USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
Wana JF
Muda mfupi uliopita makao makuu CDM , Mwenyekiti wa vijana Taifa John Heche Suguta amengaza maandamano makubwa Dar es Salaam kesho asubuhi kuanzia eneo la kimara.
Yeye pamoja na makamanda wengine walikuwa na mkutuna na wanacha wa CDM makao makuu.
Polisi imepiga marufuku maandamano ya kesho na magari ya polisi yenye vipaza sauti yananapita mitaani yakiwatisha kuwa kesho wasiandamane na wakithubutu tu, polisi watatumia risasi za moto kudhibiti maandamano hayo.
Maneno hayo yanatoka kwenye difenda ya FFU yenye vipaza sauti, nimeshindwa kukopi namba kwa kuwa taa ya kwenye number plate haiwaki.
Last edited by a moderator: