Hii imekaaje kitaalamu? CHADEMA wanatembeza hashtag ya katiba mpya, lakini wanamzuia Msigwa asitoe maoni kuhusu Royal Tour, wanaaminika?

Demokrasia ni pamoja na kukabiliana na maoni ya hata yale yasiyokupendeza........
Kukabiliana sio kupigania wala kukubaliana...

I might disagree with what you say but I will defend it to the death for your right to say it... (binafsi naamini katika freedom of speech / fikra huru) lakini haimaanishi ku-support nisiyokubaliana nayo..., vilevile hoja zikiwa ni za nguvu za kunipinga mimi sio jiwe naweza nikabadilika kutokana na nguvu hizo za hoja...

Keyword hapa ni hoja...
 
Kukabiliana sio kupigania wala kukubaliana...

I might disagree with what you say but I will defend it to the death for your right to say it... (binafsi naamini katika freedom of speech / fikra huru) lakini haimaanishi ku-support nisiyokubaliana nayo..., vilevile hoja zikiwa ni za nguvu za kunipinga mimi sio jiwe naweza nikabadilika kutokana na nguvu hizo za hoja...

Keyword hapa ni hoja...
Kukabiliana nazo sio kupambana nazo bali kujibu kwa hoja na ikibidi kukubali kutofautiana..........

Kumtusi au kumkejeli mtu kwa kuwa tu ametoa maoni yanayokinzana na utashi wako inaonyesha kuwa bado hujakomaa kifikra na bado una safari ndefu kuelekea kwenye kujifunza demokrasia ya kweli........
 
Ukitazama kwa makini utagundua kuwa wanaharakati wengi hapa nchini hawapiganii kile kinachoonekana bali kile kinachowapendeza mioyoni mwao....
Kuna wakati Tanzania haikuwa na ndege Chadema na wanaharakati wakaongea sana, Serikali ya 5 ikanunua hizo ndege, Chadema wakaponda sana

Magufuli akajifungia hasafiri, wakamsema mno kuwa atoke ajiunge na viongozi wenzake.

Samia kaanza safiri wamemsema sana.

Wakaongelea utangazaji utalii, wamemssma Mama wa watu..
 
Watanzania tuwe makini ...

Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?

Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?
Alikuwa Clubhouse akikazia misimamo yake kuhusu Ngorongoro na Royal Tour. Ameeleza wazi kuwa hana mpango wa kuhama chama na kuwa ameongezewa maneno ambayo hakusema na wahasimu wake wasiomtakia mema. Wanachama wenzake kuwa na mawazo tofauti na yeye na kumpinga waziwazi ni uthibitisho wa uhuru wa maoni unavyothaminiwa na chama chake. Hii ni tofauti na nyie ambao hamuoni aibu kula matapishi yenu.

Lissu alimuunga mkono Hosea katika uchaguzi wa TLS mwaka jana wakati wengine walimpinga na maisha yanaendelea. Na mwaka huu hivyo hivyo, kuna Chadema wanaomtaka Hosea na wako wasiomtaka. Wanachofanya Chadema katika masuala ya Ngorongoro na Royal Tour ni mfano wa kuigwa sio wa kubezwa. Hasa na watu ambao wanachagua viongozi wao kwa wote (100 %) kuwapigia kura.

Amandla...
 
Kuna wakati Tanzania haikuwa na ndege Chadema na wanaharakati wakaongea sana, Serikali ya 5 ikanunua hizo ndege, Chadema wakaponda sana

Magufuli akajifungia hasafiri, wakamsema mno kuwa atoke ajiunge na viongozi wenzake.

Samia kaanza safiri wamemsema sana.

Wakaongelea utangazaji utalii, wamemssma Mama wa watu..
Upinzani au chama imara kinajengwa na ajenda imara zenye maono na maslahi mapana ya taifa.....kila chana Cha siasa duniani kinatambulika kwa ajenda zake na sio kurukia matukio ya msimu.......

