Heche ampinga Jerry Silaa hoja ya kuongeza bei ya mafuta

Stuka

JF-Expert Member
Jul 19, 2022
214
686
hechejohn

Hivi ccm huwa inatoa wapi wabunge wajinga wa kiwango hiki!!!!! Imagine huyu ni kijana, kwasababu ya mshahara mkubwa na Posho hajui jinsi maisha yalivyo magumu kwa watu..

Bado anataka kuongeza mzigo!!!

Pesa zipo za kutosha lakini zinaibiwa kwasababu ya wajinga kama huyu Kushindwa kutimiza wajibu wao wa kibunge na kusimamia matumizi ya pesa za umma kama tax payers representatives….

Yaani ripoti ya CAG inaonesha matrilioni ya fedha za umma yalivyoibiwa…

Mfano TRC ujenzi wa lot namba 3 na 4 Kuna hasara ya zaidi ya trilioni 1.7, Bado haujazungumzia manunuzi ya Locomotives (mabehewa) hapo haujazungumzia halmashuri zetu zote, haujazungumzia uchafu kama wa TTCL wala ATCL wala manunuzi mbalimbali ya Serikali.

Haya yote yanatokea kwasababu ya bunge dhaifu ambalo kwa niaba ya Wananchi lilipaswa kusimamia matumizi ya fedha yafanyike vizuri lakini wajinga kama Jerry wameshindwa kazi hiyo matokeo yake wanataka serikali iongeze mzigo juu ya Wananchi ambao hata kula yao sasa ni shida kutokana na mzigo wa gharama za maisha.

Bajeti hiyo ya Tamisemi anayochangia Serikali imetenga bilioni 16 ili kununua MAVX mapya kwa wakuu wa mikoa yale yaliyopo sasa hayafai wakuu wanataka mapya…. Hili kwa Jerry anaona ni sawa lakini masikini akamuliwe zaidi kwasababu ya anasa na maisha ya juu kwa viongozi..

Hawa hawa Wananchi wana michango lukuki ya kujenga, shule zahanati, vituo vya afya ambayo hii yote ni kazi ya Serikali kwa kodi zetu… lakini zinaibiwa Wananchi wanafanya wajibu usio wao.

Mchele kg 1= 3,200sh
Sukari kg 1 = 3,000sh
Maharage = 3,000sh
Sababuni na kila kitu bei iko juu,
Jerry anaejiita muwakilishi wa Wananchi anaona bado huo mzigo ni kidogo anataka waongezewe hela ili wakaibe zaidi!!!!!

Shame on you Jerry Slaa, kwa taarifa yako punda amechoka hawezi kubeba zaidi, watu kama wewe hamfai kuwakilisha Wananchi manga’s kujiwakilisha na matumbo yenu…

CCM NI JANGA kwa Nchi
 
Hakika kwanini serikali haitaki kuja na mpango wa kubana/kudhibiti matumizi yake hasa ya anasa zaidi ya bilioni 15 zinaenda kwenye ununuzi wa magari ya kifahari yenye gharama kubwa katika uendeshaji wake bado safari za watendaji wake na warsha mbalimbali zinazogharimikiwa kwa kodi za wavuja jasho hapo hapo mwakilishi wa wananchi Sina hakika kama wamemtuma anaowawakilisha juu ya kuongeza kiasi cha Tsh 100 kwa kila Lita kwa wakazi wa Dar es Salaam eti zikatengeneze barabara hivi anajua maisha yalivyo magumu?
 
Silaa hana hoja bali ni mvivu wa kufikiri. Hatuwezi kuendelea kujaza tozo kwenye petroli kila leo. Hii imekuwa too much.

Tunaponunua Petroli kwa Tsh 3,000 kwa lita ujue kabisa landing cost plus import duty ni Tsh 1,500. Kinachobakia ambacho ni Tsh 1,500 ni tozo mbalimbali kama Ewura, RDL, Road fund etc.

Watanzania tujiulize swali moja; Sasa hivi dunia inakwenda kwenye clean energy kama matumizi ya magari yanayotumia umeme, Je itakuwaje kama tutahamia huko kwa kiasi kikubwa hata sisi?
 
Naungana na Heche huyo Slaa ni aina ya wabunge wajinga wasio na uwezo ya kulisaidia taifa,Kuna wezi wametajwa na CAG tunaambiwa watajadiliwa miezi 7 ijayo,kama sio ujinga ni nini?

