Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
Kesho asubuhi mimi na familia yangu tutaanza safari ya kuelekea nyumbani (Komuge) kuungana na familia za kaka na dada zangu kusherehekea sikukuu za X-mas na Mwaka Mpya. Inawezekana tusiwe tunawasiliana na kuonana jamvini mara kwa mara kama ilivyokuwa kawaida hasa ukizingatia matatizo ya network yaliyopo vijijini. Vyovyote itakavyokuwa naomba niwatakie HERI ya sikukuu zote mbili zinazokuja yaani X-MAS na MWAKA MPYA wa 2012.