hatedthemost
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 470
- 328
Unanichekesha jamaniNimewapigia board majibu waliyonipa yamenihudhunisha,nikasema moyoni wale unaosikia wamejinyonga si wa kuwalaumu bali kuna sababu hasa,Inasikitisha sana
Unanichekesha jamaniNimewapigia board majibu waliyonipa yamenihudhunisha,nikasema moyoni wale unaosikia wamejinyonga si wa kuwalaumu bali kuna sababu hasa,Inasikitisha sana
Yah nimefuatilia ni kweli upo sahihi wamesema awamu ya continuous inakuja baada ya first year kuishaWalisema baada ya batch ya tatu itakuwa awamu ya continuous.
Wamekujibu nini tujueNimewapigia board majibu waliyonipa yamenihudhunisha,nikasema moyoni wale unaosikia wamejinyonga si wa kuwalaumu bali kuna sababu hasa,Inasikitisha sana
Mimi huwa nakuwa mtu wa mwisho kuamini katika kushindwa mkuu.mm mwenyewe nahisi dgo wame mchapa mtama, Account imechange into SIPA tangu juzi ila hakuna maokoto
Apo ni mtandao tu mkuu Wala usihofuHi Ina maaana gani kwa anayefahamView attachment 2802508
Vuta subira tu lazima wakuingizieHi Ina maaana gani kwa anayefahamView attachment 2802508
Hongera wewe ni Mwaka wa kwanza?Nimepata mwenzenu Mungu ni mwema,
Hongera kwahyo allocation washaeka?Nimepata mwenzenu Mungu ni mwema,
Hongera hasubuhi ilikuwa inaleta ujumbe gani?Hatimae account yangu imebadilika kuwa SIPA Muda huu ila inaonyesha hiviView attachment 2802563
YesHongera wewe ni Mwaka wa kwanza?
Dakika Tano tatu zilizopita ilikuwa hiviHongera hasubuhi ilikuwa inaleta ujumbe gani?
Nimepewa dearHongera kwahyo allocation washaeka?
Du Basi kumbe tuwe wavumilivuDakika Tano tatu zilizopita ilikuwa hiviView attachment 2802569
Hongera sanaDakika Tano tatu zilizopita ilikuwa hiviView attachment 2802569
Safi I'm happy to hear thatNimepewa dear
Asante sana, uvumilivu muhimu, wote tutapataHongera sana