Hii inapendeza sana kwa wapenzi

Hii inapendeza sana kwa wapenzi

Obama was not a nobody jmn ukweli uwekwe wazi,both Obama and Michele were professional lawyers,u can imagine the potential he had enzi hizo za ubaguzi mtu mweusi anasoma Harvard,
magari walikuwa nayo and shortly after their marriage they bought a house unadhani ni nobody hao??there was potential... Michelle nae kaenda shule hatari...and uzuri she's an elite and a woman pia.,
wanaume na wanawake wote ni vyema tukajiandaa na maisha ya baadae,maandalizi yanaanzia ujananii...
If he was somebody mbona alikuwa anaomba vibarua vya kazi alipokuwa chuo. Ukweli unauma. Ukisoma story jamaa walianza relationship wakiwa chuo. Na kabla ya kuanza kibarua jamaa kipatochake kilikuwa mkopo wa chuo kikuu
 
T


True, amuwezi kufikia level za kina Obama Kama ni mmoja tuh anayepigania ilo penzi, lazima achoke ata awe na upendo wa aina gani,
Simama kama mwanaume wa kweli ili upate nawe kulia kama Obama,...
Shida ni pale utakapo simama kama uboma huku mwenzako akilizake zinawaza kupita tu na kukuchuna.
 
If he was somebody mbona alikuwa anaomba vibarua vya kazi alipokuwa chuo. Ukweli unauma. Ukisoma story jamaa walianza relationship wakiwa chuo. Na kabla ya kuanza kibarua jamaa kipatochake kilikuwa mkopo wa chuo kikuu
Hahaha...kuomba vibarua vya kazi akiwa chuoni maana yake ni nobody?
 
Naamini ii hali yawadada kuwa ivi imetokana na uongo ulokisiri kwa wanaume,
Unamkuta mwanaume anaenda mtokee mdada tena wale wadada walolelewa, wenye maadili yao unamdanganya na kumrubuni vyakutosha, utakuwa mtu hukuwa ili tuh umpate, mdada wa watu ataamini na kuwa nawewe kitakochofata ni mtihani tuh, kumuumiza na kumliza kila siku ivi apo unatengeneza nini unategemea ataekuja baada yawewe atamtreat vipi, lazima alipize maumivu na kutkea ayo uloyasema,
Wanaume muwe na ukweli jamani, mnakuwa waongo Sana na mnataka wakina michelle
Watu wengi wanafanya hivo baada ya kuumizwa. Mtu ambaye hajawahi kuumizwa hawezi fanya hivo siku ata moja. Moyo wa mwanaume kunamuda unakufa ganzi. Anakuwa anawaza apate mtu wa kumtuliza tu angalau ata kwa muda huku akipanga mipango mingine
 
You can say that again sweetheart.

Eactly,be Obama and you'll meet yo Michelle, tatizo hawa ndugu zetu wao wanaonaga wanawake tuu ndio tuna mabalaa ila wao ndio wamekamilika, yaani wao ni malaika waliopo duniani.

Huwa najiuliza ni kwanini wanaume siku hizi wamekuwa walalamishi sana hata sipati majibu,what a generation!!!
 
Watu wengi wanafanya hivo baada ya kuumizwa. Mtu ambaye hajawahi kuumizwa hawezi fanya hivo siku ata moja. Moyo wa mwanaume kunamuda unakufa ganzi. Anakuwa anawaza apate mtu wa kumtuliza tu angalau ata kwa muda huku akipanga mipango mingine
And unafikiri wanawake hawaumizwibali ni nyie wnaume tu!! Wht a lame excuse!!
 
You can say that again sweetheart.

Eactly,be Obama and you'll meet yo Michelle, tatizo hawa ndugu zetu wao wanaonaga wanawake tuu ndio tuna mabalaa ila wao ndio wamekamilika, yaani wao ni malaika waliopo duniani.

