Yeah nami nimeiona ila kuweka whiskey kwenye friji sio.. Inatakiwa iwe kwenye hali yake ya kawaida then una serve on ice blocksNimekiona kitu cha JAMESON
Yakufaa ukipate baada ya Meal umix na CocaCola Bonge, kisha barafu ( Ice cube) ziwe za kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ndo halisi mengine ya kudownload
Weekend hii nitakuja kukutembelea niandalie hicho kinywaji na ile juis yetuinaitwa monster energy,mshindani wa redbull.sema tokea nimerudi bongo sijakutana nayo,sjui sababu nakaaa uswazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna hizo ziko alibaba wanauza dola mojaahsante sana mkuu nliteseka kwa mda mrefu,,isitoshe me ni bachela vitu vikiwa ving kwenye friji simaliz kwa wakat vinaharibika
Sent using Jamii Forums mobile app
karibu sana rafiki,mi casa su casa.Weekend hii nitakuja kukutembelea niandalie hicho kinywaji na ile juis yetu
Asante, nije Ijumaa au Jumamosi?
jpili tukishatoka kupata upako na ekaristi takatifu.Asante, nije Ijumaa au Jumamosi?
Haaahaaaaa...uwiiiase Wakuu mnawezaje kutunza had vinywaji ?
yan mimi nikiweka hata soda mbili tu usiku sipati usingizi nabaki kulizunguka friji
Roho inanambia "my bro stop cheating your self kunywa izo soda ulale""
Saiv friji limebaki la kuwekea makabichi tu
Ulijaribu ila kameraHapo kwenye Water Melon nashauri uwe unaliweka kwenye mfuko wa nailoni ili lisiharibike kuna mifuko flani hivi ya nailon transparent maranyingi wanatumiaga kufunikia matunda. humo ukiliweka lina kaa hata siku 2--3 likiwa na utamu wake og. mimi huwa nafanya hivi.. sema naona simu imegoma kupiga picha Friji langu teh teh
ha haha kamera iko poa sana