Hekaya za Polepole vyaanza kudoda

Hekaya za Polepole vyaanza kudoda

Kwanini Utumie nguvu kubwa kushupaza fikra zako kuhimiza umma huu eti usimsikilize HP na kumdhihaki juu kwa kumuita Msukule?

Tuelimishe kwa kuchambua hoja zake moja baada ya nyingine kwa kuzikosoa na kuzizahihisha ndio tutazitambua fikra zako na uhalisia wako ktk U-Tanzania wa dhati kuliko ivi ulivyo.
Gentleman,
kazi ya hekaya na upotoshaji ni kukupumbaza na kukufanya uwe lofa kifikra daima.

Porojo na story za pata potea hua ni nonsense zisizostahili kumpotezea mtu muda wake gentleman 🐒
 
The best advice...!!!
Gentleman,
the best advice ni chadema masalia wote kuacha kubebwa ufala wa kifikra na tapeli msukule polepole hata kama you have nothing to do in this country 🐒
 
Gentleman,
the best advice ni chadema masalia wote kuacha kubebwa ufala wa kifikra na tapeli msukule polepole hata kama you have nothing to do in this country 🐒
Ya CHADEMA tuachie wenyewe.. Pokea huo ushauri utakusaidia maishani
 
Gentleman,
the best advice ni chadema masalia wote kuacha kubebwa ufala wa kifikra na tapeli msukule polepole hata kama you have nothing to do in this country 🐒
Ya CHADEMA tuachie wenyewe.. Pokea huo ushauri utakusaidia maishani
 
Gentleman,
kazi ya hekaya na upotoshaji ni kukupumbaza na kukufanya uwe lofa kifikra daima.

Porojo na story za pata potea hua ni nonsense zisizostahili kumpotezea mtu muda wake gentleman 🐒
Ndg. Umeshupaza shingo na fikra zako sana, lkn cha kufurahisha ktk umma huu ni kuwa haueleweki .

Polee sana.
 
Polepole anachofanya ni kuwachonganisha Wanamtandao na Usalama wa Taifa na jeshi. Usalama wao utakuwa mdogo siku zijazo; wao na familia zao | JamiiForums Polepole anachofanya ni kuwachonganisha Wanamtandao na Usalama wa Taifa na jeshi. Usalama wao utakuwa mdogo siku zijazo; wao na familia zao
Gentleman,
surely kwamba eti kuna watu wenye majukumu yao mahali, eti wanamsikiliza kabisa, wanamuamini na wanababaika na hekaya za msukule polepole, zaidi ya chadema masalia?🤣

Labda sio nchi hii 🐒
 
Ya CHADEMA tuachie wenyewe.. Pokea huo ushauri utakusaidia maishani
ushauri muafaka ndio huo niliowapatia gentleman, puuzeni at your own risk,

but hekaya za msukule polepole ni nonsense kwenu na kwa yeyote yule.
Hakuna haja ya kubabaika nazo hata kidogo 🐒
 
Ndg. Umeshupaza shingo na fikra zako sana, lkn cha kufurahisha ktk umma huu ni kuwa haueleweki .

Polee sana.
Tuliza mihemko gentleman utaelewa tu.

kwa mihemko ni ngumu kuelewa zaidi ya kuweweseka tu 🐒
 
Uongo gani wakati mbarika zinapasuliwa?
ex wako akikuexpose in public hua ni kweli au maneno ya mkosaji tu. uaminiwe wewe au yeye?

hekaya za msukule polepole ni useless na completely nonsense na ndio maana ni chadema masalia wachache tu ndio ambao wanababaika nazo 🐒
 
Acha kumfuatilia unapoteza muda wako wewe zumbukuku.
Gentleman,
sina haja ya kumfuatilia msukule polepole, haja yangu ni kuwanusuru kubebwa ufala wa kifikra na huyo tapeli 🐒
 
najaribu kuwanusuru wadau wa JF msije kubebwa ufala wa kifikra na huyo tapeli gentleman, coz I love and respect you so much.

Just ask yourself,
yeye kajificha, what would you do on behalf of him zaidi ya kukubea ufala uwe lofa kama yeye 🐒
Unawanusuru wewe kama nani mkuu, mbona unajipa umuhimu usiokuhusu?
 
ex wako akikuexpose in public hua ni kweli au maneno ya mkosaji tu. uaminiwe wewe au yeye?

hekaya za msukule polepole ni useless na completely nonsense na ndio maana ni chadema masalia wachache tu ndio ambao wanababaika nazo
 
Unawanusuru wewe kama nani mkuu, mbona unajipa umuhimu usiokuhusu?
Gentleman,
nashauri kama mTanzania mzalendo, mdau makini na wa heshima wa JF, mtaalamu muandamizi wa masula ya siasa, mtafiti na muhadhiri muandamizi wa vyuo vikuu vya ndani na nje ya nchi, mkulima, mfugaji, mfanyibiashara, mshauri wa vyama vya siasa, mtumishi na kiongozi mchapakazi hodari wa wananchi,

sistahili chochote, ila hayo ni kwa uchache tu gentleman 🐒
 
Gentleman,
nashauri kama mTanzania mzalendo, mdau makini na wa heshima wa JF, mtaalamu muandamizi wa masula ya siasa, mtafiti na muhadhiri muandamizi wa vyuo vikuu vya ndani na nje ya nchi, mkulima, mfugaji, mfanyibiashara, mshauri wa vyama vya siasa, mtumishi na kiongozi mchapakazi hodari wa wananchi,

sistahili chochote, ila hayo ni kwa uchache tu gentleman 🐒
Mwandamizi wa buku saba Lumumba😅😅😅
 
Sote ni mashuhuda kwamba, hivi sasa muungwana anaonekana dhahiri ana tapatapa maneno ya mkosaji mithili ya mtu alieachwa kwenye mahusiano, hana contents kabsaa.

Hata waliokua wakimfuatilia na kumsifu Polepole, hasa chadema masalia, nao hivi sasa taratibu wameanza kumshtukia na kuthibitisha kwamba Polepole anatunga story za kutafuta kiki tu na kutafuta umaarufu nonsense. Katika porojo zake hakuna uhalisia na ndio maana zimekosa mashiko na hazina athari zozote kisiasa nchini.
Anachoeleza kinasahaulika na kupuuzwa pale pale.

Ni upotoshaji wa kiwango cha chini sana ana fanya Polepole, Ex-wa CCM.

Ukiwa kama mdau wa jukwaa hili la heshima, unadhani kwanini hekaya za muungwana Polepole zimefikia hatua ya kuonekana ni umbea tu na ni kama maneno ya mtu mkosaji anaejaribu kuficha uovu wake na kuzungumzia watu badala ya issues?

why anapuuzwa hata na wale waliokua wakimuamini sana, na sasa hawapotezi muda wao tena kumfuatilia polepole?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Acha kutapatapa we bwege, badala ya kuonesha huo upotoshaji alofanya unaandika mashudu tu hapa. Unapuuzwa tu gentleman maana hujawah kuwa na point zaidi ya blaablaa na tatarira tu
 
Gentleman,
surely kwamba eti kuna watu wenye majukumu yao mahali, eti wanamsikiliza kabisa, wanamuamini na wanababaika na hekaya za msukule polepole, zaidi ya chadema masalia?🤣

Labda sio nchi hii 🐒
Waulize wana mtandao wenzio watakwambia.
 
Back
Top Bottom