Huwa najiuliza ni kwanini wanaume siku hizi wamekuwa walalamishi sana hata sipati majibu,what a generation!!!
Yani mtu ni mlevi na kurudi asubuhi juu, ana michepuko kibao, hajali hisia za manzi wake, halafu anamtaka mwanamke kama Michelle...... msomi, humble, loving, patient, faithful, trustworthy, supportive, mpishi mzuri, mama bora kwa watoto .......hahahaha
 
Yani mtu ni mlevi na kurudi asubuhi juu, ana michepuko kibao, hajali hisia za manzi wake, halafu anamtaka mwanamke kama Michelle...... msomi, humble, loving, patient, faithful, trustworthy, supportive, mpishi mzuri, mama bora kwa watoto .......hahahaha
Si ndio hapo sasa, wajue tu wanapata wa kufanana nao, yaani hao pasua kichwa wanaowapata ndio size yao kulingana na wao walivyo. Hivyo wasikae kulaumu tu.

Ukiwa Obama utampata tu Michelle wako.
 
Kunasiku wallet itatoboka. Na hapo ndipo utakaposimangwa na kuitwa mwanaume suruali. Maisha ya sasa dada zetu wengi wamekuwa mwiba. Hali inayopelekea na vijana wengi kuogopa kuoa na kuwa committed kwenye relationship
Hahaaaa!! Mnaogopa kuoa sio kwasababu ya wanawake, just because yo not man eneogh to handle the marriage. Jiulize kwanini unafikiri wamekuwa mwiba? Mwiba hautembei hadi wewe uufuate uukanyage kwahiyo haupaswi kuulaumu bali ujilaumu kwanini ulikuwa peku hadi ukanyage mwiba.

Hebu ifikie hatua muadmit makosa yenu na msijione malaika na wanawake ndio tatizo. Nyie si ndio vichwa? Hebu tumieni hivyo vichwa basi.
 
Si ndio hapo sasa, wajue tu wanapata wa kufanana nao, yaani hao pasua kichwa wanaowapata ndio size yao kulingana na wao walivyo. Hivyo wasikae kulaumu tu.

Ukiwa Obama utampata tu Michelle wako.
Kweli tupu....

Kila mtu atapata kile anachostahili.

No more, no less...
 
Una sifa ya kuwa na mwanamke kama Michelle? (if Michelle is all that advertised...)
Siwezi kujibu hilo swali na hata nikijibu pengine ntaonekana najisifia sababu hapa am not advertising my self am saying my views concerning the issue on the table... lakini ungelikua katika relationship na mimi pengine ndo ungepata majibu ya swali lako.
 
Siwezi kujibu hilo swali na hata nikijibu pengine ntaonekana najisifia sababu hapa am not advertising my self am saying my views concerning the issue on the table... lakini ungelikua katika relationship na mimi pengine ndo ungepata majibu ya swali lako.
Basi kama unastahili just pray n work hard utampata tu Michelle wako.
 
Yani mtu ni mlevi na kurudi asubuhi juu, ana michepuko kibao, hajali hisia za manzi wake, halafu anamtaka mwanamke kama Michelle...... msomi, humble, loving, patient, faithful, trustworthy, supportive, mpishi mzuri, mama bora kwa watoto .......hahahaha
Ha ha vice versa is true
 
Si ndio hapo sasa, wajue tu wanapata wa kufanana nao, yaani hao pasua kichwa wanaowapata ndio size yao kulingana na wao walivyo. Hivyo wasikae kulaumu tu.

Ukiwa Obama utampata tu Michelle wako.
Ah wap. Kunawatu "wanaume" wanajielewa na likini wanaishia kwa majike dume
 
Siwezi kujibu hilo swali na hata nikijibu pengine ntaonekana najisifia sababu hapa am not advertising my self am saying my views concerning the issue on the table... lakini ungelikua katika relationship na mimi pengine ndo ungepata majibu ya swali lako.
Haina kwere ndugu. Kuwa Obama na utampata Michelle wako tu

Simple as that....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom