Hi mambo nipe number yako basi

Hi mambo nipe number yako basi

Inapokuwa jambo linalokosa hekima na Busara ni ovyo sana.

Lkn mwanamke kama huna interest na mwanaume tumia Busara kumnyima namba ili kuepusha makwazo na unnecessary ending!

Na wanaume hebu tujiongeze kwa kufanya pre evaluation iwapo ni worth kuomba namba kwa mwanamke flani au la.

Mfano mke wa mtu ana ishara vidoleni na smtz hata maongezi yke yanaweza kusaidia.

Utandawazi huu unachochea vibaya kutongozana bila mpangilio.

I call it uncivilized world if the black people!
 
Inapokuwa jambo linalokosa hekima na Busara ni ovyo sana.

Lkn mwanamke kama huna interest na mwanaume tumia Busara kumnyima namba ili kuepusha makwazo na unnecessary ending!

Na wanaume hebu tujiongeze kwa kufanya pre evaluation iwapo ni worth kuomba namba kwa mwanamke flani au la.

Mfano mke wa mtu ana ishara vidoleni na smtz hata maongezi yke yanaweza kusaidia.

Utandawazi huu unachochea vibaya kutongozana bila mpangilio.

I call it uncivilized world if the black people!
Tena wengine wanaweza kuomba kutumia simu yako kumbe anajipigia ili apate number yako
 
90 % Ya W/ke Wanataka Iwe Hvo 60% Ya W/ME Nao Wanakua Na Wazo Hilo ,,,, But Wanawake Wamekua Cheap Sana Cjui Kwa Nini Tunaitafuta Dhambi Kwa Kasi Zaidi Wakati Yusuph Aliikimbia,, Tupo Tayari Kumfanya Mtu Aikose Mbingu Kwa Kumtongoza Au Kujipendekeza Mpaka Akuaproch Kuliko Kumtoa Mtu Kwenye Uovu Kumpeleka Kwenye Uzima Na Kuipinga Dhambi
 
Inapokuwa jambo linalokosa hekima na Busara ni ovyo sana.

Lkn mwanamke kama huna interest na mwanaume tumia Busara kumnyima namba ili kuepusha makwazo na unnecessary ending!

Na wanaume hebu tujiongeze kwa kufanya pre evaluation iwapo ni worth kuomba namba kwa mwanamke flani au la.

Mfano mke wa mtu ana ishara vidoleni na smtz hata maongezi yke yanaweza kusaidia.

Utandawazi huu unachochea vibaya kutongozana bila mpangilio.

I call it uncivilized world if the black people!
Hakuna Haja Ya Kumnyima No Mpe No Alaf Kama Akileta Ujinga Block Hata Abadili No Mia Zote Block Shida Inapokuja Hao Hao Girls Ndo Wasumbufu(90%) Sana Ase Na Wanapenda Iwe Hvo Wanaboa
 
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.

Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.

Mnakionaje hili?
Mambo?
Je PM huku Jf inahusika?
 
Wanawake wana mambo mengi sana ukiomba namba wanalalamika na ukiamua kukaa kimya usiombe namba wataenda kulalamika.
Nilisafiri na mdada mmoja hawa (Beyonce wanna be) Dar—Mwanza tulikaa siti moja kwenye Dar Lux baada ya salamu nikapiga kimya hua sina mzuka sana na wadada mambo mengi wanajiona akina Rhihana naona ni wasumbufu sasa kwa uzuri wake na mbwembwe zake hakawa hataki kuamini kua nimepiga kimya namna ile mpaka tunakaribia Mwanza akaanzisha mazungumzo hayana kichwa wala miguu na mwenyewe akatoa namba na siku inayofuata akaibuka hotel mwenyewe bada kuchafua shuka ndio anajisemesha kua alitaka kushangaa nna moyo wa chuma mpaka nimkaushie vile wakati yeye ni mrembo duh nikasema potelea mbali ilimradi nimepewa acha nicheke tu.
 
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.

Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.

Mnakionaje hili?
No yako basi ni pm
 
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.

Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.

Mnakionaje hili?
we ni mwanamke kwaio unategemea nini ?ni lazima iwe hivo kwa sababu ya uanamke wako wewe unataka uombwe namba ili uwe unaamkiwa shikamoo mama?
 
Back
Top Bottom