Watu wanahela wameiba,mnawaacha waendelee kula huku wakiwa bado madarakani halafu anakuja kijana mmoja mjinga anataka kutuongezea mzigo mwingine kwenye mafuta ambayo tayari ni mzigo uliowekwa makodi yasiyo na kichwa wala miguu,inasikitisha sana
 
Tozo tu ni pesa nyingi sana, Kodi za majengo zinazokatwa moja kwa moja.Kwenye masoko bado tu haziwatoshi.Waangalie Magu alifanyaje bila kuumiza wananchi na vitu vilikuwa vikifanyika. Yaani awamu hii isirudi tena, maana toka ianze watu ufikiria tozo tozo, toka baba yao aanzishe tozo tozo basi wote wanawaza hivyo hivyo. Ingekuwa nchi nyingine kama Kenya au Nigeria mbunge huyo wangesha mng'oa wananchi wenyewe. Na ofisi yake angekuta imefungwa.
 
Pia nani aliwaambia wakinogewa itafutwa, hata barabara zikikamilika wata badirisha jina tu.
 
Kila nikiifikiria hii nchi yetu na DUNIA kwa ujumla napatwa na hasira kali sana na ninachanganyikiwa,
sasa nshaamua kushughulika na yangu.
 
hechejohn

Hivi ccm huwa inatoa wapi wabunge wajinga wa kiwango hiki!!!!! Imagine huyu ni kijana, kwasababu ya mshahara mkubwa na Posho hajui jinsi maisha yalivyo magumu kwa watu..

Bado anataka kuongeza mzigo!!!

Pesa zipo za kutosha lakini zinaibiwa kwasababu ya wajinga kama huyu Kushindwa kutimiza wajibu wao wa kibunge na kusimamia matumizi ya pesa za umma kama tax payers representatives….

Yaani ripoti ya CAG inaonesha matrilioni ya fedha za umma yalivyoibiwa…

Mfano TRC ujenzi wa lot namba 3 na 4 Kuna hasara ya zaidi ya trilioni 1.7, Bado haujazungumzia manunuzi ya Locomotives (mabehewa) hapo haujazungumzia halmashuri zetu zote, haujazungumzia uchafu kama wa TTCL wala ATCL wala manunuzi mbalimbali ya Serikali.

Haya yote yanatokea kwasababu ya bunge dhaifu ambalo kwa niaba ya Wananchi lilipaswa kusimamia matumizi ya fedha yafanyike vizuri lakini wajinga kama Jerry wameshindwa kazi hiyo matokeo yake wanataka serikali iongeze mzigo juu ya Wananchi ambao hata kula yao sasa ni shida kutokana na mzigo wa gharama za maisha.

Bajeti hiyo ya Tamisemi anayochangia Serikali imetenga bilioni 16 ili kununua MAVX mapya kwa wakuu wa mikoa yale yaliyopo sasa hayafai wakuu wanataka mapya…. Hili kwa Jerry anaona ni sawa lakini masikini akamuliwe zaidi kwasababu ya anasa na maisha ya juu kwa viongozi..

Hawa hawa Wananchi wana michango lukuki ya kujenga, shule zahanati, vituo vya afya ambayo hii yote ni kazi ya Serikali kwa kodi zetu… lakini zinaibiwa Wananchi wanafanya wajibu usio wao.

Mchele kg 1= 3,200sh
Sukari kg 1 = 3,000sh
Maharage = 3,000sh
Sababuni na kila kitu bei iko juu,
Jerry anaejiita muwakilishi wa Wananchi anaona bado huo mzigo ni kidogo anataka waongezewe hela ili wakaibe zaidi!!!!!

Shame on you Jerry Slaa, kwa taarifa yako punda amechoka hawezi kubeba zaidi, watu kama wewe hamfai kuwakilisha Wananchi manga’s kujiwakilisha na matumbo yenu…

CCM NI JANGA kwa Nchi
HUYO JERRY SLAA AJITOLEE MSHAHARA WAKE ANALOPWA MAMILIONI ANAKOPESHWA GARI ANAPEWA NA MAFUTA ASITUTAFUTIE MATATIZO TULIYONAYO NI MAZITO
 
Kila nikiifikiria hii nchi yetu na DUNIA kwa ujumla napatwa na hasira kali sana na ninachanganyikiwa,
sasa nshaamua kushughulika na yangu.
Hapo utakuwa unajidanganya kwa sababu asilimia kubwa ya mambo yako yanategemea maamuzi ya hao watawala vipofu. Wake up!

If you want to succeed in life, at least don't lie to yourself! Start by telling your own self even the most painful truth imaginable.
 
Hapo utakuwa unajidanganya kwa sababu asilimia kubwa ya mambo yako yanategemea maamuzi ya hao watawala vipofu. Wake up!

If you want to succeed in life, at least don't lie to yourself! Start by telling your own self even the most painful truth imaginable.
Mkuu uko sahhi, lakinh what should i do., hata nikienda polling station sitabadili kitu..
 
Nawaza Jery alifikilia nini kusema utumbo ule sababu,Ongezeko la shilingi 100 kwa mafuta maanayake ni ongezeko la 200 kwa usafiri wa uma na bidhaa.

