toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Mtaani hapa friji nyingi hazifanyi kazi umeme ni mdogo sana
Radio na runinga zinafanya kazi ila taa haziwaki
Nashindwa kuelewa kwanini umeme umekuwa mdogo hivi huu wa tanesco
Na suluhisho ya hiri ninini kwa umeme mdogo kwa friji nini naweza kufanya ili umeme mdogo uweze kusukuma friji maana nina kafriji kadogo tu hapa
Radio na runinga zinafanya kazi ila taa haziwaki
Nashindwa kuelewa kwanini umeme umekuwa mdogo hivi huu wa tanesco
Na suluhisho ya hiri ninini kwa umeme mdogo kwa friji nini naweza kufanya ili umeme mdogo uweze kusukuma friji maana nina kafriji kadogo tu hapa