Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Anapoteza tu muda! akaandamane tu huko vijijini, siyo hapa dar. Huku watu wana ufahamu na wanajitambua. aje kwa staili nyingine!
Mlitabiri kuwa Lema angetoka juzi mahakamni asingepata watu NMC. Matokeo yake pamoja na kunyimwa dhamana uwanja ulifurika watu, na angetoka NMC kusingetosha kabisa.
Inabidi mkubali kuwa watu wamechoka na utawala mbovu wa Kikwete na chama chake cha majambazi. siyo vijijini wala mijini. kote pakitangazwa maandamano watu wanaandamana.