Wabunge kama hawa wanatakiwa wawe wanaulizwa maswali pindi wakiomba na waww na ilani binafsi za namna ya kuendeleza majimbo yao sio kutegema ilanibya chama ndio ikubebe.Ilani ni too general kwa level ya taifa.Nitashangaa kama kuna mtu atampigia Jery kula 2025
 
hechejohn

Hivi ccm huwa inatoa wapi wabunge wajinga wa kiwango hiki!!!!! Imagine huyu ni kijana, kwasababu ya mshahara mkubwa na Posho hajui jinsi maisha yalivyo magumu kwa watu..

Bado anataka kuongeza mzigo!!!

Pesa zipo za kutosha lakini zinaibiwa kwasababu ya wajinga kama huyu Kushindwa kutimiza wajibu wao wa kibunge na kusimamia matumizi ya pesa za umma kama tax payers representatives….

Yaani ripoti ya CAG inaonesha matrilioni ya fedha za umma yalivyoibiwa…

Mfano TRC ujenzi wa lot namba 3 na 4 Kuna hasara ya zaidi ya trilioni 1.7, Bado haujazungumzia manunuzi ya Locomotives (mabehewa) hapo haujazungumzia halmashuri zetu zote, haujazungumzia uchafu kama wa TTCL wala ATCL wala manunuzi mbalimbali ya Serikali.

Haya yote yanatokea kwasababu ya bunge dhaifu ambalo kwa niaba ya Wananchi lilipaswa kusimamia matumizi ya fedha yafanyike vizuri lakini wajinga kama Jerry wameshindwa kazi hiyo matokeo yake wanataka serikali iongeze mzigo juu ya Wananchi ambao hata kula yao sasa ni shida kutokana na mzigo wa gharama za maisha.

Bajeti hiyo ya Tamisemi anayochangia Serikali imetenga bilioni 16 ili kununua MAVX mapya kwa wakuu wa mikoa yale yaliyopo sasa hayafai wakuu wanataka mapya…. Hili kwa Jerry anaona ni sawa lakini masikini akamuliwe zaidi kwasababu ya anasa na maisha ya juu kwa viongozi..

Hawa hawa Wananchi wana michango lukuki ya kujenga, shule zahanati, vituo vya afya ambayo hii yote ni kazi ya Serikali kwa kodi zetu… lakini zinaibiwa Wananchi wanafanya wajibu usio wao.

Mchele kg 1= 3,200sh
Sukari kg 1 = 3,000sh
Maharage = 3,000sh
Sababuni na kila kitu bei iko juu,
Jerry anaejiita muwakilishi wa Wananchi anaona bado huo mzigo ni kidogo anataka waongezewe hela ili wakaibe zaidi!!!!!

Shame on you Jerry Slaa, kwa taarifa yako punda amechoka hawezi kubeba zaidi, watu kama wewe hamfai kuwakilisha Wananchi manga’s kujiwakilisha na matumbo yenu…

CCM NI JANGA kwa Nchi
Ma Bunge Mizigo na Vilaza yaliyoingizwa Kwa hila kulamba Makalio ya Jiwe 2020 Kwa Minajili ya Kubadili Katiba ili Jiwe awe Raisi wa Maisha
 
Hakika kwanini serikali haitaki kuja na mpango wa kubana/kudhibiti matumizi yake hasa ya anasa zaidi ya bilioni 15 zinaenda kwenye ununuzi wa magari ya kifahari yenye gharama kubwa katika uendeshaji wake bado safari za watendaji wake na warsha mbalimbali zinazogharimikiwa kwa kodi za wavuja jasho hapo hapo mwakilishi wa wananchi Sina hakika kama wamemtuma anaowawakilisha juu ya kuongeza kiasi cha Tsh 100 kwa kila Lita kwa wakazi wa Dar es Salaam eti zikatengeneze barabara hivi anajua maisha yalivyo magumu?
Nawaza Jery alifikilia nini kusema utumbo ule sababu,Ongezeko la shilingi 100 kwa mafuta maanayake ni ongezeko la 200 kwa usafiri wa uma na bidhaa.

Wabunge kama hawa wanatakiwa wawe wanaulizwa maswali pindi wakiomba na waww na ilani binafsi za namna ya kuendeleza majimbo yao sio kutegema ilanibya chama ndio ikubebe.Ilani ni too general kwa level ya taifa.Nitashangaa kama kuna mtu atampigia Jery kula 2025
Wabunge vihiyo kama hawa hawatakiwi uchaguzi mkuu unaofuata. Wamshukuru mwendazake kwa kunajisi uchaguzi mkuu uliopita na wakatoe shukrani Chato kwa ndugu zake waliobaki.
 
Back
Top Bottom