Mhh kwakwelii hapa niache kujidanganyaNaamini leo mambo yatakuwa mubashara mkuu. Kama umeandikiwa wait for final results obviously lazima wakupe hiyo final results hauwezi kubaki hivyo.
Batch zote zilizopita walikuwa wanatoa allocations kwa siku mbili, mfano batch one walianza kutoa kwa baadhi ya akaunti tarehe 20 hadi 21.
Batch two walianza kutoa tarehe 27 ijumaa na wengine waliendelea kupangiwa allocation hadi jumamosi ya tarehe 28.
Kwahiyo huenda na hii batch 3 wakaanza jana hadi leo wakaendelea kwahiyo vuta subira hadi wakiingia kazini asubuhi unaweza kuona mabadiliko kwenye akaunti yako.
Walisema baada ya batch ya tatu itakuwa awamu ya continuous.Vipi kwa wale continuous inakuaje? Maana kwa taarifa ya board wamesema hii batch ya 3 ni ya Mwaka wa kwanza ndio wamepewa so sijajua kuhusu continuous inakuaje mwenye taarifa yoyote atujuze
Wakati wa kukata rufaa ukifika kata rufaa.Vuta subira mkuu maana hadi kufikia kesho utapata uhakika naamini Mungu atatenda ukuu wake.
Mimi wamenipa Meals and accommodation pamoja na Books and stationery pekee.
Ada wameninyima hawajanipa hata mia aise.
Kama mwaka wa kwanza ndio alitakiwa aanze , anaweza kusubiri kuApply mwakani asikate tamaa wapo wengi waliopata kadhia kama hiyo wakaona bora wake nyumbani wasubiri next year kutokana na changamoto hizo na kutokuwa na uwezo wa kujisomesha ila hatimaye wakapata mwaka unaokuja.Toka applications zimeanza naingia na kutoka jamii forum kumpambania mdogo wangu walau kumpa matumaini ya update lakini mpaka sasa hola account haifunguki batch one na two zote hatujapata licha ya kuanbatanisha uthibitisho wa ulemavu wake. Nahisi maumivu makali mno, sijui atajiskiaje nitakapomwambia na batch ya tatu tumekosa![]()
Yaani ya mdogo wangu inasoma hivi tangu jana saa nne usikuKama account ilikuwa inasoma wait for final results na sasa inasoma an error occurred please try again inakuwa inaashiria matumaini ya kupata mkopo au ndiyo basi tena?
Pamoja sana mkuu. Maana ada ndefu sasa mtu anakupa books and stationery badala ya ku boost hata ada kwa angalau nusu.Wakati wa kukata rufaa ukifika kata rufaa.
Ninachoamini ni kwamba wakisema wait for final results kuna possibility ya kupata mkopo.Kama account ilikuwa inasoma wait for final results na sasa inasoma an error occurred please try again inakuwa inaashiria matumaini ya kupata mkopo au ndiyo basi tena?
Na ikitokea mwenye status inayosoma wait for final results asipate mkopo let's say until next week je, uwa kuna message nyingine mpya inayowekwa kuonyesha kwamba kwa sasa kakosa mkopo au message inabaki hiyo hiyo na mwenye akaunti atajijua mwenyewe na kutafuta njia mbadala ya kugharamia masomo yake?Ninachoamini ni kwamba wakisema wait for final results kuna possibility ya kupata mkopo.
Mfumo utakuwa unasumbua kwakuwa bado wanaendelea kufanya allocation.
Sina uzoefu nalo sana ila ninachoweza kusema ni kwamba statement kama hiyo lazima iwe na matokeo ya mwisho kwa maana lazima wakutumie ujumbe aidha wa kufanikiwa kupata mkopo ama kutopata kisha utaona kama ukate rufaa ama vinginevyo.Na ikitokea mwenye status inayosoma wait for final results asipate mkopo let's say until next week je, uwa kuna message nyingine mpya inayowekwa kuonyesha kwamba kwa sasa kakosa mkopo au message inabaki hiyo hiyo na mwenye akaunti atajijua mwenyewe na kutafuta njia mbadala ya kugharamia masomo yake?
Wanaweka hela subiriaKama account ilikuwa inasoma wait for final results na sasa inasoma an error occurred please try again inakuwa inaashiria matumaini ya kupata mkopo au ndiyo basi tena?
Huu ujumbe unakuja kwa wote hata ambao tayari walipangiwa allocations.saiz inajibu hivi kwenye sipa ya dgo
Unable to acquire JDBC connection.nested exception.JDBC on nection exception:unable to acquire JDBC
Allocation yeye aliziona siku ya Jumanne asubuhi.Kwanza hongera zake,
Amepata lini?
Samahani, huyo mdogo wako jina lake linaanzia na initial letter gani btn A - Z ?Toka applications zimeanza naingia na kutoka jamii forum kumpambania mdogo wangu walau kumpa matumaini ya update lakini mpaka sasa hola account haifunguki batch one na two zote hatujapata licha ya kuanbatanisha uthibitisho wa ulemavu wake. Nahisi maumivu makali mno, sijui atajiskiaje nitakapomwambia na batch ya tatu tumekosa![]()
Inasikitisha mno mkuu japo hujasema walikujibu nini ili tupate cha kukushauri.Nimewapigia board majibu waliyonipa yamenihudhunisha,nikasema moyoni wale unaosikia wamejinyonga si wa kuwalaumu bali kuna sababu hasa,Inasikitisha sana
wamesemaje chiefNimewapigia board majibu waliyonipa yamenihudhunisha,nikasema moyoni wale unaosikia wamejinyonga si wa kuwalaumu bali kuna sababu hasa,Inasikitisha sana