drama

Drama is the specific mode of fiction represented in performance: a play, opera, mime, ballet, etc., performed in a theatre, or on radio or television. Considered as a genre of poetry in general, the dramatic mode has been contrasted with the epic and the lyrical modes ever since Aristotle's Poetics (c. 335 BC)—the earliest work of dramatic theory.The term "drama" comes from a Greek word meaning "action" (Classical Greek: δρᾶμα, drama), which is derived from "I do" (Classical Greek: δράω, drao). The two masks associated with drama represent the traditional generic division between comedy and tragedy.
In English (as was the analogous case in many other European languages), the word play or game (translating the Anglo-Saxon pleġan or Latin ludus) was the standard term for dramas until William Shakespeare's time—just as its creator was a play-maker rather than a dramatist and the building was a play-house rather than a theatre.The use of "drama" in a more narrow sense to designate a specific type of play dates from the modern era. "Drama" in this sense refers to a play that is neither a comedy nor a tragedy—for example, Zola's Thérèse Raquin (1873) or Chekhov's Ivanov (1887). It is this narrower sense that the film and television industries, along with film studies, adopted to describe "drama" as a genre within their respective media. The term ”radio drama“ has been used in both senses—originally transmitted in a live performance. May also refer to the more high-brow and serious end of the dramatic output of radio.The enactment of drama in theatre, performed by actors on a stage before an audience, presupposes collaborative modes of production and a collective form of reception. The structure of dramatic texts, unlike other forms of literature, is directly influenced by this collaborative production and collective reception.Mime is a form of drama where the action of a story is told only through the movement of the body. Drama can be combined with music: the dramatic text in opera is generally sung throughout; as for in some ballets dance "expresses or imitates emotion, character, and narrative action". Musicals include both spoken dialogue and songs; and some forms of drama have incidental music or musical accompaniment underscoring the dialogue (melodrama and Japanese Nō, for example). Closet drama is a form that is intended to be read, rather than performed. In improvisation, the drama does not pre-exist the moment of performance; performers devise a dramatic script spontaneously before an audience.

View More On Wikipedia.org
  1. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hakuna alie tekwa pale, ni pure drama, yaani ni utekaji bandia

    Ni drama iliyopikwa na watu wasio wazoefu katika kucheat, lakini pia the main character ni kama vile hakufanya rehearsal vizuri au hafundishiki, na ilimuwia vigumu sana kuact kama alivyoelekezwa na watengeneza script wa hiyo drama. Ni wazi hapakua kabisa na mapambano, makabiliono au...
  2. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hizi Drama zilizofanyika Ukonga Prison zitasaidia rais Samia kupunguza kuchukiwa na wananchi?

    Nimeona wanataka aonekane ni rais wa watu na kiongozi mwenye huruma. Lakini kila kona Watanzania wanasema ni maigizo ten ya kitoto. Mfano rais Kumuwekea mfungwa sikio ili anog'onezwe. Kupiga picha na wafungwa wakiwa wamekaribiana. Lakini kidonda cha Oktoba 29 hakiwezi kumalizwa kwa drama...
  3. PLOII

    JamiiForums Tanzania Nipo bado kwenye Ndoto; Kile kilichotokea 29 October, 2025 kina mwelekeo na Maandiko Matakatifu?Kwa Report ya Chande hata Lucifer kanyosha Mikono.

    Umofia Wadau. Nipo ndotoni ndugu zangu kiukweli, hivi watu wamekufa kiasi kile ila Viongozi hawajutii wala kusikitika wanachofanya ni kujipalilia waendelee "KULA" Labda wale wa Rohoni mnipe tafsiri sahihi ya hili bila kujali Imani ya Dini zenu:- 1. Kila mtu aitii Mamlaka iliyo kuu;kwa maana...
  4. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Kupotezwa nyeti(wanaume) ni drama ya kuwapotezea watu kifikra!

