Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.
Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnakionaje hili?
mkichuniwa mnaanza kwenda kwa sangoma,mara oohh mimi hata sikonyezwi,oooh hata kuangaliwa tu siangaliwi etc etc