KERO Hela ya internship tunayopewa sio sahihi

KERO Hela ya internship tunayopewa sio sahihi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kwa minajili hiyo bhasi walinzi na wanajeshi wangelipwa zaidi maana wanafanya kazi almost 24/7. Kipindi ambacho wengi wamelala..

Sisemi pia watu wa kada ya afya wasilipwe vizuri ila ningetamani system iwe competence based , vipaksa wapatikane na walipwe kwa thamani yao, na si kutegemea profession tu maana kama ulijua ni kazi gani unaisomea, na umeipata. Sioni kama kuna cha kuanza kulaumu unless contribution yako na compesation haviendani.
Hiyo ianze kwanzia ngazi ya uraisi , kipindi cha magufuli mbona watu walipa kazi?
 
Sisi wanafunzi tulisoma Bsc in Clinical nutrition & Diabetics tunaomba serikali pamoja na baraza la Madaktri (MCT) wakae na kupitia muundo wetu wa Mishahara haiwezekani nisome miaka 4 alafu internship nilipwe 600,000/= kiwango hiki cha malipo kinatokana na nini?

Ikiwa wenzetu wanao soma Bsc in Pharmacy miaka 4 wanapoenda internsship walipwe tofauti na sisi,,, na muundo mpya upo tangu 2023 kwanini hautumiki kwa sisi kada mpya za afya ??
Huo muundo mpya bado haujaanza kutumika hata kwa waliopo kazini sasa na ndio wanalalamika hasa Baraza la wauguzi na wakunga

Kingine Kozi yenu ni mpya hata muundo wake wa zamani haupo nahisi ndio tatizo linapoanzia japo sina uhakika sana mkuu wangu

Interns malipo yenu huwa yanakuwa calculated toka kwenye Basic salary ya Mwajiriwa ndio maana unaona hao Pharmacy na wengine malipo yao yanajulikana kabisa yapo hivi na hivi
 
Sisi wanafunzi tulisoma Bsc in Clinical nutrition & Diabetics tunaomba serikali pamoja na baraza la Madaktri (MCT) wakae na kupitia muundo wetu wa Mishahara haiwezekani nisome miaka 4 alafu internship nilipwe 600,000/= kiwango hiki cha malipo kinatokana na nini?

Ikiwa wenzetu wanao soma Bsc in Pharmacy miaka 4 wanapoenda internsship walipwe tofauti na sisi,,, na muundo mpya upo tangu 2023 kwanini hautumiki kwa sisi kada mpya za afya ??
Hayo mapendekezo nani aliyatoa???


Wauguzi wote watahamia LISHE.


COs wote watahamia CLINICAL NUTRITION.

Hakuna mtu anapenda NIGHT SHIFTS na usumbufu
 
Back
Top Bottom