Are you ready to dig deep into the world of agriculture and consulting? Join our internship program and cultivate your skills with us! We’re on the lookout for passionate recent agricultural graduates to join our dynamic team.
Whom are we looking for:
Bachelor’s degree in Rural Development...
Anahitajika mdada mwenye ujuzi wa wa IT
Kwenye nyanja zifuatazo:
1. Graphics design
2. Microsoft package
3. Networking design and implementing
5. Social media marketing
6. Good customer care
Nicheki chap inbox
Habari za muda huu wakuu.
Mm ni mwanafunzi wa mwaka wa 3 Chuo kikuu cha SUA.
Ninachukua Bachelor of Science in Environmental Sciences and Management. Ninatarajia kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu mwishoni mwa mwezi wa 7 mwaka huu.
Hivyo basi nilikuwa naomba wenye uzoefu na course yangu...
Habarini wakuu, ninasoma DIT, Bachelor's degree in mechanical engineering, mwaka wa tatu. Sasa hivi tupo likizo, tumetumia karibu week 6 zimebaki week 3
Nilijaribu kuomba internship kwenye viwanda vingi pale Mikocheno industrial area, lakini nilikosa sababu ni kutokuwa tayari kwa viwanda kupokea...
Position: Intern - Accountant (1), Administrative Assistant (1)
To apply please send your Resume CV and Cover letter to tiarbitrator@yahoo.com not later than 13 March 2024.
Note: All documents must be sent in one PDF file and applicants should include the title of a position you are applying...
Habari!
Mimi ni mwanafunzi wa Ordinary Diploma In Electrical Engineering, NTA Level 5 ( second year ). Taasisi: Dar es salaam Institute of Technology.
Nina maombi ya kujitolea kufanya kazi katika taasisi, kiwanda, ofisi au karakana yoyote inayohusiana na shughuli za umeme, mpaka mnamo tarehe 5...
Habari!
Mimi ni mwanafunzi wa Ordinary Diploma In Electrical Engineering, NTA Level 5 ( second year ). Taasisi: Dar es salaam Institute of Technology.
Nina maombi ya kujitolea kufanya kazi katika taasisi, kiwanda, ofisi au karakana yoyote inayohusiana na shughuli za umeme, mpaka mnamo tarehe 5...
Position: Internship
Location: Zanzibar
Contract Status: Assistant officer C
Contract Length: 2 Months with possibilities of extension.
Project Name: Strengthening the capacity of secondary school education through radio educational broadcasting in Zanzibar
PROJECT DESCRIPTION:
Good...
Fully Funded Internship for International Students in Geneva, Switzerland
Duration: 2 to 12 months.
Benefits: 3407 Swiss Francs per month, travel allowance, health 2,5 days of paid leave per month.
Deadline: March 11, 2024.
3407 Swiss Francs ni sawa na millioni kumi (10,050,146.26) Tsh...
Click this link 👉🏽 PRASDEL | Journalism Tutors at Dar es Salaam School of Journalism (DSJ)
and apply straight away.
Call|SMS|WhatsApp:
0762260621 | 0735717253
Please share with others
Huu utaratibu wa kupeleka vijana Israel;
1. Nani anaratibu?
2. Sifa za kujiunga Ni zipi? Maana naona wanufaika wanatokea Kanda ya Kaskazini zaidi, Kuna nn hapo? Ukute Coordinator Mangi anapata Dola zake kimyaa huku vijana wanafuata kifo.
3. Usalama wao upoje? Shambani/vitani.
4. Je, ipo MoU...
Hello Wanajf nimeitwa internship WVT kupitia Taesa ila ni mkoa tofauti na nilipo, kwa mwenye experience anijuze kama WVT wanalipa interns pia au inakaaje?
Position: Internship-Economic / Social Researcher
Location: Dar Es Salaam, Tanzania
Team: Economic Research and Development
Line Manager: Head of Economic Research and Development
Salary: Depending on experience
Main Purpose
This is a key role in ensuring that Learning and Work has the...
Natafuta kazi au internship
Education: Bachelor degree of science in production and operations management.
Expirience;
I have worked in quality control and production supervising job, i can handle injection moulding and blow moulding production very well, i have experience with both of the...
WANAFUNZI WA KICHAWI WANAPOKUWA INTERNSHIP "FIELD" AU KWENYE MAFUNZO KWA VITENDO.
Anaandika, Robert Heriel
Baada ya kupokea kozi fupifupi au ndefu katika taaluma ya Uchawi na ulozi ni muhimu kwenda Internship au field au Kwa Kiswahili fasaha tunasema kwenda kwenye mafunzo Kwa vitendo for...
Habari ndungu zangu
Nimehitimu shahada ya Mechanical Engineering. Naombeni msaada kupata kazi au internship maana nimeshazunguuka sana maofisini kuomba kazi bila mafanikio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.