Ndio maana hapa nchini baadhi ya vyama Kuna vipindi vinapoa na kupotea baada ya kukosa au kupita upepo wa matukio......

Inatakiwa mtu anayechagua kujiunga na chama asiwe na shaka na ajenda za chama alichoamua kukiunga mkono.....
 
Chadema ni wanafiki sana na wapumbavu, mtu ukiwa tofauti na itikadi zao unaonekana adui wao
 
Demokrasia ya Chadema ilikufa rasmi mwaka 2005. Baada ya hapo mwenyekiti aliekabidhiwa madaraka akaanza kuajiri wanywa gongo, wanywa viloba, mateja, vibaka nk katika chama chake. Akiamini kuwa hao ndio watu ambao anaweza kuwatala kiurahisi apendavyo ndani ya chama kama tunavyoona kwa macho yetu wenyewe. Kifupi hao watu niliowataja hapo juu ndio wengi ndani ya chama na ndio hao wanaoharibu taaswira ya chama chao, kwa kila wanaemuhisi kuwa anakwenda kinyume na ile kanuni ya kushikiwa akili na mwenyekiti. Mwenyekiti ashagundua kwamba hilo kundi anaweza kulipa malipo kidogo, lakini likasababisha athari kubwa za kisiasa kwa maadui zake kama tulivyoona kwa kina Zito, Chacha Wangwe, Dr Slaa, Mwigamba, Kubenea nk.
Kuna yule alijificha kwenye kichaka cha wanyonge akaishia kupiga zaidi ya 2tr. Ila wanyonge na Sukuma gang mpaka leo hawaamini kama mungu wao kafa
 
Mkuu, wewe umeona kuhusu uhuru wa maoni tu. Lkn chadema ni taasisi ya utawala wa kimla pia tyrant. Kama unabisha, jaribu kugombea uenyekiti wa chama ndiyo utaelewa. Utapewa kauli moja tu, sumu haionjwi.
Mbona akili kama Mwendazake au Bashite? Unaweza kusema wapi na nani kamzuia?
 
Kuna wakati Tanzania haikuwa na ndege Chadema na wanaharakati wakaongea sana, Serikali ya 5 ikanunua hizo ndege, Chadema wakaponda sana

Magufuli akajifungia hasafiri, wakamsema mno kuwa atoke ajiunge na viongozi wenzake.

Samia kaanza safiri wamemsema sana.

Wakaongelea utangazaji utalii, wamemssma Mama wa watu..

Ila sukuma gang mnaleta raha sana
 
Upinzani au chama imara kinajengwa na ajenda imara zenye maono na maslahi mapana ya taifa.....kila chana Cha siasa duniani kinatambulika kwa ajenda zake na sio kurukia matukio ya msimu.......

Ndio maana hapa nchini baadhi ya vyama Kuna vipindi vinapoa na kupotea baada ya kukosa au kupita upepo wa matukio......

Inatakiwa mtu anayechagua kujiunga na chama asiwe na shaka na ajenda za chama alichoamua kukiunga mkono.....
Kama unajua yote hayo na still hujaanzisha chako basi wew huna tofauti na wale wanaojiita sukuma gang
 
Watanzania tuwe makini ...

Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?

Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?
Wewe ni chama tawala, maoni Yako ni PROPAGANDA tu.
 
Kuna yule alijificha kwenye kichaka cha wanyonge akaishia kupiga zaidi ya 2tr. Ila wanyonge na Sukuma gang mpaka leo hawaamini kama mungu wao kafa
Naona muhusika ameguswa na ujumbe wang, so kaamua kukutuma mkewe uje uzuie mashambulizi.
 
Watanzania tuwe makini ...

Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?

Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?

Mkuu, ungetusaidia kidogo kwa kutiwekea barua/taarifa rasmi kutoka Chadema ikimpinga Msigwa.
Acha upumbavu- unachukua mawazo ya mtu mmoja wa Chadema na kuyafanya ndio msimamo rasmi wa chama.
 
Back
Top Bottom