Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,795
- 71,214
Hii ni Kimara mpaka Magogoni. Kisha mtu mzima anakimbilia Sirte (Bagamoyo)Kimara A mpaka Kimara B
Hii ni Kimara mpaka Magogoni. Kisha mtu mzima anakimbilia Sirte (Bagamoyo)Kimara A mpaka Kimara B
Rejao bwana huwa unanifurahisha, yaani wewe unakaa unanusa sred za cdm tu na kuzi-crash! inaonekana kweli umemeza maji ya bendera ya kijani. mwenzio mwita keshajisalimisha, bado wewe, FF na malaria sugu. mtapata akili lini?
Ha! Ha! Ha! Kila siku nasema Chadema Dar es Salaam wapo Kimara Temboni na Kimara Bonyokwa..
Kwa hiyo maandamo yanaanzia Kimara Baruti yanaishia Kimara Bonyokwa
anapewa posho ili aje humu ku crash thread za cdm. Hana lote na hanaga hoja.
Shame on u Rejao
Wana JF
Muda mfupi uliopita makao makuu CDM , Mwenyekiti wa vijana Taifa John Heche Suguta amengaza maandamano makubwa Dar es Salaam kesho asubuhi kuanzia eneo la kimara.
Yeye pamoja na makamanda wengine walikuwa na mkutuna na wanacha wa CDM makao makuu.
Ha! Ha! Ha! Kila siku nasema Chadema Dar es Salaam wapo Kimara Temboni na Kimara Bonyokwa..
Kwa hiyo maandamo yanaanzia Kimara Baruti yanaishia Kimara Bonyokwa
sasa tunakupa cheti kukuthibitisha kuwa umefuzu taaluma ya utabiri
na kuanzia leo unakuwa mrithi wa shehe yahaya.
Wana JF
Muda mfupi uliopita makao makuu CDM , Mwenyekiti wa vijana Taifa John Heche Suguta amengaza maandamano makubwa Dar es Salaam kesho asubuhi kuanzia eneo la kimara.
Yeye pamoja na makamanda wengine walikuwa na mkutuna na wanacha wa CDM makao makuu.
Rejao bwana huwa unanifurahisha, yaani wewe unakaa unanusa sred za cdm tu na kuzi-crash! inaonekana kweli umemeza maji ya bendera ya kijani. mwenzio mwita keshajisalimisha, bado wewe, FF na malaria sugu. mtapata akili lini?
lol.....kumbe!pua ya avatar yako ni kama masaburi yako
Wana JF
Muda mfupi uliopita makao makuu CDM , Mwenyekiti wa vijana Taifa John Heche Suguta amengaza maandamano makubwa Dar es Salaam kesho asubuhi kuanzia eneo la kimara.
Yeye pamoja na makamanda wengine walikuwa na mkutuna na wanacha wa CDM makao makuu.