Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Kutongoza ni part time maana ya kuomba namba ni pamoja na kubadilishana mawazo
Unaakili saana mtu wangu
Wengi ndo wanajua akiombwa namba kinachofata ni kutongozwa wakati sio kweli mwingine anataka kuwa marafiki tu na sio lingine
Mfano mzuri wa wenye mtazamo huwo ni mtoa mada
Kwa mtazamo wangu naona umeandika haraka haraka sana. Hebu rudi uone ulichoandika. Harafu unipe namba pmHii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.
Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnakionaje hili?
Kwani hapa bila namba mtongozo unashindikanaje?Hii tabia unakutana na mtu kwenye bus mnasalimiana tu baada ya hapo anaomba number ya simu. Hata kanisani unakuta na mtu mnasalimiana hasa wanaume anaomba number. Kwenye seminar, mnamaliza tu seminar unaombwa bumber.
Kwa mtazamaji wangu kutoa number ni kama kumpa mtu go ahead ya mtongozo.
Mnakionaje hili?
So kwamba tumekariri inategemea tulipokutana tulikua tuna discuss kitu gani kama tulikua tunadiscuss kitu ambacho kina maana utatoa number bila ata kuombwa lakini sio uanze tu kunisifia sifia alafu mwisho Wa siku uniombe number ñikupe NEVERKuna vitu vingi vya kushirikishana kwenye maisha apart from kutongozana , tatizo wadada mmekariri kuwa tukiwaomba no za simu tunataka kuwatongoza tu .
Ndio atajifanya ataki kukutongoza lakini mwisho wa siku ni mtongozoUnajuaje ka mtu akiomaa namba anataka mtongozo? Wadada mnapenda sana kutongozwa
Naomba namba yako.
Wengine mmekaa sit moja kwenye daladala tena anasubiri konda ameshachukua nauli ndiyo anaanza kwani unaelekea wapi? Nipe number basi tuongee zaidiSo kwamba tumekariri inategemea tulipokutana tulikua tuna discuss kitu gani kama tulikua tunadiscuss kitu ambacho kina maana utatoa number bila ata kuombwa lakini sio uanze tu kunisifia sifia alafu mwisho Wa siku uniombe number ñikupe NEVER