Hebu tuone kwenye friji lako kuna nini!

ROF1998_1165_800.jpg
Sh ngapi hili mkuu?
 
Nimeenda kwa rafiki yangu nikafungua friji lake nikajionea maajabu ya dunia. Mambo ya aibu kwa mtoto wa kike

Hata friji la nyumbani kwa mama huwa nahangaika sana kupanga, kutoa vitu visivyo muhimu. Unakuta mboga imebaki kidogo tu dada kwa uvivu anatia hotpot lote kwenye friji au hata sufuria.

Vitu vingine vinasahaulika humo hadi havifai tena.

Kinachonikera kuliko vyote ni kuweka mavituvitu bila kufunika. Friji linanukia ovyo ovyo.

Haya mimi naweka langu; sasa hivi ni high season flani so limenona kidogo(teh teh).

Naruhusu michango na marekebisho nitayafanyia kazi.

Naomba utuoneshe friji lako au hata utuambie lina nini hivi sasa?



View attachment 820368View attachment 820369
Vitu karibia vyote vipo kwenye ijazo wa juu kabisa ilikuwa ni maalum kwa ajiri ya picha au coincidence.
 
Vitu karibia vyote vipo kwenye ijazo wa juu kabisa ilikuwa ni maalum kwa ajiri ya picha au coincidence.

Ni wazi kabisa Ilikuwa kwa ajili ya picha.

Karibu kwenye uzi mkuu.
 
Nimeenda kwa rafiki yangu nikafungua friji lake nikajionea maajabu ya dunia. Mambo ya aibu kwa mtoto wa kike

Hata friji la nyumbani kwa mama huwa nahangaika sana kupanga, kutoa vitu visivyo muhimu. Unakuta mboga imebaki kidogo tu dada kwa uvivu anatia hotpot lote kwenye friji au hata sufuria.

Vitu vingine vinasahaulika humo hadi havifai tena.

Kinachonikera kuliko vyote ni kuweka mavituvitu bila kufunika. Friji linanukia ovyo ovyo.

Haya mimi naweka langu; sasa hivi ni high season flani so limenona kidogo(teh teh).

Naruhusu michango na marekebisho nitayafanyia kazi.

Naomba utuoneshe friji lako au hata utuambie lina nini hivi sasa?



View attachment 820368View attachment 820369
Ngoja umeme ukatikemo kama wiki hivi.. iyo ndio sababu sipendi kuweka vitu vingi kwa frij
 
Mafriji wabongo wanajaza maji tu kama wameambiwa fridge ni kwa ajili ya kujaza maji ndio maana hata picha hamuweki.😀
 
Back
Top Bottom