda obama akiwa no body 25 yrs ago..

Sasa ukija hapa kwetu..mwanamke anawaza uwe na vitu 4 tuu ...
kazi,
gari,
kiwanja
na nyumba !

Bado anakuwa na nyodoooo!

Unakuwa navyo vyote bado nyoodoo...

Yaani unatamani ungezaliwa zamani uoe zamani kipindi watu wanapenda kweli...
 
Ujue kunashida kubwa. Wanaume wanapenda sehumu tulivu. Sehemu ambayo akirudi nyumbani anasikilizwa. Madada zetu pengine wana aply principles za kwenye vitabu kwenye familia. Wengi hawapendi kuwa natural. Wengi wamekuwa after cash. Now days no woman will go for Brooke man
Utulivu nyumbani unahudumia lakini?umesimama kwenye nafasi yako kama mwanaume vizuri?
Wanaume nao mnabadilika sana ndo mana mtu akizipata anaona mwanamke alienae sio wa hadhi yake anatafta mwingine, nani anahitaji hio kadhia na maumivu?.. Wanaume wangapi pia wanapenda magolikipa sikuhizi?.. Wangapi wanahudumia wake/girlfriends zao 100%?
 
Naamini barack obama anasema hivyo kwa kuwa michelle alimpenda obama akiwa no body 25 yrs ago..

Sasa ukija hapa kwetu..mwanamke anawaza uwe na vitu 4 tuu ...
kazi,
gari,
kiwanja
na nyumba !

Bado anakuwa na nyodoooo!

Unakuwa navyo vyote bado nyoodoo...

Yaani unatamani ungezaliwa zamani uoe zamani kipindi watu wanapenda kweli...
Obama was not a nobody jmn ukweli uwekwe wazi,both Obama and Michele were professional lawyers,u can imagine the potential he had enzi hizo za ubaguzi mtu mweusi anasoma Harvard,
magari walikuwa nayo and shortly after their marriage they bought a house unadhani ni nobody hao??there was potential... Michelle nae kaenda shule hatari...and uzuri she's an elite and a woman pia.,
wanaume na wanawake wote ni vyema tukajiandaa na maisha ya baadae,maandalizi yanaanzia ujananii...
 
Ni kwel,ila kwa obama kapata mtu alie kuw msaidizi kwel kwel,aliefungwanishwa n a jukumu(dhamana)alio itiwa obama kuja kuifanya dunian....so ni mtu wa kufanana nae,mana isingekuw ivo...kitambo sana wangekuw washabwaga,bt ni mtu ambae anaendana na dhamira kuu aliobeba obama....biggest & strongest best couple ever

Inaizidi hata couple ya jay z na beyonce ?
 
Barack had potential, Michelle had too, hakupenda kirejareja jmn..they were two elites,ukweli uwekwe waziiii,started from the bottom ndio but they were well off than most blacks
Ha ha ha
 
T
Utulivu nyumbani unahudumia lakini?umesimama kwenye nafasi yako kama mwanaume vizuri?
Wanaume nao mnabadilika sana ndo mana mtu akizipata anaona mwanamke alienae sio wa hadhi yake anatafta mwingine, nani anahitaji hio kadhia na maumivu?.. Wanaume wangapi pia wanapenda magolikipa sikuhizi?.. Wangapi wanahudumia wake/girlfriends zao 100%?

True, amuwezi kufikia level za kina Obama Kama ni mmoja tuh anayepigania ilo penzi, lazima achoke ata awe na upendo wa aina gani,
Simama kama mwanaume wa kweli ili upate nawe kulia kama Obama,...
 
Obama aongea haya kwa hisia mpaka chozi likamdondoka.

“For the past 25 years you have not only been my wife and mother of my children, you have been my best friend. You took on a role you didn’t ask for. And you made it your own with grace and with grit and with style, and good humor.”

"Kwa miaka zaidi ya 25 iliyopita, umekuwa sio tu mke wangu na mama wa watoto wangu lakini rafiki yangu mkubwa.Ulichukua jukumu ambalo hukuuliza na ukalifanya kuwa lako kwa neema , ujasiri, mipango na ucheshi mzuri. Uliifanya Ikulu kuwa sehemu ya kila mtu."

