Hii imekaaje kitaalamu? CHADEMA wanatembeza hashtag ya katiba mpya, lakini wanamzuia Msigwa asitoe maoni kuhusu Royal Tour, wanaaminika?

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
11,959
20,529
Watanzania tuwe makini ...

Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?

Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?
 
Watanzania tuwe makini ...

Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?

Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?
Demokrasia ya Chadema ilikufa rasmi mwaka 2005. Baada ya hapo mwenyekiti aliekabidhiwa madaraka akaanza kuajiri wanywa gongo, wanywa viloba, mateja, vibaka nk katika chama chake. Akiamini kuwa hao ndio watu ambao anaweza kuwatala kiurahisi apendavyo ndani ya chama kama tunavyoona kwa macho yetu wenyewe. Kifupi hao watu niliowataja hapo juu ndio wengi ndani ya chama na ndio hao wanaoharibu taaswira ya chama chao, kwa kila wanaemuhisi kuwa anakwenda kinyume na ile kanuni ya kushikiwa akili na mwenyekiti. Mwenyekiti ashagundua kwamba hilo kundi anaweza kulipa malipo kidogo, lakini likasababisha athari kubwa za kisiasa kwa maadui zake kama tulivyoona kwa kina Zito, Chacha Wangwe, Dr Slaa, Mwigamba, Kubenea nk.
 
Msigwa kapinga kitendo cha mwenyekiti wa chama kutembea na akili za wanachama karibia milioni mbili mfukoni kwake. Kwamba ukitaka kutumia akili katika jambo fulani mpaka umuombe kwanza mwenyekiti akurudishie kwa muda akili yako, afu ukishamaliza matumizi ya akili yako mwenyewe umrudishie tena yeye aiweke mfukoni kwake, eti kwa sababu ya malipo madogo yasioakisi utu wa mtu. No aisee... bora msigwa ameshaanza kujitambua.
 
Watanzania tuwe makini ...

Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?

Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?
BILA KUITAJA CHADEMA HAMNA RAHA KABISA PAMBANENI CCM MPYA NA SUKUMA GANG
 
Watanzania tuwe makini ...

Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?

Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?
Kazi yatu kama wapinzani ni kupinga mazuri na hata mabaya ya CCM na si vinginevyo. Kitendo cha Msigwa kumsifia Raisi ni kinyume na maadili yetu upinzani.
 
Watanzania tuwe makini ...

Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?

Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?

Tuacheni uongo kazuiliwa wapi!! Utamaduni wa uongo umezidi sasa
 
Mleta uko vizuri

Katiba mpya wanayotaka Chadema waanze ku I practice ndani ya Chama chao mfano kila mwanachama yuko huru kugombea cheo chochote ikiwemo uenyekiti taifa wasibanie !! Wadibwate ohhh unataka katiba mpya ambapo kila mtu atakuwa huru kugombea cheo chochote huku kwao Chadema ukitangaza nia tu ya kugombea uenyekiti taifa dhidi ya Mbowr unakimbizwa na mapanga !!
 
Watanzania tuwe makini ...

Uhuru wa maoni ni moja kati ya ajenda ambayo Chadema wanasema wanaipigania kupitia katika katiba mpya, Leo mchungaji msigwa katoa maoni yake kuisifia royal tour na mama Samia, Chadema wanamshambulia, hivi hawa hiyo katiba mpya wanayoitaka wanajua maana yake?

Hawa mwendazake aliwapiga pini uhuru wa maoni na wakamwita dikteta, Sasa mbona na wao ni JPM lakini kwa ngozi ya upinzani? Tukiwakabidhi nchi hawa si watafungia magazeti na redio zote?

Mkuu, wewe umeona kuhusu uhuru wa maoni tu. Lkn chadema ni taasisi ya utawala wa kimla pia tyrant. Kama unabisha, jaribu kugombea uenyekiti wa chama ndiyo utaelewa. Utapewa kauli moja tu, sumu haionjwi.
 
Mleta uko vizuri

Katiba mpya wanayotaka Chadema waanze ku I practice ndani ya Chama chao mfano kila mwanachama yuko huru kugombea cheo chochote ikiwemo uenyekiti taifa wasibanie !! Wadibwate ohhh unataka katiba mpya ambapo kila mtu atakuwa huru kugombea cheo chochote huku kwao Chadema ukitangaza nia tu ya kugombea uenyekiti taifa dhidi ya Mbowr unakimbizwa na mapanga !!
Hakuna cha yuko vizuri wala nini, wapi chadema wamemzuia msigwa?
 
Mkuu, wewe umeona kuhusu uhuru wa maoni tu. Lkn chadema ni taasisi ya utawala wa kimla pia tyrant. Kama unabisha, jaribu kugombea uenyekiti wa chama ndiyo utaelewa. Utapewa kauli moja tu, sumu haionjwi.
Dah!
 
Back
Top Bottom