Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,383
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa number.
Kwa mtazamo wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnalionaje hili?
Kwa mtazamo wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnalionaje hili?