Hebu tuone kwenye friji lako kuna nini!

IMG_0412.JPG
 
ase Wakuu mnawezaje kutunza had vinywaji ?
yan mimi nikiweka hata soda mbili tu usiku sipati usingizi nabaki kulizunguka friji
Roho inanambia "my bro stop cheating your self kunywa izo soda ulale""

Saiv friji limebaki la kuwekea makabichi tu
umenichekesha sanaa
 
ase Wakuu mnawezaje kutunza had vinywaji ?
yan mimi nikiweka hata soda mbili tu usiku sipati usingizi nabaki kulizunguka friji
Roho inanambia "my bro stop cheating your self kunywa izo soda ulale""

Saiv friji limebaki la kuwekea makabichi tu
We mkali
 
Hapo kwenye Water Melon nashauri uwe unaliweka kwenye mfuko wa nailoni ili lisiharibike kuna mifuko flani hivi ya nailon transparent maranyingi wanatumiaga kufunikia matunda. humo ukiliweka lina kaa hata siku 2--3 likiwa na utamu ;):p wake og. mimi huwa nafanya hivi.. sema naona simu imegoma kupiga picha Friji langu teh teh
 
Back
Top Bottom