Hii inapendeza sana kwa wapenzi

Hii inapendeza sana kwa wapenzi

Mahusiano yoyote yanaendelea kuwepo sababu ya uvumilivu na kupendana kweli..otherwise kila mtu ana madudu yake
678af62eb35582aaa295bff521e20f2b.jpg
 
Kweli. Kazi ni kuvuka pale ndoa inapokuwa ICU. Hapa wengi tunashindwa.
Na huwa tunashindwa kwa kuwa ana kosekana mmoja at least wa kushuka ili mjitathimini wapi mmejikwaa.
Uko sahihi
 
Inapendeza sana,ila the type of woman Michelle alivyo ni yule anayeogopwa sana na wanaume wa kibongo
Michelle by the time anaolewa alikua kasoma Princeton na Harvard, Lawyer by profession
Wanaume wa kibongo ana masters anamtaka form 4 leaver...how can u be Obama when u don't wanna marry Michelle?
Punguzeni woga baadhi ya wanaume, mwanaume kujiamini
Ukisikiliza hotuba za Michelle in full utapenda, anajua kupangilia, kuchagua maneno,kuhamasisha, kwakweli mama yuko vzr sana, sio sawa na hotuba za Phd huwezi kujua ni wakati gani anaongelea mafanikio, changamoto au mipango ya baadaye, badala ya kusikiliza hotuba ya kiongozi unakua tena na kazi ya kuchuja sasa anaongelea mafanikio, changamaoto au plan za baadaye.
 
Michelle alimpenda barack even when he was nobody,hata useneta nadhan alikua hajaupata, lakin alikua upande wake, hakumuacha sababu alikua hana kitu, she was there for him, kwani michelle alijua atakua kua first lady?? Je ewee mwanamke unaemdharau mpenz wako unayajua ya kesho?? Unayeweka mbadala wa pesa na sio upendo,
Mfano michelle angemdharau barack maybe sabab hana kitu je sasa hivi si angekua anaangalia tv tu anasema eti dah yule "alikuaga" mpenz wangu...sidhan kama utapata sympathy sana sana wenzio watakuchamba tu pengine saio wewe uko choka mbaya ama unaish tu alimrad siku zinasonga ...lakin ungemvumilia ungekua wap ??
Ona sasa barack anaweza kusimama na kumshukuru kipenz chake mbele ya DUNIA ikishuhudia...jins gan michelle amejiona wa kipekee ...

[HASHTAG]#MyMichelleIsOnTheWay[/HASHTAG]
 
Inapendeza sana,ila the type of woman Michelle alivyo ni yule anayeogopwa sana na wanaume wa kibongo
Michelle by the time anaolewa alikua kasoma Princeton na Harvard, Lawyer by profession
Wanaume wa kibongo ana masters anamtaka form 4 leaver...how can u be Obama when u don't wanna marry Michelle?
Punguzeni woga baadhi ya wanaume, mwanaume kujiamini

Ok! Kumbe kuachieve such level of relationship inabidi mkaribiane kielimu. Wabongo tuache woga. Chukua degree holder mwenzako.
Hahaha
Wanawake wasomi wa kibongo ni majanga.

Wewe mwana mke wa Bongo mwenye ka BA tu ka UDSM msumbufu.

Nani angeweza kuwa kama Michelle pamoja na MA ya Havard akaenda ikulu kazi yake kupamba, kucheza na watoto cjui, kusimamia mapishi ya Barrack, yaan aliweka Pride pembeni akachukua role ya mama kabsa. Madem wa kibongo hawawez kuwa humble hivo tena kama wamesoma.
 
Michelle alimpenda barack even when he was nobody,hata useneta nadhan alikua hajaupata, lakin alikua upande wake, hakumuacha sababu alikua hana kitu, she was there for him, kwani michelle alijua atakua kua first lady?? Je ewee mwanamke unaemdharau mpenz wako unayajua ya kesho?? .........

[HASHTAG]#MyMichelleIsOnTheWay[/HASHTAG]
Da! Umefafanua vizuri sana mkuu.
 
Michelle alimpenda barack even when he was nobody,hata useneta nadhan alikua hajaupata, lakin alikua upande wake, hakumuacha sababu alikua hana kitu, she was there for him, kwani michelle alijua atakua kua first lady?? Je ewee mwanamke unaemdharau mpenz wako unayajua ya kesho?? Unayeweka mbadala wa pesa na sio upendo,
Mfano michelle angemdharau barack maybe sabab hana kitu je sasa hivi si angekua anaangalia tv tu anasema eti dah yule "alikuaga" mpenz wangu...sidhan kama utapata sympathy sana sana wenzio watakuchamba tu pengine saio wewe uko choka mbaya ama unaish tu alimrad siku zinasonga ...lakin ungemvumilia ungekua wap ??
Ona sasa barack anaweza kusimama na kumshukuru kipenz chake mbele ya DUNIA ikishuhudia...jins gan michelle amejiona wa kipekee ...

[HASHTAG]#MyMichelleIsOnTheWay[/HASHTAG]
Barack had potential, Michelle had too, hakupenda kirejareja jmn..they were two elites,ukweli uwekwe waziiii,started from the bottom ndio but they were well off than most blacks
 
Michelle alimpenda barack even when he was nobody,hata useneta nadhan alikua hajaupata, lakin alikua upande wake, hakumuacha sababu alikua hana kitu, she was there for him, kwani michelle alijua atakua kua first lady?? Je ewee mwanamke unaemdharau mpenz wako unayajua ya kesho?? Unayeweka mbadala wa pesa na sio upendo,
Mfano michelle angemdharau barack maybe sabab hana kitu je sasa hivi si angekua anaangalia tv tu anasema eti dah yule "alikuaga" mpenz wangu...sidhan kama utapata sympathy sana sana wenzio watakuchamba tu pengine saio wewe uko choka mbaya ama unaish tu alimrad siku zinasonga ...lakin ungemvumilia ungekua wap ??
Ona sasa barack anaweza kusimama na kumshukuru kipenz chake mbele ya DUNIA ikishuhudia...jins gan michelle amejiona wa kipekee ...

[HASHTAG]#MyMichelleIsOnTheWay[/HASHTAG]

Na angemuacha basi ujue huyo hakuwa wake, wako atabaki nawe katika hali zote. Kwahiyo akiondoka muache aende,anayekudharau kwakuwa hauna kitu basi usihuzunike,muache aende wako atakuja na atakuthamini hivyo hivyo.

Ila hizo dharau zichukue kama changamoto ya kupiga kazi hadi kieleweke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom