Hahahahaaa..huyu jamaa aisee kibokoNaomba number
Iko siku atapenda atatoa yake nawewe hutapigiwa atapigiwa yeye na hutajua kama amepigiwa hapo ndo patamu wewe furahia tuu hilo ukijua ni ujanja.wife kutwa hutoa namba yangu...
basi nikiona vimesej vya mambo ? umeshindaje?
napiga simu chaaap..utasikia kijana anagwaya wrong number...
nikimpigia wife watu wake wamepiga anacheeeeeeeeeeka..shenz..
😀 we Dada katili hivyo..Hakuna ubaya unampa tu namba aisee, kama huhitaji mtongozo wake unampa namba ya gari tu, kisha unamwambia simu yangu haina charge nitafute badae basi hivyo tu yaan ya nn kuumiza kichwa kwa kitu ambacho huhitaji
😀 hawajakariri ila wameangalia asilimia kubwa ya me huwatongoza baada ya kutoa #Kuna vitu vingi vya kushirikishana kwenye maisha apart from kutongozana , tatizo wadada mmekariri kuwa tukiwaomba no za simu tunataka kuwatongoza tu .
😀 haya naomba # yako kwenye pm yangu.....Namba tuu ntakupa ila kama huna la maana la kunambia na unanisumbuasumbua mm naku 'blloookk" maana si wote wenye nia mbàya.
😀 haya naomba # yako kwenye pm yangu.....Namba tuu ntakupa ila kama huna la maana la kunambia na unanisumbuasumbua mm naku 'blloookk" maana si wote wenye nia mbàya.
Wengine mmekaa sit moja kwenye daladala tena anasubiri konda ameshachukua nauli ndiyo anaanza kwani unaelekea wapi? Nipe number basi tuongee zaidi
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa number.
Kwa mtazamo wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnalionaje hili?
ungejua kazi zangu ungefurahi zaidi..Iko siku atapenda atatoa yake nawewe hutapigiwa atapigiwa yeye na hutajua kama amepigiwa hapo ndo patamu wewe furahia tuu hilo ukijua ni ujanja.
Sawa mkuu nimekuelewa.ungejua kazi zangu ungefurahi zaidi..
anyways anazo ambazo anatoa kwake sio kwangu ..la msingi sisumbuliwi mimi na akifanya yake ni yeye na maamuz yake ila nisijue wala hataonyesha..
wanawake unaishi nao kwa imani na kuwajengea imani ni kumpa trust yakutosa..so achaga kufwatilia ugonjwa wa presha