    Mchezo huu wa ati mtu anaguswa began, halafu nyeti zinapotea, ni ujinga uliokithiri. Ujinga huu umepewa promo ili kuondoa majadiliano Makali yaliyokuwa yakiendelea juu ya kupanda kwa gharama za maisha kutokana na kupanda kwa bei za nishati ya mafuta. Ilianzia Tunduma Mbeya, mara tukasikia...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Enzi zangu nikiwa Fisimaji binti kama Lucy mkatoliki wala asingepata muda wa kurekodi mavitu ya ajabu na kufanya hizo Drama

    Mtakuwa mmesahau! 1. Enzi zetu hizo, sio Zama zenu hizi Gen Z za kukata mayeno na kujirekodi. Au mwanaume kuchambana na kusutana kama wanawake. 2. Enzi hizo Sisi tulikuwa tunaitwa MAFATAKI. Weee! Wewe. Ulizeni muambiwe. Nyie si mlikuwa watotom tena wengine mlikuwa hamjazaliwa. 3. Serikali...
  6. Damaso

    JamiiForums Tanzania Kataa unafiki wa SMS za Mwisho wa Mwaka: Kataa Drama za Dakika za Mwisho

    Bado masaa machache tu kuaga mwaka wa 2025 na kuukaribisha mwaka 2026, wakuu ndipo simu zinapoanza kulia kwa fujo. Ghafla, watu waliokuwa kimya na jeuri kwa siku 364 na zaidi wanakumbuka uwepo wako. Unakutana na liujumbe refu: “Kama nimekukosea nisamehe,” “tusameheane kabla ya mwaka kuisha,”...
  7. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 GEN Z tuacheni na drama za Majizo asitutoe kwenye reli, focus yetu maandamano endelevu

    Yeye si ana vyombo vya habari na ana majukwaa ya kisasa, basi aendelee kupromoti mziki na wanamuziki wake. Hatuna muda wa kujadili mambo yake tena issue yake ikifika jioni tujihidi abaki anajadili yeye na mkewe. Mbona hasemi ndugu zetu waliopoteza uhai anaona kipato cha wanamuziki wake bora sana...
  8. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Msihadaike na Drama za Polepole, ni Afisa Kipenyo aliye kazini!

    Hizi drama ni za kupitisha muda tu Kusubiria siku ya Uapisho November 2025. Ndugu mnyonge endelea Kusaka pesa za kulisha familia yako. Hakika HP kataitiwa mwanzo-mwenga Hana pa kutoboa
  9. L

    JamiiForums Tanzania Ushahidi wa Picha za Plate Number SSH 25 30: Wacha Drama Kama Hawajakamatwa!

    Wadau, ushahidi huu wa picha unaonyesha kuwa plate number SSH 25 30 ni nyingi sana, na inaweza kuwa hatari kama si rasmi. Kama hawajakamatwa, wacha drama na tuendelee na maisha – lakini mamlaka ziwasilize! Je, mmeona magari haya eneo lako? Je, ni viongozi au wafanyabiashara? Shirikieni maoni...
  10. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hekaya za Polepole vyaanza kudoda

    Sote ni mashuhuda kwamba, hivi sasa muungwana anaonekana dhahiri ana tapatapa maneno ya mkosaji mithili ya mtu alieachwa kwenye mahusiano, hana contents kabsaa. Hata waliokua wakimfuatilia na kumsifu Polepole, hasa chadema masalia, nao hivi sasa taratibu wameanza kumshtukia na kuthibitisha...
  11. PLOII

    JamiiForums Tanzania Kwa 100% bingwa wa EPL ni Arsenal NBC wana Lunyasi bado, MO ana Drama sana kasajili nini? Anavuna asipopanda na ngojera ya 87B

    Habari Wana Sports, Kiukweli mwaka huu Arsenal imefanya sajili Bora sana ingizo la striker Victor ndani ya Chama letu inatupa confidence ya kusepa na makombe mwaka huu. Imagine Victor yupo pale mbele left Kuna TEMINADO SAKA right MADUEKE. Declan Rice anakichafua Dimba la chini na juu pale...
  12. meningitis

    JamiiForums Tanzania Tabia ya kutengeneza drama za siasa kwenye maeneo ya hospitali ikemewe!!

    Ipo Tabia chafu ya baadhi ya wanasiasa kugeuza huduma za tiba na maeneo ya hospitali kuwa sehemu ya kujipatia umaarufu wa kisiasa hususani nyakati hizi za uchaguzi. Inaeleweka wazi kuwa ukibrand hoja yako na maswala yanayohusu afya,uhai,kifo au huduma za dharura basi jamii lazima itataharuki na...
  13. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Video: Wananchi wambeba juu juu Kigwangala alipofika jimboni kwake. Hizi kama sio drama ni nini?

