Hi mambo nipe number yako basi

Hi mambo nipe number yako basi

we ni mwanamke kwaio unategemea nini ?ni lazima iwe hivo kwa sababu ya uanamke wako wewe unataka uombwe namba ili uwe unaamkiwa shikamoo mama?
Na ili aamkiwe shikamoo mama nilazima atongozwe kwanza bila mtongozo hiyo mama haipatikan kirahisi hivo
 
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.

Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.

Mnakionaje hili?

Aaaah

Hizo fursa, usiache bibie. Sorting ya zile hazipendezi na nzuri baadaye

Tengeneza business cards kabisa.
 
Inakera kweli mi niilikuwa nasafiri kutoka moshi kuja dar, nilikaa na kaka mmoja alinisumbua mpk niliona gari linapunguza mwendo ukikaa kimya anakuforce kuongea mby zaidi alikuwa ananuka mdomo.
Bahati nzuri basi lilikuwa halijajaa nikajihamisha taraatibu akanifata tena ananishika nilimropokea mropoko mmoja abiria wote wakanitolea machoo mwenyewe aliondoka akarudi kukaa kwenye siti yke...alikuwa km jambazi anatishaaa hatar
Me nikikaaga na bitchez kama nyie wa beyonce wanna be,huwa napiga kimya,nakula good music tu mwanzo mwisho
 
Namba tu mnabana hivyo; baadae mje mlalamike hamwolewi. Sasa mnataka tuwatongoze kwa barua au?
 
Sasa mi ntajuaje kuwa umeolewa kama sijakutongoza? Shauri yenu bhana mtaishia kuchezewa tu na kuzalishwa mkia kwa wazaz wenu
 
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.

Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.

Mnakionaje hili?
Ukiombwa namba jua watu wameshafika bei, Ukitoa namba jiandae kutoa kila cha kutolewa
 
loading error...................................
 
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.

Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.

Mnakionaje hili?
Hi Sky naomba namba yako jamani.
 
We mpe tu kama hajakuvutia akipiga unabadili sauti unajifanya humjui na wala hauko huko alipokutajia. So anahisi kakosea namba na mambo yanaisha.
 
Kuna vitu vingi vya kushirikishana kwenye maisha apart from kutongozana , tatizo wadada mmekariri kuwa tukiwaomba no za simu tunataka kuwatongoza tu .
Msijitetee bwana we, mara nyingi hiyo ndio huwa lengo lenu.
Ile ha kuchukua namba kwa malengo mengine huwa ni nadra sana na hutokea kwa mtu ambae ameshakufahamu vizuri.
 
Ujinga wadada wa bongo wanawaza ngono tuu. Mimi nikienda seminar au hata sehemu nyingine nikibadilishana namba na mtu, mbona tunashea mambo mengine mengi tuu? hili la kungonoka ni just by the way, inaweweza ikatokea na isitokee.
Alafu wee mdada, acha ushamba. wenzio wanafurahia so kama wewe hupendi usiwasemee wenzako
 
Kuomba namba si kosa .Maana ni mwanzo wa kufahamiana zaidi.Bali matumizi mabaya ya mawasiliano ndio makosa huanza hapo.Sema wanaomba namba kwako pengine hadhi zao dogo ndio maana wewe unaona kosa ila kwa watu wenye hadhi zao wakikuomba huwezi ona kosa.
imepenya,yaaani uwe na gari lexus halafu umuombe namba uone atatoa hadi ile ya akiba hapana chezea hawa watu ni kuwaona hivyo tu walivyo.ni pasua kichwa,hawasemi wanachokimaanisha
 
Back
Top Bottom