KERO Hela ya internship tunayopewa sio sahihi

KERO Hela ya internship tunayopewa sio sahihi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Sawa lakini usiache kazi kabla ya kupata kazi.

Life lisije likaku synchronize ukasema wamekuroga bure
:2Head:

1000008291.jpg
 
Sisi wanafunzi tulisoma Bsc in Clinical nutrition & Diabetics tunaomba serikali pamoja na baraza la Madaktri (MCT) wakae na kupitia muundo wetu wa Mishahara haiwezekani nisome miaka 4 alafu internship nilipwe 600,000/= kiwango hiki cha malipo kinatokana na nini?

Ikiwa wenzetu wanao soma Bsc in Pharmacy miaka 4 wanapoenda internsship walipwe tofauti na sisi,,, na muundo mpya upo tangu 2023 kwanini hautumiki kwa sisi kada mpya za afya ??
Weka asilimia 80 ya mshahara wako wa kuanzia. Usilinganishe miaka ya kuwa shuleni, mbona hujalinganisha qualifications zilizowapeleka chuo?
 
Si uache tu hiyo kazi km haitoshi upige mishe zingine km unazo.
Umelazimishwa,wenzio walikua wanalalamika hapa wanalipwa 250000 tu kwa mwezi tar 45.
We uko kazi ya kuanzia kilo 6.
Baada ya mwaka una 850,miaka 2 1.5.
Sasa we unataka uanze hizo intern(practic) na mshahara mkubwa.
Boya kwelikweli
 
Si uache tu hiyo kazi km haitoshi upige mishe zingine km unazo.
Umelazimishwa,wenzio walikua wanalalamika hapa wanalipwa 250000 tu kwa mwezi tar 45.
We uko kazi ya kuanzia kilo 6.
Baada ya mwaka una 850,miaka 2 1.5.
Sasa we unataka uanze hizo intern(practic) na mshahara mkubwa.
Boya kwelikweli
Kwa hiyo kisa watu wanalalamika wanalipw 250000 yeye asidai stahiki zake? Unafahamu kwa nini internship za afya kwa nini wanapaswa kulipwa vizuri zaid?
 
Ndio maana mnapata huduma za afya mbovu 🚮 huku mwenye mamlaka wakipata huduma bora kwenye hospital bora ambazo wafanyakazi hulipwa vizuri 🚮
Acha mapema hiyo kazi ni wito km ualimu.
Ushatangaza kutoa huduma mbovu kimaslahi unaenda kuua wangapi huko?
Bora uache tu au utaachishwa mapema tu
 
Acha mapema hiyo kazi ni wito km ualimu.
Ushatangaza kutoa huduma mbovu kimaslahi unaenda kuua wangapi huko?
Bora uache tu au utaachishwa mapema tu
Sijaongelea binafsi yangu hapo wala kazi ninayoifanya hakuna sehemu nimeitaja. Ila sekta nyeti kama ya afya kuboresha huduma kila wakati na maslahi ya watumishi ni jambo muhimu mno .
 
Watu wa afya wanalipwa pesa ndogo mno kulingana na majukumu yao kwa sababu hizi hizi za kulinganisha nawatu wengine wanao lipwa kiduchu
Sometimes ajira za serikali kutolewa randomly kama fadhila pasipo kuangalia competency ya mtu ndio inasababisha madaktari kulipwa kidogo.

By the way, 600k mtu kudai sio shida ila je anachokidai kinaendana na value aliyonayo. Hilo ndio tatizo japo naelewa serikalini, kinachoangaliwa ni nafasi na miaka ya kazi ila sio contribution ya mtu. Kwa angle hiyo, namuelewa kijana
 
Sometimes ajira za serikali kutolewa randomly kama fadhila pasipo kuangalia competency ya mtu ndio inasababisha madaktari kulipwa kidogo.

By the way, 600k mtu kudai sio shida ila je anachokidai kinaendana na value aliyonayo. Hilo ndio tatizo japo naelewa serikalini, kinachoangaliwa ni nafasi na miaka ya kazi ila sio contribution ya mtu. Kwa angle hiyo, namuelewa kijana
Mtu ana ratiba ya kuacha usingizi wake saa nane ya usiku , kuhudumia wagonjwa halafu anatokea kilaza anae lala na kujamba mda huo anataka alingane nae mshahara?

Sera zipitiwe upya ,hawa watu wenye dhamana ya maisha ya watu wanatakiwa wasiwe na stress kabisa
 
Mtu ana ratiba ya kuacha usingizi wake saa nane ya usiku , kuhudumia wagonjwa halafu anatokea kilaza anae lala na kujamba mda huo anataka alingane nae mshahara?

Sera zipitiwe upya ,hawa watu wenye dhamana ya maisha ya watu wanatakiwa wasiwe na stress kabisa
Kwa minajili hiyo bhasi walinzi na wanajeshi wangelipwa zaidi maana wanafanya kazi almost 24/7. Kipindi ambacho wengi wamelala..

Sisemi pia watu wa kada ya afya wasilipwe vizuri ila ningetamani system iwe competence based , vipaksa wapatikane na walipwe kwa thamani yao, na si kutegemea profession tu maana kama ulijua ni kazi gani unaisomea, na umeipata. Sioni kama kuna cha kuanza kulaumu unless contribution yako na compesation haviendani.
 
Back
Top Bottom