Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,030
Kabisa mambo yanapokuwa mazuri ndo upendo unazid yakienda kinyume na upendo unayumba.Ni kweli. Uvumilivu umekuwa mdogo sana nyakati hizi.
Kabisa mambo yanapokuwa mazuri ndo upendo unazid yakienda kinyume na upendo unayumba.Ni kweli. Uvumilivu umekuwa mdogo sana nyakati hizi.
Ok! Kumbe kuachieve such level of relationship inabidi mkaribiane kielimu. Wabongo tuache woga. Chukua degree holder mwenzako.Inapendeza sana,ila the type of woman Michelle alivyo ni yule anayeogopwa sana na wanaume wa kibongo
Michelle by the time anaolewa alikua kasoma Princeton na Harvard, Lawyer by profession
Wanaume wa kibongo ana masters anamtaka form 4 leaver...how can u be Obama when u don't wanna marry Michelle?
Punguzeni woga baadhi ya wanaume, mwanaume kujiamini
Kila watu huwa wana pitia misuko suko, hapo hapo ikulu, Obama na Michelle wamewahi kaa siku 4 bila kuongea, miaka ya 2000 wakat Obama siasa zime mzidia ndoa yao ilikuwa ina chungulia talaka.Kabisa mambo yanapokuwa mazuri ndo upendo unazid yakienda kinyume na upendo unayumba.
Inategemea na personality ya mwanamke pia,elimu ina umuhimu wakeOk! Kumbe kuachieve such level of relationship inabidi mkaribiane kielimu. Wabongo tuache woga. Chukua degree holder mwenzako.
Mahusiano yoyote yanaendelea kuwepo sababu ya uvumilivu na kupendana kweli..otherwise kila mtu ana madudu yakeKila watu huwa wana pitia misuko suko, hapo hapo ikulu, Obama na Michelle wamewahi kaa siku 4 bila kuongea, miaka ya 2000 wakat Obama siasa zime mzidia ndoa yap ilikuwa ina chungulia talaka.
The difference ni kuwa wenzetu walifanikiwa ku hold on hata kile kipindi ambacho relationship ipo very low, wao hawakuachana.
Difference yao na watu wengi ni kuwa wao hawakuachana kipindi hawaelewani ila walitafuta namna ya kusahihisha mahusiano yao.
Wengi huwa tunashindwa hapo tu.
Kweli. Kazi ni kuvuka pale ndoa inapokuwa ICU. Hapa wengi tunashindwa.Kila watu huwa wana pitia misuko suko, hapo hapo ikulu, Obama na Michelle wamewahi kaa siku 4 bila kuongea, miaka ya 2000 wakat Obama siasa zime mzidia ndoa yap ilikuwa ina chungulia talaka.
The difference ni kuwa wenzetu walifanikiwa ku hold on hata kile kipindi ambacho relationship ipo very low, wao hawakuachana.
Difference yao na watu wengi ni kuwa wao hawakuachana kipindi hawaelewani ila walitafuta namna ya kusahihisha mahusiano yao.
Wengi huwa tunashindwa hapo tu.
Kupenda kulitakiwa kuwe natural tu lakini watu wanaliana timing katika kupendana.
Mtu anapiga hesabu kwanza apende kwa asilimia ngapi...Hahaha
Mara eti sijui usimuonyeshe mtu kama unampenda sana....WTF
What a manufactured world we live in...
Tehe!
Obama kaonyesha mfano mzuri. Shida wanaoweza kuufuata ni wachache sana.
Au ana vinasaba sawa na yule waziri mkuu mstaafu??Huyu jamaa mbona analia lia tu!