Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,110
- 158,964
Haki nimecheka hatari.
Haki nimecheka hatari.
Vipi inaongeza nguvu za kiume?Ni juice mix ya tikiti maji, strawberries na tangawizi...kajuice flani amazing
Kwa hiyo ni kabati la nguo?MKUU HAPO FRIJ NI LIPI USHAMBAA HUU CJUI LIMEANZIA WAP NA KUISHIA WAP
Sijajua umejibu au umeulizaKwa hiyo ni kabati la nguo?
Hahaha we jamaa wewe...kwa nini nimechelewa kuipata hii taadhali..dah!Umenikumbusha uzi mmoja ukiwahi kuletwa humu kuwa ukikuta ndizi na tango kwenye friji ya mwanamke ambae hajaolewa chonde chonde usitumie..
Sh ngapi hili mkuu?
Vitu karibia vyote vipo kwenye ijazo wa juu kabisa ilikuwa ni maalum kwa ajiri ya picha au coincidence.Nimeenda kwa rafiki yangu nikafungua friji lake nikajionea maajabu ya dunia. Mambo ya aibu kwa mtoto wa kike
Hata friji la nyumbani kwa mama huwa nahangaika sana kupanga, kutoa vitu visivyo muhimu. Unakuta mboga imebaki kidogo tu dada kwa uvivu anatia hotpot lote kwenye friji au hata sufuria.
Vitu vingine vinasahaulika humo hadi havifai tena.
Kinachonikera kuliko vyote ni kuweka mavituvitu bila kufunika. Friji linanukia ovyo ovyo.
Haya mimi naweka langu; sasa hivi ni high season flani so limenona kidogo(teh teh).
Naruhusu michango na marekebisho nitayafanyia kazi.
Naomba utuoneshe friji lako au hata utuambie lina nini hivi sasa?
View attachment 820368View attachment 820369
Sawa mkuu yangu inafuata.Ni wazi kabisa Ilikuwa kwa ajili ya picha.
Karibu kwenye uzi mkuu.
Mnh wabongo na utamaduni wa kuweka mchicha kwenye friji wameanza lini??
Mwenye friji lake aje alichukue
Ngoja umeme ukatikemo kama wiki hivi.. iyo ndio sababu sipendi kuweka vitu vingi kwa frijNimeenda kwa rafiki yangu nikafungua friji lake nikajionea maajabu ya dunia. Mambo ya aibu kwa mtoto wa kike
Hata friji la nyumbani kwa mama huwa nahangaika sana kupanga, kutoa vitu visivyo muhimu. Unakuta mboga imebaki kidogo tu dada kwa uvivu anatia hotpot lote kwenye friji au hata sufuria.
Vitu vingine vinasahaulika humo hadi havifai tena.
Kinachonikera kuliko vyote ni kuweka mavituvitu bila kufunika. Friji linanukia ovyo ovyo.
Haya mimi naweka langu; sasa hivi ni high season flani so limenona kidogo(teh teh).
Naruhusu michango na marekebisho nitayafanyia kazi.
Naomba utuoneshe friji lako au hata utuambie lina nini hivi sasa?
View attachment 820368View attachment 820369