drama

Drama is the specific mode of fiction represented in performance: a play, opera, mime, ballet, etc., performed in a theatre, or on radio or television. Considered as a genre of poetry in general, the dramatic mode has been contrasted with the epic and the lyrical modes ever since Aristotle's Poetics (c. 335 BC)—the earliest work of dramatic theory.The term "drama" comes from a Greek word meaning "action" (Classical Greek: δρᾶμα, drama), which is derived from "I do" (Classical Greek: δράω, drao). The two masks associated with drama represent the traditional generic division between comedy and tragedy.
In English (as was the analogous case in many other European languages), the word play or game (translating the Anglo-Saxon pleġan or Latin ludus) was the standard term for dramas until William Shakespeare's time—just as its creator was a play-maker rather than a dramatist and the building was a play-house rather than a theatre.The use of "drama" in a more narrow sense to designate a specific type of play dates from the modern era. "Drama" in this sense refers to a play that is neither a comedy nor a tragedy—for example, Zola's Thérèse Raquin (1873) or Chekhov's Ivanov (1887). It is this narrower sense that the film and television industries, along with film studies, adopted to describe "drama" as a genre within their respective media. The term ”radio drama“ has been used in both senses—originally transmitted in a live performance. May also refer to the more high-brow and serious end of the dramatic output of radio.The enactment of drama in theatre, performed by actors on a stage before an audience, presupposes collaborative modes of production and a collective form of reception. The structure of dramatic texts, unlike other forms of literature, is directly influenced by this collaborative production and collective reception.Mime is a form of drama where the action of a story is told only through the movement of the body. Drama can be combined with music: the dramatic text in opera is generally sung throughout; as for in some ballets dance "expresses or imitates emotion, character, and narrative action". Musicals include both spoken dialogue and songs; and some forms of drama have incidental music or musical accompaniment underscoring the dialogue (melodrama and Japanese Nō, for example). Closet drama is a form that is intended to be read, rather than performed. In improvisation, the drama does not pre-exist the moment of performance; performers devise a dramatic script spontaneously before an audience.

View More On Wikipedia.org
  1. Msanii

    Drama haziishi. Tujuzane huko ulipo sukari inauzwa bei gani?

    Tusikwepe ukweli kwamba kipindi cha mfungo wa mwezi Mtukufu Ramadan, kimekuwa ni kipindi kinachokuja na neema ya unafuu wa maisha kwa jamii hususani hata wale wasiofunga yaani Wagalatia na wasio na dini. Unafuu wa maisha unatokana na kwamba, Wachuuzi wengi wanachuma rehma na fadhila zitokanazo...
  2. P

    Kuagwa kwa Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi, Machi 1, 2024

    Fuatilia utoaji wa heshima za mwisho kwa Rais Mstaafu Mwinyi, ambapo ratiba ya maziko yake inaanza leo, nyumbani kwake, ambapo baada ya sala ya sala ya Ijumaa na taratibu kidini kukamilika mwili utapelekwa uwanjwa wa Uhuru kwa Watanzania kuaga na kisha kupelekwa Zanzibar...
  3. Kiboko ya Jiwe

    Ni wajinga pekee ndiyo watazisifia drama za Makonda

    Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda". Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia. Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi...
  4. K

    Tuache drama maandamano ni mambo ya kawaida kisheria

    Serikali inajaribu kukuza mambo ambayo yanatakiwa kuwa utamaduni wa kawaida. Maandamano ni sehemu ya demokrasia na maandamano sio fujo ni haki ya kujieleze. Badala ya kujaza Polisi wa wanajeshi kama vile kuna vita kunatakiwa kuwa na pikipiki za Polisi kama maandanamo ya sabasaba au Mei Mosi...
  5. DR Mambo Jambo

    Kwa Ulinzi wa Dotto Biteko, Serikali itunge sheria kudhibiti matumizi mabaya ya Ofisi

    Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kudhibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana... Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi...
  6. R-K-O

    Baby dady Drama: Ni ngumu sana kushindana na baba wa mtoto ukianzisha mahusiano na single maza, ngumu sana!

    Unaweza ukajipa moyo kwamba waliachana kwa ugomvi na pengine baba wa mtoto hakutoa chochote tangu asikie mwanamke kapata mimba, waweza kudhani jamaa ndio basi tena kahsribu hawezi kuwa tatizo. Kiufupi ni ngumu sana mwanamke kumuacha kirahisi mwanaume aliemtunga mimba hasa ya kwanza ile...
  7. SIMULIZI RIWAYA

    Simulizi: Sasha Mlinzi wa Nafsi - 1

    SASHA MLINZI WA NAFSI. Sehemu ya............1-2 Mtunzi: Saul David WhatsApp: 0756862047 UTANGULIZI... Majira ya mchana wa jua kali mwanaume mmoja anaonekana akitembea kwa taabu sana katikati ya jangwa moja kubwa. Upepo mkali ulikuwa ukivuma kiasi cha kusababisha vumbe jingi kutanda hewani hali...
  8. N

