HESLB: Batch One Out Now

HESLB: Batch One Out Now

Mmh jamani
Vuta subira mkuu maana hadi kufikia kesho utapata uhakika naamini Mungu atatenda ukuu wake.

Mimi wamenipa Meals and accommodation pamoja na Books and stationery pekee.

Ada wameninyima hawajanipa hata mia aise.
 
Vuta subira mkuu maana hadi kufikia kesho utapata uhakika naamini Mungu atatenda ukuu wake.

Mimi wamenipa Meals and accommodation pamoja na Books and stationery pekee.

Ada wameninyima hawajanipa hata mia aise.
Fact..haijaisha mpaka iishe.
 
Vuta subira mkuu maana hadi kufikia kesho utapata uhakika naamini Mungu atatenda ukuu wake.

Mimi wamenipa Meals and accommodation pamoja na Books and stationery pekee.

Ada wameninyima hawajanipa hata mia aise.

Nashukuru Mungu mimi wamenipa allocations sema wamenipa Meals and accommodation 2,590,000 na Books and stationery 110,000.

Ada wameninyima hawajanipa hata mia aise.
Nawe ilikuw wait for final results?
 
Nashukuru Mungu mimi wamenipa allocations sema wamenipa Meals and accommodation 2,590,000 na Books and stationery 110,000.

Ada wameninyima hawajanipa hata mia aise.
wamekuwekea muda gani? mm sipa ya dogo bado holaa
 
Nawe ilikuw wait for final results?
Yah, iliniandikia wait for final results hadi jana ndo ikabadilika kuwa SIPA.

Leo jioni nilivyofungua ndo nikakuta allocations.

Sema kuwa na imani tu maana akaunti inaweza kubadilika kuwa SIPA ikakaa muda mrefu kabla ya kufanyiwa allocation lakini akaunti nyingine ikawa inasema wait for final results then muda huo huo ikabadilika kuwa SIPA na kuwekewa allocation kabisa.
 
Yah, iliniandikia wait for final results hadi jana ndo ikabadilika kuwa SIPA.

Leo jioni nilivyofungua ndo nikakuta allocations.

Sema kuwa na imani tu maana akaunti inaweza kubadilika kuwa SIPA ikakaa muda mrefu kabla ya kufanyiwa allocation lakini akaunti nyingine ikawa inasema wait for final results then muda huo huo ikabadilika kuwa SIPA na kuwekewa allocation kabisa.
Itakuwa hivo in shaa Allah
 
Huenda akaunti zina update slowly sio kwa wakati mmoja hivyo kuwa na imani kikubwa uwe unaangalia mara kwa mara usiku huu hadi kufikia kesho jioni itakuwa fresh naamini mkuu.
Kiukweli sio kila mtu atapata najitahidi kujikumbushia Ili nisije kuumia mwishowe bure
 
Back
Top Bottom