Nasi si vibaya tukiwa marafiki wakubwa wa wapenzi wetu (Ambao sio) . Tuchukue majukumu ya wenza wetu na kuyafanya ya kwetu na maisha yatakuwa raha mustarehe kwa miaka mingi. Utakumbukwa na mwenzako baada ya miaka mingi mpaka atamwaga chozi kama ilivyotokea kwa mkuu Obama.

View attachment 459965
20170111_035852.jpg
20170111_035852.jpg
 
Ujue kunashida kubwa. Wanaume wanapenda sehumu tulivu. Sehemu ambayo akirudi nyumbani anasikilizwa. Madada zetu pengine wana aply principles za kwenye vitabu kwenye familia. Wengi hawapendi kuwa natural. Wengi wamekuwa after cash. Now days no woman will go for Brooke man

Naamini ii hali yawadada kuwa ivi imetokana na uongo ulokisiri kwa wanaume,
Unamkuta mwanaume anaenda mtokee mdada tena wale wadada walolelewa, wenye maadili yao unamdanganya na kumrubuni vyakutosha, utakuwa mtu hukuwa ili tuh umpate, mdada wa watu ataamini na kuwa nawewe kitakochofata ni mtihani tuh, kumuumiza na kumliza kila siku ivi apo unatengeneza nini unategemea ataekuja baada yawewe atamtreat vipi, lazima alipize maumivu na kutkea ayo uloyasema,
Wanaume muwe na ukweli jamani, mnakuwa waongo Sana na mnataka wakina michelle
 
Mkuu PATO, hii relationship ya Obama na Michelle ni moja ya couple ambazo ni mfano wa kuigwa kabisa nilizowahi kuziona.

Mwaka 1988 Barack akiwa kama mwanafunzi wa Law school baada ya kumaliza mwaka wa kwanza, aliamua kwenda kutafuta kazi kwenye moja wapo ya taasisi za mambo ya kisheria ijulikanayo kama sidley & austin law firm huko Chicago na kabla ya hapo alikuwa ameshajaribu kuomba sehemu zingine ila hakufanikiwa. Ni sehemu hiyo hiyo aliporuhusiwa kufanya kazi na kumkuta Michelle akiwa ni mmoja wapo ya wafanya kazi waliopo pale na Michele ndio alikabidhiwa Obama awe mshauri wake..!! Obama anasema kadri siku zilivyoenda her good characters na ukaribu waliokuwa nao ndio vilimfanya ashindwe kuficha hisia zake kwa Michelle na kilichomvutia hasa ni urefu, mara kwa mara alipenda kumtania na hata kufikia hatua ya kumuomba out ambapo Michele mwanzoni alikataa lakini baadae alikuja kukubali na siku alivyokubali ndio ukawa mwanzo wa mahusiano yao. Kipindi chote hicho pesa aliyoitumia obama kwa mahitaji yake ilikuwa ni ya mkopo toka chuo.

Walikuja kuoana mwaka 1992 wakaja kupata mtoto wao wa kwanza 1998. Hiyo 6 years walikuwa wana struggle kutengeneza life kwanza hili waje wawe na familia iliyo bora yenye kupata mahitaji yote muhimu bila kutetereka, na ndio maana hata Obama alijitosa rasimi siasani mwishoni mwa 90's baada ya kuwa ameshajijenga vya kutosha.

Mwaka 2004 baada ya kuwa household name na kushinda useneta wa Illinois, Michelle aliamua kuacha kazi aliyokuwa anafanya na kumsapoti mme wake kwenye safari yake ya kisiasa kwa ukaribu zaidi na waliambatana wote kwenye congragetional events nyingi tu. 2008 kila binadamu aliyekuwa hai na ufahamu wake anajua nini kilitokea kwenye taifa la marekani.


UKIANGALIA HISTORIA YA HAWA WATU...!!

Utaona Michelle ni mwanamke mwenye akili sana na ana farsightedness ambayo ni very rare kuikuta kwa wanawake walio wengi, Michelle since day one realized the potentiality in Obama and she actually knew what this man would probably become if he gets someone to standby him to keep going in right direction. She didn't value Obama by his wealth neither his handsomness instead she chose to forfeit her feelings by characters and ambitiousnes.

Sasa turudi kwenye mazingira yetu, ni madada wangapi wa kitanzania ambao wako tayari kuwa na mtu wanaemzidi kipato na walingana kielimu?
ni madada wa ngapi wa kitanzania wanaomthaminisha mtu kwa kumuangalia kichwani yukoje na sio wallet?
Na madada wa ngapi wa kitanzania ambao wako tayari kugive up their career jobs na kumsapoti mwanaume pale anapoingia kwenye jukumu zito?
Ni madada wa ngapi wa kitanzania wako kama michelle Robnsom?