    Wakuu, Hivi ni lini sasa wanasiasa wa Kibongo watafahamu kwamba hizi drama zao tunazijua na kwamba zimeshapitwa na wakati Mimi binafsi sijawahi kuona nchi zilizoendelea kama Marekani mwanasiasa anabebwa kama hivi. Kwanini hizi drama za wanasiasa kutaka kuonekana wanapendwa zinakuwa huku kwa...
  14. Miguel Felix Gallardo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kufumania, wivu wa mapenzi na drama kama hizo ni ushamba wa karne ya 21

    Nimejaribu kufatilia kwa muda sasa na pengine ni sahihi kabisa na baadhi ya jamii za kale zilielewa haya mambo in deep tofauti kabisa na wanaojiita wasomi wenye madegree na maPhD ya kileo. Jamii kama Wamaasai hawa viumbe wako soo real katika swala la kuzagamuana na kula mbususu.Imagine mwanaume...
  15. 4

    JamiiForums Tanzania Sasa Tunaanza upyaa alisema Mbunge Bwege alikua Mbunge drama za CCM kwisha

    Wakuu amani ya Bwana ikawe juu yenu , Rejea mada tajwa . Mh aliekua Mbunge wa bunge la JMT ,tulipenda sana tumia jina la mh Bwege, kuna kipindi ndani ya Bunge aliwambia wabunge wa ccm na serikali kwamba tunaanza upyaaa. Sasa msemo huu leo nawambia pia ccm kwamba tunaanza upya ,drama zao...
  16. Program Manager

    JamiiForums Tanzania Ile Drama imeisha. Kuachiliwa hivi karibuni

    Hivi Sasa inaarifiwa kuwa ile drama ya "shujaa" inaelekea mwishoni na baadhi ya waigizaji wakuu kwenye hiyo drama wameona isiwe "kesi" kwani watazamaji hawapendi hizo series,ni kama vile kupotezeana muda tu. Director ashapewa maelekezo na wachora script kwamba asiendelee kuongoza mchezo Ili...
  17. K

    JamiiForums Tanzania Ramaphosa na Rutto wanajali nchi zao Samia drama za uchaguzi!!

    Raisi wa Africa ya kusini yupo USA ku nadi uwekezaji na kudumisha uwekezaji. Chama chake cha ukombozi kinashieikiana na chama cha africana wazungu ili kuweka nchi mbele ya matakwa binafsi. Ruto ameweka pembeni tofauti zake na Odinga na wameweka nchi mbele na wote walikuwa China kutafuta...
  18. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania G 55 Acheni Drama za kutoka CHADEMA, anzisheni chama chenu msonge mbele!

    Tangu waliokuwa wanachama wa CHADEMA waanze kutoka Baada ya uchaguzi wa tarehe 21,22/01/2025, sasa limekuwa kama ni igizo lisilo na mwisho. Kwa Sasa kwa wao kutoka CHADEMA imekuwa siyo habari tena maana watanzania washajua wapo watakaotoka CHADEMA na sehemu kubwa ya watanzania washajua kuwa...
  19. mshale21

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kaonesha wazi kutojali uhai wa wananchi wanaopotezwa kwa kusema ni "Drama"

    Hii inahudhunisha sana, inaumiza sana na inakera sana, yaani watu wanapotezwa kila uchwao harafu Rais anaongea kwa dhihaka eti wanafanya drama! , Mzee Ali kibao ni drama? Mdude ni drama? Waliotekwa kisutu na kuteswa na kuvunjwa miguu na mikono ni drama? Azory Gwanda ni drama? Ben saa nane ni...
  20. mjasiriamali mdogo

    JamiiForums Tanzania Baada Dramacool na baadhi ya tovuti kufungwa. Ni tovuti gani unaweza kupakua (download) Korean Drama bure

    Wadau wa Korean Drama kwasasa ni tovuti gani zimebaki ambazo unaweza pakua bure. Tovuti ambayo inakuwa na high quality. Nkiri iweke kando Kwanza ina low quality na Drama nyingi hakuna
Back
Top Bottom