    Nimebadilika sitaki shida na mtu, namrudia Muumba wangu. Maisha ya dunia na drama zake yamenishinda

    Sitaki shida na mtu uongo, uongo na kuwanyasasa na kuwasema eti kisa Nina vijisenti naachana nao kuanzia leo naona maisha yangu ya hapa duniani yanaelekea ukingoni so hii ni time ya kumrudia muumba wangu wa mbingu wa na ardhi kwasasa nitakuwa mtu wa kuignore vitu na watu wa hovyo. Maisha ya...
  9. Msanii

    Kuelekea 2025 tutegemee drama za kutosha

    Kuna maswali wanajiuliza wananchi kuhusiana na kucharuka kwa wabuge wa Bunge la CCM kwenye kikao kinachoendelea huko Dodoma. Napenda kuwakumbusha kwamba tusiwe wasahaulifu sana tukidhani wanaongea kwa maslahi ya nchi. Tujikite kwenye msingi wa hoja zao hasa kuchunguza vyanzo vya hizo hasira...
  10. NetMaster

    Nawapongeza wasabato kwa kanisa lao kutovuma kwa skendo na drama

    - Kila siku hujisomea somo la wiki, ikifika jumamosi wanakusanyika kwa masaa takribani mawili kwenye vikundi vidogo kufundishana waliyojifunza na baada ya hapo ndio huingia wote kanisani kwenye ibada, hii ni nzuri kuzidi kukaa wiki nzima hujajifunza chochote kwenye biblia unasubiri tu ifike...
  11. sanalii

    Mapenzi bila drama hayaendi?

    Mimi sikuwa najali sijui nani kamtafuta mwenzake, mi nikisikia nimemmis nampigia tu, i don't care who call first or often. Sasa ikafika hatua ukimwambia 'i love you' anasema sawa. Nikaona sio shida nikaanza ku "balance shobo" sasa anaanza kulalamika kua simpendi. Hivi mapenzo bila drama hayaendi?
  12. Equation x

    Mahusiano chuoni huwa kama 'drama'

    Utakuta wanachuo wanatembea kwa kufuatana kama kumbi kumbi; mwanaume hataki kumuacha mwanamke, na mwanamke naye hataki kumuacha mwanaume. Mmoja akienda maktaba, mwenzake anamfuata, hivyo hivyo hata kwenye magrupu ya 'discussion'. Ulikuwa ukiingia kwenye vyumba vyao, utakuta matunda, juisi, wine...
  13. Teleskopu

    Kuna ujumbe gani kwenye utopia drama series?

    Wana msemo wao wanasema "eyes wide shut"; ni "wide" (wazi) lakini hapohapo "shut" (yamefungwa) Yaani wanadai tuko "macho kodo lakini hatuoni" Na ndio maana wanatuita "sheeple" au kondoo; na pia "goyim". Ukiweza, tafadhali tazama scene hii mojawapo kwenye drama ya Utopia, inayoitwa "Utopia...
  14. Pascal Mayalla

    Nyumba yetu inazidi. Rais onyesha uwepo wako, Uwezo Wako Anza na Wale Marrionates Wote Wawili Pale Wapumzishe. The Drama King wa Pinga Chanjo Apuuzwe

    Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa huja na zile makala zangu Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huchapishwa na gazeti la Nipashe la kila siku za Jumapili. Wajameni, ni mimi tuu au na wengine, naona kama Nyumba yetu inazidi makelele, jee tumshinikize Mama aonyeshe uwepo wake, kwa...
  15. K

    Drama za viongozi wa Yanga

    Hawa watu wana mbinu nyingi sana za ku-survive katika mazingira yoyote kwenye nafasi zao. Sakata la wazee wa Yanga unaeweza kufikiri viongozi hawajui. La hasha! Wanafahamu sana na ukweli inaonesha anayelengwa hapo ni GSM. Viongozi hawamtaki na kwa vile wameshamwona Manji, wanatengeneza fitna...
  16. mshale21

    Sakata la Wabunge 19 viti maalum ni Drama

    DRAMA linaanza hivi; Ndugu wana bodi JF, ikumbukwe kuwa mara baada ya uchaguzi 2020, CHADEMA hawakuridhishwa na mwenendo wa mchakato mzima wa uchaguzi na walitoa msimamo wao wa kutokuyatambua matokeo ya uchaguzi ule, hii ilipelekea kutoa tamko hadharani na kuwaagiza wale waliokuwa wameshinda...
  17. Krikichino

    Umeicheki IRIS? Hizi ni facts 10 usizozijua kuhusu series hiyo

    Nakumbuka mara ya kwanza kuona tamthiliya ya Iris ilikuwa ni ITV pale mwaka 2013 kama sio 2014 kipindi hicho hata smartphone sina. Nilivyoiona tu mara ya kwanza sijui ilikuwaje lakini tangu hapo sikuacha kuifatilia mpaka episodes zote 20 zilivyoisha.Nakumbuka nilikuwa nachelewa kulala siku...
Back
Top Bottom