Nikiwa kama mwanaume naona ukifanya uchaguzi mbovu kwenye kuoa unakuwa umeharibu future yako na ukifanya uchaguzi sahihi utafika hata pale ambapo hukutarajia katika kutimiza malengo yako.
Haya mambo mnayaexagerate sana, mbona wapo wengi tu, kwani akina mama Salma,Anna,Janeth walianza na waume zao wakiwa na kipato gani??

Hao hao unaodai wana hali za chini ndio kwa kiasi kikubwa sana wanaoa,kwani wanaoa wanawake wa nchi gani? Suala la mahusiano ni la wawili hivyo likifail basi ujue wote mmechangia kwenye kufail kwake.

Na wanaume wengi wa kitanzania waliofanikiwa basi wengi walianza chini sana na wake zao,ila wakishafanikiwa ndio mabalaa yanaibuka,but unakuta wake zao wapo nao tu, na wengine hudiriki kabisa hata kuacha wake zao maana wakati huo ndio wanakuwa hawafai bali dogodogo ndio wanafaa, hebu ifike hatua muwape credit zao muone na mazuri yao.

Tatizo letu watz ukikataliwa na mwanamke au ukiachwa basi unahukumu wanawake wooote,akikuacha basi shukuru,muache aende as maybe kubaki nawe ndio ingekuwa anguko lako,hakuwa wako huyo,wa kwako atabaki nawe katika hali zote.
 
Hapo baadhi ya wanaume ndo mnapokosea. Unafikiri Michelle alifanya all the loving, the caring, all the patience huku Obama akiwa kajibweteka tu?

If u don't reciprocate the love u are receiving, hata mwanamke aliyeishia darasa la pili utamuona ni mwiba.
You can say that again sweetheart.
What about u?

Wewe je ni material nzuri?

Are u the type of a man that your woman would be proud of...

A man that your woman would submit to wholeheartedly...?
Eactly,be Obama and you'll meet yo Michelle, tatizo hawa ndugu zetu wao wanaonaga wanawake tuu ndio tuna mabalaa ila wao ndio wamekamilika, yaani wao ni malaika waliopo duniani.

Huwa najiuliza ni kwanini wanaume siku hizi wamekuwa walalamishi sana hata sipati majibu,what a generation!!!
 
He can be that person but most of the women nowdays hawawek upendo mbele kwanza, they put their ego and pride, yeye amesoma UD ama mzumbe na ana madigirii utamwambia nini....
hangalii mwanaume alienae ana potential na anajituma kwa ajil yao lakin yey anataka kua na mtu mwenye hela zake tayari tajiri ambae atamsaidia katika matatizo yake ...sasa huyo ni mwanamke ama pepo.
Hapo wewe ndio pepo maana unamlazimisha kuchagua kitu mbacho sio chaguzi yake. Let her be tafuta aliewako usilazimishe kuwa na mtu ambae yeye wewe sio chaguzi yake you ll sufer!! Hivi wanaume huwa mnadhani wanawake hawapaswi kuchagua? Bali wewe ukishamchagua inatosha!!
 
T


True, amuwezi kufikia level za kina Obama Kama ni mmoja tuh anayepigania ilo penzi, lazima achoke ata awe na upendo wa aina gani,
Simama kama mwanaume wa kweli ili upate nawe kulia kama Obama,...
Asante...
 
Utulivu nyumbani unahudumia lakini?umesimama kwenye nafasi yako kama mwanaume vizuri?
Wanaume nao mnabadilika sana ndo mana mtu akizipata anaona mwanamke alienae sio wa hadhi yake anatafta mwingine, nani anahitaji hio kadhia na maumivu?.. Wanaume wangapi pia wanapenda magolikipa sikuhizi?.. Wangapi wanahudumia wake/girlfriends zao 100%?
Kunasiku wallet itatoboka. Na hapo ndipo utakaposimangwa na kuitwa mwanaume suruali. Maisha ya sasa dada zetu wengi wamekuwa mwiba. Hali inayopelekea na vijana wengi kuogopa kuoa na kuwa committed kwenye relationship
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom