Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,721
- 1,515
naomba namba alafu nitakupa jibu kwenye simu
Kinachofuatia huwa ni nnmmmmh hata mimi fundi wa kuomba namba ila akiombwa namba demu wangu nakuwa mkaliii maana najua kinachofuataiaga baada ya hapo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ukiwanyima eti wanasema umepiga teke bakuli la mshahara (husband material)
hivi kwa styl hiyo hata nikikukubali uwe mume inamaana umejaza costa kwakutonfoza hivo na ni kiashiria kwamba tupo wengi.
Kwani kuna shida gani?mbona hata wapaka kucha rangi mnawapa bila kuomba?Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.
Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnakionaje hili?
Vyuma vimekaza saiz upande wao...Kuna vitu vingi vya kushirikishana kwenye maisha apart from kutongozana , tatizo wadada mmekariri kuwa tukiwaomba no za simu tunataka kuwatongoza tu .
Nmekupenda bureeee kwa point yako!!! Naomba namba yako....Mtongozo kuikubali au kuikataa ni uamuzi na msimamo wa mtu. Vile vile namba kuitoa ni uamuzi wa mtu, uzuri huwa wanaomba na si kulazimisha!!!
Nitumie pmNamba yangu ruksa kuipata lkn sheria lazima uzizingatie vinginevyo andaa mafuta sitakagi usumbufu mimi
Na ukitoa papuche wanakuhisijeAlaf kwel iyo tabia inakera na ukitoa watu ulio kuwa nao karibu wanakuhisi vibaya
Kwan kuna no cm inaanza THakuna ubaya unampa tu namba aisee, kama huhitaji mtongozo wake unampa namba ya gari tu, kisha unamwambia simu yangu haina charge nitafute badae basi hivyo tu yaan ya nn kuumiza kichwa kwa kitu ambacho huhitaji
Ukiona demu anaombwa no hovyohovyo ujue analipa na kila me anataman ampate lkn ndo hivo tena.......Ukiona wanaume wa kila aina wanakuomba omba no ovyo ovyo ujue huna value. Sisi wanaume huwa tunaogopa kuomba nu kwa mwanamke anayeonekana anajiheshimu na nzuri. Sasa wewe mtu kakuona sekunde mbili tu kakuomba number ujue kaisha kudegrade na kakuona wewe mwepesi sana.