Hi mambo nipe number yako basi

Hi mambo nipe number yako basi

Mi huwa nawaomba e-mail namba nawaachia ninyi kuna demu nilimwomba email akanambia hajawahi ombwa email tangu aliniona wa tafaut sana akanipa bila hiyana
 
wife kutwa hutoa namba yangu...
basi nikiona vimesej vya mambo ? umeshindaje?
napiga simu chaaap..utasikia kijana anagwaya wrong number...
nikimpigia wife watu wake wamepiga anacheeeeeeeeeeka..shenz..
Kuna nyingine hakupi.....
 
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa number.

Kwa mtazamo wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.

Mnalionaje hili?
Hi, Sky can i get your number please??
On serious note i really need your number!
 
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa number.

Kwa mtazamo wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.

Mnalionaje hili?
Naomba namba
 
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa number.

Kwa mtazamo wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.

Mnalionaje hili?
Ni kweli shemeji. Sisi madomo zege hapo tunakuwa tumejitahidi sana. Siku hizi ndio maana wanasema wanawake wamekiwa warahisi maana akiombwa namba katoa
 
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa number.

Kwa mtazamo wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.

Mnalionaje hili?
We mdada kwan namba ni tatizo? Halafu mkishindwa kusaidiwa baadae muanze kulalamika. Hi you!
 
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa number.

Kwa mtazamo wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.

Mnalionaje hili?
Ukitaka kula vizuri hutakuwi kuwa na haraka.wanaomba namba haraka haraka huwa sio wanaofaidi.hakuna raha kama kuongea na mwanamke mzuri halafu humwombi namba wala jina lake.unaondoka na just a clue ya kukutana nae tena bila yeye kujua ameshatoa direction.
 
Hahaa unikumbusha jamaa yangu mmoja alimuomb demu mmoja mkali kinyama namba, demu akakataa jamaa akarud kainama nikamuuliza sugu vipi( hua namuitaga sugu) akasema twenzetu huyu demu atakua mpare ndo mana ni mbahili mpaka kwenye namb ya simu
 
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa number.

Kwa mtazamo wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.

Mnalionaje hili?
yes ni kuumpa go Ahead

Na ukiona unaombwa number kirahisi ujue unamuonekano wa mtu rahisi rahisi

nashauri tu Wadada wasiwe na story nyingi na mijitu cheap kama hii
 
Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa number.

Kwa mtazamo wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.

Mnalionaje hili?
In real sense anakuwa haombi namba ila anaomba ngono
 
Back
Top Bottom